money

  1. M

    Forex_ICT strategy/Smart Money concept

    Habarini wadau, kwa wale ambao bado tunajifunza, kuna hii kitu strategy ya ICT-Inner Circle Traders na wengine wanaita smart money concepts ambayo nimekuwa najifunza jifunza katika kutaka kuelewa vizuri forex trade.Nadhani kwa wale kama mimi sio mbaya mkaiangalia hii kitu ni nzuri sana...
  2. KING MIDAS

    Je kuna miracle money? Je ni nani ameshawahi kupata miracle money?

    Miracle money ni hela unayoipata kwa njia ya ajabu kabisa ambayo hukuitarajia. Siku za hivi karibuni kuna wakuu wa dini wamejitokeza wakosema eti wana uwezo wa kukuombea ukapata miracle money. Nijuavyo mimi, miracle money huombewi na mtu yeyote, ila unaomba wewe mwenyewe, na huipati hadi uwe...
  3. Pang Fung Mi

    Money is the King of Love. My money is my ego

    Wasalaam JF, Money is the king of love. Money is the only magnet that women have since failed to resist. Nawakumbusha wanaume tafuta pesa wanawake watakutafuta wewe. Chase money and women will Chase you. Thank me later. Wadiz
  4. ChatGPT

    Kutuma/Kupokea Hela kwa Nala Money, Xoom, World Remit, Sendwave au Remitly

    Habarini wadau wangu wa nguvu. Napenda kuuliza kuhusu Nala Money; Kuna yeyote humu ambae ameshawahi itumia. Nadhani wengi watakuwa bado sababu kwa Tanzania bado haijazinduliwa. Jambo langu kubwa ambalo nilitamani kulifanya ni kuweza kupokea hela kutoka nje (German). Naomba kama Kuna mwenye...
  5. Tajiri wa kusini

    Learn to work, don't work for money! Najuta kuupoteza muda kwenye elimu

    Najuta kupoteza muda wangu kwenye elimu ni ujinga na upumbavu mwishowe naanza kuhangaika na bahasha za kaki tu wakati age mate wangu au wote ambao nimemaliza nao shule form four and la saba now ni ma billionaire au mamilionaire mie ndiye ambaye nawapiga vizinga tu ni ujinga na upumbavu kuamini...
  6. R

    Man made money.. Ukata unatoka wapi!?

    Habari wapendwa kama nitakuwa sipo sawa naomba mnioe maelekezo ambayo yatanisaidia. Pesa inatengenezwa kama bidhaa nyingine, lakini sijajua ugumu unatoka wapi wa kutengeneza pesa nyng ili watanzania tukafurahia maisha kiwepesi zaid na kuanza mambo mengne ya kimaisha kutokana na serikali yeti...
  7. R

    Ushauri: Nakusudia kufungua kesi ya madai dhidi ya Airtel Money Tanzania Ltd

    Habari za leo, Mimi ni mfanyabiashara na ni mtumiaji wa huduma za Airtel Money. Juzi tarehe 3 Machi 2023 nilifanya muamala wa kuhamisha pesa kutoka Airtel money kwenda Benki, akaunti yangu binafsi pesa ilitoka ila kwenye akaunti haikuingia. Nilipiga simu huduma kwa mteja wakasema kuwa wao...
  8. Kijakazi

    Rostam Azizi to build 200 million LPG Facility in Kenya with Our money may be!

    Rostam Azizi na Taifa gas yake wanainvest 200 million dollars LPG facility huko Kenya, swali langu ni kwamba and its rhetorical hizo fedha kazitoa wapi? Isijekuwa ni mambo ya EPA yanajirudia, na kwa nini asijenge Tanzania ? Unaweza kukuta kabisa amechukiwa mkopo na aliyedhamini huo mkopo ni...
  9. ChatGPT

    What would you do if you had unlimited resources?

    Imagine for a moment that you have unlimited resources at your disposal - unlimited time, unlimited money, unlimited knowledge, and unlimited abilities. What would you do with this abundance? Would you travel the world? Start a business? Pursue a passion project? Help those in need? Or would...
  10. R

    Kuna tatizo gani Airtel Money leo?

