morogoro

  1. Faana

    Ushauri Barabara ya Morogoro - Kilosa Kuikwepa Mikumi National Park

    Nimekutana na mdau anasema Serikali ina mpango wa kukwepesha barabara ya Morogoro - Mikumi ipite Kilosa ili kuwanusuru wanyama mbugani. Ukitazama ramani inaonekana umbali wa kutoka Morogoro kupitia Dumila au Kimamba ni mbali hivyo itaongeza gharama za ujenzi na matumizi ya nishati kwa wenye...
  2. Faana

    Morogoro: Mvua Kubwa Inaendelea Kunyesha

    Mungu ni mwema, ule ukame uliotutia hofu kwamba huenda mwaka huu kukawa na njaa imetoweka, kuna mvua kubwa sana inanyesha ikiambatana na radi, japo hofu ni kwa wale waliojenga mabondeni, usalama wao huenda ukawa mdogo sana, ilitokea siku chache zilizopita baadhi ya makazi ya watu yaliingiwa na...
  3. M

    Nani yuko Kambarage hapa Morogoro muda huu?

    Aliyeko hapa morogoro, Kambarage anitfute tupige mbili tatu...
  4. BVR 2015

    Tahadhari: Barabara ya Morogoro kwenda Dar es Salaam haipitiki kutokana na msongamano wa magari kuanzia Kibaha hadi Chalinze

    Wasafiri ambao wanaenda mkoani kupitia barabara ya Morogoro kuanzia Kibaha hadi Chalinze kwa jioni ya leo haipitiki kutotokana na foleni iliyosababishwa na ujenzi unaoendelea katika mlima wa Mlandizi. Matokeo ya kufunga barabara upande mmoja umesababisha mwingiliano wa magari na kufunga njia...
  5. V

    Mnaofahamu, hali ya biashara ipoje maeneo haya kwa anayetaka kufanya biashara ya ubebaji wa mizigo ya mazao?

    Kuhusu Chita, Mlimba, Turiani, Mngeta, Mbingu, n.k mkoani Morogoro Habari wapendwa na poleni kwa majukumu ya kila siku! Baada ya salam niende kwenye jambo husika. Kuhusu hayo maeneo tajwa hapo juu na mengine yafananayo na hayo kwa kilimo cha mpunga hapa tz, napenda kufahamu kutoka kwa wadau...
  6. JanguKamaJangu

    Madereva bodaboda walioiba mbuzi Morogoro wakamatiwa Iringa (vijana tunafeli wapi)

    Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Allan L. Bukumbi ameeleza kukamatwa kwa watuhumiwa wa wizi wa mbuzi. Amesema tukio hilo lilitokea 09/02/2022 majira ya Saa Saba Usiku, (01:00hrs) maeneo ya Shule ya Msingi Mlandege Kata ya Mlandege Manispaa na Mkoa wa Iringa, Jeshi la Polisi lilifanikiwa...
  7. Mes92

    Waliokuwepo kwenye oral ya Mzinga corporation 29/12/2021 Morogoro vipi majibu bado jamani?

    Habarini za mda huu! Waungwana Kuna mwenye taarifa yoyote juu ya ile interview ya Mzinga tujuzane. Maana ni mwezi sasa au huwa wanachukua mda gani kutoa majibu ya oral? Kama Kuna mwenye experience na hizi ajira za utumishi tujuzane
  8. Stephano Mgendanyi

    Kenani Kihongosi amuwakilisha Daniel Chongolo kwenye Msiba wa Mke wa RC Martine Shigela

    Ndugu Kenani Kihongosi (Katibu Mkuu UVCCM) amuwakilisha Ndugu Daniel Chongolo (Katibu Mkuu CCM) Msiba wa Mke wa RC Morogoro, Mhe Martine Shigela. Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Cde Kenani Kihongosi akimuwakilisha Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu...
  9. Mr Dumila

    Umeme Dumila umekuwa kero iliyopitiliza toka Novemba 2021

    Dumila ipo Mkoani Morogoro kiukweli hali ya upatikanaji wa umeme ni mbayaa kupitiliza. Sio kwamba ulikuwa haukatiki kipindi cha mwendazake la hasha ulikuwa unakatika sana tu ila awamu hii imepitiliza Alipoingia January Makamba hali ndio imezid kubadilika yaani umeme unaweza katika siku 5...
  10. Mohamed Said

