money

  1. I am Groot

    NALA MONEY yafungua ofisi yake ya kwanza Afrika jijini Nairobi, Kenya

    Kampuni ya NALA MONEY Nala ya kijana Mtanzania Benjamini Fernandes imefungua rasmi ofisi yake ya kwanza Afrika, mjini Nairobi nchini Kenya. Ufunguzi wa ofisi hiyo uliambatana na utiaji saini mkataba wa kibiashara kati ya NALA na benki ya Equity nchini Kenya ili kuwawezesha Watu kutuma fedha...
  2. R

    M Pesa/Airtel Money rudisheni pesa yangu

    Hawa jamaa sijui vipi. Nimefanya transaction Jumatano iliyopita, nimemtumia mtu wa Mpesa kwa bahati mbaya miamala ikaenda mara mbili. Nimewasiliana na Airtel Money wanasema wanasema Mpesa itarudisha ndani ya masaa 48. Leo sijaona muamala wowote . Rudisheni pesa yangu tafadhali. Maisha magumu.
  3. Google Diggers

    Nampenda Sana Gigy money

    Gigy kipenzi nicheki kwenye email stefanokiva@gmail.com I need to meet you in private Nicheki in private my email is stefanokiva@gmail.com Just send me contact
  4. Nyankurungu2020

    Royal Tour pamoja na kutumia mabilioni ya pesa haikumulika utalii wa mali kale na historia

    Nchi kama misri na Southa Afrivca zina pata pesa nyingi kupitia utalii wa mali kale historia. Angalia senema ya Royal tour haijakuwa na nia tjabiti kupromote utalii bali usanii wa kutafuna pesa za wananchi. Inaonyesha viongozi wanavua samaki na wachimba migodi wanazama mgodini for what...
  5. Poker

    Naombeni kujuzwa Money Heist inatoka lini!

    La casa de papel inatoka lini wadau huwa naikubali sana
  6. F

    Hizi tigo pesa,mpesa, airtel money kiwango cha mwisho kuweka kwa siku ni shilingi ngapi?

    Habari wadau. Kwa wenye uzoefu na hizi mobile money watuambie kiwango cha mwisho ni kiasi gani? Je inawezekana kwenye line moja kuweka milioni 5 kwa siku. Na ukamtumia mtu hiyo milioni 5 kwa muamala mmoja na yeye akapokea bila shida? Kwa mteja wa kawaida tu sio wakala. Je anaweza kuweka...
  7. YoyoTheDeveloper

    Pokea pesa kutoka Paypal kuja M-Pesa, Tigo Pesa na Airtel Money

    Habari zenu wakuu, Kutokana na Paypal kutoruhusiwa kupokea pesa Tanzania, nafikiria kuanzisha huduma itakayosajiliwa ambayo itawawezesha watanzania kupokea pesa kutoka paypal na kuingia kwenye mitandao ya simu ya Tanzania kama M-Pesa, Tigo Pesa na Airtel Money. Napokea maoni, ushauri na...
  8. Sky Eclat

    Saadi Son of Colonel Gaddafi was a Serie A footballer who ‘carried suitcases of money’

    From attending Holloway Comprehensive in north London to roaming around Monaco with a son of a brutal dictator, who was carrying suitcases of money, Jay Bothroyd wondered how his life had taken this turn in the early years of his football career. Just three years after leaving boyhood club...
  9. Mtondoli

    Nisaidieni nampenda sana Giggy Money

    Sina mengi nisaidieni kumwambia, nampenda mwambieni nitatoa mahari anayotaka yeye, afu mwambieni ndoa tutafungia Saadani, mwambieni niko tayari na nipo kwa ajili ya kumpa Raha, siitaji kulelewa ila kumlea.
  10. R

    Professor wa money heist ni zaidi ya Michael Scofield

    Wakuu mpo? Leo nimeona nike kwenye pande za burudani kuna uzi jamaa alianzisha kuwa Michael Scofield ni zaidi ya professor. Nilicheka sana kwa kujua hivi ni vile vitoto viliaminishwa tu havijui whats inside. Michael Scofield alisifika sana ndani ya Prison Break akicheza kama master mind kwa...
  11. I

    It is fair to say kuwa Money Heist is one of the best kama sio the best series of the decade?