    Leo nimetuma pesa kutoka akaunti ya NMB kwenda airtel money pesa haikufika. Nikatuma tena kutoka Tigo pesa nayo haikufika. Nimepiga simu huduma kwa wateja mhudumu akasema hanisikii vizuri akakata simu. Kuna mtu amekumbana na hili tatizo au ni mimi tu🤔
  11. JanguKamaJangu

    Floyd 'Money' Mayweather anunua cheni yenye thamani ya Tsh. Bilioni 2.3

    Bondia amefanya hayo siku chache kabla ya pambano lake lisilo la ubingwa dhidi ya Aaron Chalmers, Februari 25, 2023 Nchini Uingereza ikiwa ni siku moja kabla ya kutimiza umri wa miaka 46. Cheni hiyo ameinunua kwa Dola Milioni 1 ikiwa ni zaidi ya Tsh. Bilioni 2.3 ina uzito wa kilo 2.6 imeundwa...
  12. starlightz

    Valentine's day, what can you do?

    Valentine's Day is a special day dedicated to celebrating love and affection between intimate partners. This holiday is widely celebrated around the world and offers an opportunity to express love and appreciation for that special someone in your life. While the traditional approach to...
  13. E

    Wale wa "education is better than money" mpo? Mnalikumbuka hili swali lakini?!

    Naona kodi mtakuwa mnalipa kwa kutumia vyeti pamoja na report cards au sio?!....kwanza speaking of kodi, kuna michongo gani short term ambazo zinaweza kuboost balance ya mpunga kidogo? Mkataba wangu sio poa, january wenzangu wanapambana sasa zamu yangu imefika...ewaaa!
  14. T

    Tunaofanya biashara ya M-Pesa, Tigo-Pesa, Airtel Money, ..., na Uwakala wa Bank Tukutane hapa

    ????
  15. Logikos

    Betting - Money Saved is Money Earned

    Kuendelea kubaki na pesa uliyonayo ni muhimu kama vile kutafuta nyingine..., na wikiendi hii ya FA CUP ninawashauri wadau wakae likizo..., Sababu historically FA Cup huwa ina Upsets nyingi sana Timu ndogo kukamia; kubwa kuzembea..., Timu kubwa kuweka kikosi cha ajabu au ndogo kupaki basi n.k...
  16. Idugunde

    Taifa linapokuwa na chama cha upinzani kama CHADEMa ni wastage of money and resources. Wastage at full capacity.

    Wanahadaa umma kuwa wao ni strongest opposition party. Wanachangisha michango ya kila namna. Kidigital na ya kimanual. Wanakula mapato ya wananchi. Taifa lipo na matatizo lukuki. Wanaamua kulamba asali. Hawafai kabisa maana sio watetezi wa taifa letu. Haya lambeni asali sasa.
  17. Replica

    Jinsi wadukuzi walivyolamba mabilioni ya Airtel Money Uganda kupitia kampuni ya kubeti, makampuni ya Tanzania yajipange

    Taarifa zimetoka jinsi kikundi cha udukuzi cha kofia nyeusi 'black hats' kilivyotumia tovuti ya michezo nchini Uganda kuchukua pesa kutoka kwenye mfumo wa Airtel Uganda(AMCUL) Wakati tovuti hiyo ya kampuni ya michezo ya kubahatisha ikijisifu kufata viwango vya usalama kulinda taarifa za...
  18. D

    Money is not love, but sex

    Iko hivi nimefanya research simple tu ya hii kitu. Ukitaka kupiga na kusepa au nothing serious utashangaa tu unatumia pesa nyingi sana kwa mwanamke. The long term relationships mostly if not all, are cheap, yaani mna vibe tu mnalink up and it goes. What to learn; Never put economy effort on...
  19. Green Thoughts

    There are no secrets in becoming too wealthy, you just need to be more than informed to reach where you always want to reach

    There are no secrets, just as there are no get-rich-quick schemes, so avoid purchasing any of them as well. You will be offered loads. All kinds of opportunities will present themselves to you as soon as your emphasis is on being successful. And they'll all promise to reveal the trade secrets...
  20. F

    Is Education Better Than Money? Elimu shule za gharama vs Asset kwa mtoto wako ipi itamfaidisha ukubwani

    Habari wadau. Najua wengi tunaikumbuka hii Debate Topic "Is Education Better Than Money? Kipindi tunashiriki hii debate tulikuwa wadogo na wategemezi. Nina imani sasa tumekuwa na tumeona mengi kwenye maisha. Je wewe kama mzazi unaona lipi litamfaidisha sana mwanao akifikia umri wa...
Back
Top Bottom