Je, pesa ni bahati? hasa ya kuzaliwa nayo?
Je, pesa ni kitu kinachotafutwa?
Je, pesa ina thamani ile ile tunayoiamini?
Je, ni kwa nini walio wachache wanamiliki kiasi kikubwa cha pesa na kutuacha wengine tuking`ang`aniana “Vijisenti” vilivyobaki?
Hayo ni maswali yaliyowahi na yanaendelea...