    It was worth the wait kusema kweli. Series ambayo imekamilika kila idara yani inakufanya utamani kuangalia dakika inayofata nini kitatokea. Natamani mpaka wangekua ni watanzania jamani daah. Plot nzima imesimama vyema na mwisho wa series ile imemridhia kila mtazamaji. Kwangu mimi, hii ni...
  12. R

    Money Heist - Season 5 part 2

    Habar wadau Money heist imetoka janq dea 3 sasa mwenye link naomba aweke nidownload nione profesq atqvyomalizana na captqin sagata Tokyo dead Helaink kaumia mguu Atockholm upo adicted akijipiga madawa Wale jamaa kule chin bado wqnayeyushq dhahabu na wameambiwa waendelee na kaz hata km Yeau...
  13. Nafaka

    Hamisha pesa directly toka payoneer mastercard kuja airtel money haraka

    Kwa wale ambao mlikuwa mnapata tabu ya makato pale mnapoenda kudraw pesa kwakutumia payoneer mastercard sasa airtel wamesolve hilo shida. Airtel wana huduma ya kuhamisha pesa kutoka mastercard au visa kuja airtel, hivyo unaweza tumia njia hiyo hamisha pesa toka payoneer account kuja airtel...
  14. M

    Secrets poor people don't know about money

    As soon as you look at people like Dangote, Otedola, Adeleke, etc., you start asking yourself questions like, "Do they have two heads?" If you have ever wondered why the majority of the world's population is poor and, more importantly, how you can become rich, this is the topic for you...
  15. BAK

    Air Tanzania among entities that borrowed money without approval, says PAC

    Air Tanzania among entities that borrowed money without approval, says PAC THURSDAY OCTOBER 21 2021 Summary Another institution named by PAC is the Arusha International Conference Center (AICC). By The Citizen Reporter More by this Author Dodoma. Air Tanzania Company Limited (ATCL, is...
  16. Meneja Wa Makampuni

    Acheni kusomesha watoto kozi za kustafia bali wasomesheni kozi ambazo zinaweza watengenezea bilions of money

    Acheni kusomesha watoto kozi za kustafia bali wasomesheni kozi ambazo zinaweza watengenezea bilioni of money. Kozi za kustafia VS Kozi za kutengeneza bilioni of money. Utanielewa tu jaribu kufanya access matajiri wakubwa duniani wamesomea nini, achana na matajiri hawa wakibongo na Afrika...
  17. luangalila

    Airtel mnazingua huduma yenu airtel money haifanyi malipo ya serikali

    Tangu Jumatatu najaribu kufanya malipo ya serikali kupitia Airtel Money lakini malipo yana kwamba (pending) na inachukua masaa 38 kurejesha pesa a mteja ktk account yake. Huu ni uduwanzi mnatukwamisha. Airtel kama system yenu ya malipo haipo sawa ni vyema kutoa taarifa mapema.
  18. Suley2019

    The day Zuena refused to send Bebe Cool money

    Besides being wives to artistes, Zuena and Barbie have another thing in common. They are businesswomen who know what their money is worth. A few days ago, Bebe Cool learnt something he had never witnessed from his wife over the 20 years they have been together. The Zuena pastries proprietor...
  19. OMOYOGWANE

    Money Heist - Season 5 imetoka

    Wakuu series yetu pendwa season ya 5 volume one imetoka, Wenye Netflix wanafaidi, hivi hakuna njia ya kimagumashi ya kuipakua for free
  20. The Assassin

    Giggy Money.

    Neno moja kwa mrembo Giggy Money.
Back
Top Bottom