    Kumbukumbu ya kesi ya Sheikh Ponda 2015

    KUMBUKUMBU YA KESI YA SHEIKH PONDA MOROGORO 2015 ''Allah ni Mjuzi Allah na ni Mbora wa kulipa. Sheikh Ponda utayakuta malipo yako kwa Allah yakiwa makubwa kwa subra na ustahamilivu kwa ajili ya dini yake. Hukuwa tayari kuuza uhuru wako kwa matakwa ya wenye kudhulumu. Muda wote ulitutia moyo...
  11. Faana

    Kamati ya Ulinzi na Usalama Morogoro, simamieni viwango vya makanisa yanayojengwa kwa nguzo za miti na mbao bila kuta za matofali

    Napenda kuishauri Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Morogoro, kuchukua tahadhari na kusimamia viwango vya makanisa yanayojengwa kwa nguzo za miti na mbao bila kuta za matofari. Jana 16.01.2022 majira ya asubuhi karibia na ibada kuanza Kanisa la Nabii Joshua Lililopo Kihonda Yespa...
  12. lwambof07

    Majaribio ya treni ya treni ya umeme Dar-Moro kuanza Aprili 2022

    [emoji397] [emoji577][emoji588][emoji588][emoji588][emoji588][emoji588][emoji588][emoji588][emoji588][emoji588]
  13. Mohamed Said

    Siku moja na Sheikh Ponda Mahakamani Morogoro 2015

    SIKU MOJA NA SHEIKH PONDA MAHAKAMANI MOROGORO Miaka saba iliyopita siku kama ya leo. Siku nyingi zilikuwa zimepita sijamuona Sheikh Ponda si kwa kuwa alikuwa kifungoni mahabusi bali nilikuwa nje ya Dar es Salaam kwa muda mrefu. Nikaamua kwenda kumuona mahakamani Morogoro kesi yake ilipokuwa...
  14. kimsboy

    SGR Dar - Moro imeishia wapi? Au ilikua Sinema ya Kihindi?

    Hiyo SGR haikamiliki tu jamani? Hadi leo ni propaganda tu zimebaki mara 2019 itakua tayari,mara 2020 mwezi wa 5, mara August 2021, mara November 2021, mara january 2021,mara august 2021, mara November 2021 Kinara wa hizo propaganda ni majaliwa Soma pia: Uzi mkuu unaoonesha yaliyojiri kwenye...
  15. B

    Morogoro: Vilio na simanzi vyatawala mwili wa mwanafunzi wa SUA aliyeuawa

    Vilio na Simanzi vimetawala wakati wa ibada ya kumuaga Mwanafunzi ambaye amehitimu katika Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine (SUA) mkoani Morogoro, Magreth Mashuwe aliyeuawa na watu wasiojulikana katika mashamba ya chuo hicho hivi karibuni huku chanzo kikikwa bado hakifahamiki. Ibada hiyo...
  16. kagoshima

    Kuna baadhi ya vituo vya mafuta Morogoro hawatoi receipts

    Huu ni uhujumu uchumi, SUMATRA na TRA chunguzeni. Kuna vituo vya mafuta ya petrol na diesel hapa Morogoro wameacha kutoa receipts ili kuikosesha serikali mapato. Chunguzen sitovitaja vituo husika kwani mnalipwa mishahara kwa Kazi hiyo. Sasa basi kama kuna baadhi yenu wana colude na wamiliki wa...
  17. Requal

    Aliyeko Black & white Morogoro muda huu ani - DM tuinjoy free

    Wadau mlioko kiwanja hiki, black & white DM tupombeke free
  18. Kamanda Asiyechoka

    Picha: Miaka 60 ya uhuru viongozi wa CCM wakikagua shule iliyojengwa kwa nyasi mkoani Morogoro

    Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Morogoro Bi. Dorothy Mwamsiku akiwa ameambatana na Katibu Mwenezi wa CCM Mkoa wa Morogoro Ndugu Anthony Mhando, ametembelea Shule Shikizi Lukande, Wilaya ya Ulanga. https://t.co/S87ZMyXNjU
Back
Top Bottom