morogoro

  1. chiembe

    Luhaga Mpina kudaiwa kudhulumu ardhi ya Kijiji ekari 1000 Morogoro, Wizara ya Ardhi iingilie kati

    Serikali ndio mtetezi wa wanyonge dhidi ya matapeli papa wanaodhulumu wanakijiji ardhi yao, hawa ndio wanazua migogoro mikubwa sana kati ya wananchi, na kati ya serikali na wananchi. Nashauri wizara ya ardhi iunde timu ikachunguze na Kisha ichukue hatua ya kurudisha ardhi hiyo kwa wanakijiji...
  2. Mwendece

    Fundi wa kushona nguo Morogoro Mjini anahitajika

    Habari za humu ndani wakuu, kama heading inavyojieleza mimi nipo morogoro mjini ninayo cherehani ila nina majukumu mengine yanayonibana,natafuta mtu aliye serious na kazi na anajua kushona vizuri nimkabidhi cherehani kwa makubaliano maalumu tuweke kijiwe tupige kazi. mwenye uhitaji huo nicheki...
  3. AmazingHope

    Mdada miaka 28, natafuta kazi nipo Morogoro

    Habari, Elimu yangu ni Degree natafuta kazi yoyote halali. (Kama kusimamia biashara/ofisi, duka, supermarket etc)kwa mkoa wa Morogoro au sehemu nyingine.Yeyote mwenye connection ya kazi naomba anisaidie hata kama kutakuwa na malipo ya pesa. Asanteni
  4. Idugunde

    Morogoro: Mpiga debe amuua mpiga debe mwenzake wakigombea abiria stendi ya Msamvu

    Jeshi la Polisi Mkoani Morogoro linamshikilia mpigadebe wa mabasi ya Abood Abdilah Yassin (32) mkazi wa Kihonda Manispaa ya Morogoro kwa tuhuma za kumuua mpiga debe mwenzake wakati wakigombea abiria kwenye stendi kuu ya mabasi Msamvu. --- Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linamshikilia Abdilah...
  5. Mparee2

    Mashine ya kuchimba visima Morogoro!

    Nilipokuwa ziarani Morogoro nilijulishwa kuwa, hakuna mashine/gari au niseme kampuni hata moja iliyopo mjini Morogoro yenye gari la kuchimba visima Nilichokikuta pale ni madalali ambao hupatana na mteja halafu wao huenda kukodisha mashine/gari la kuchimba huko DAR na hivyo kufanya bei ya...
  6. Analogia Malenga

    Twaha Kiduku amtwanga Alex Kabangu wa DRC, ashinda Mkanda wa UBO

    Bondia wa Tanzania Twaha Kassim Lubaha anapambana na Alex Kabangu kutoka Congo DRC kushindania mkanda wa UBO Super Middle weight, African Title ambao hauna mwenyewe =================== Twaha Kiduku ampiga Alex Kabangu, ashinda Mkanda wa UBO, Mkoani Morogoro Bondia Mtanzania Twaha Kiduku...
  7. GENTAMYCINE

    Tanzania ina Mikoa mingi ila ni kwanini Kihistoria Mkoa wa Morogoro una Urafiki wa Kudumu na wa Kiupendo kabisa na Ajali Mbaya tu nchini?

    R.I.P sana Waziri Mkuu Edward Moringe Sokoine uliyefia Morogoro njiani, R.I.P mno Marehemu Mjomba wangu Kipenzi Ian uliyefia njiani ukiwa unakuja kunipitia twende Kuiangalia Simba SC yetu, R.I.P wale Makomandoo Wawili mliofia njiani Morogoro, R.I.P Madereva wote wa Gari ndogo mnaokufa kila Uchao...
  8. BigTall

    Morogoro: Lori lagonga nyumba, laua watu watatu

    Watu watatu ambao ni Wanaume wawili na Mwanamke mmoja wamefariki na mmoja kujeruhiwa katika ajali ya gari baada ya Lori kuacha njia na kuingia katika nyumba iliyo karibu na barabara Mikumi Barabara ya Morogoro-Iringa. Majeruhi Rajabu Kapomba amesema ajali hiyo imetokea alfajiri ya leo machi 25...
  9. Saston124

    Natafuta sehemu ya kufanyia field Morogoro

    FIELD MOROGORO Naomba msaada kwa anayefahamu maeneo ya kufanyia field morogoro mm nakaa kihonda magorofan na nasoma bachelor ya it chuo cha uhasibu arusha.
  10. JanguKamaJangu

    Ajali Morogoro: Gari la abiria lagonga lori kwa nyuma, wawili wafariki dunia

    Watu wawili wamefariki dunia na wengine 15 kujeruhiwa baada ya gari la abiria aina ya Toyota Coaster kuligonga kwa nyuma lori lililokuwa limeegeshwa pembezoni mwa barabara kuu ya Dar es Salaam- Morogoro eneo la Oilcom Nanenane. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, SACP Fortunatus Muslimu...
  11. Lord OSAGYEFO

    Mvomero, Morogoro: Waziri Bashungwa abaini upotevu wa shilingi milioni 231 ujenzi wa miundombinu Sekondari ya Kumbukumbu ya Sokoine

    Watanzania hawa watendaji wetu sasa wamekuwa ni balaa. Upigaji wa fedha za miradi unatisha. Kila kukicha utasikia halmashauri hii imepiga, wilaya hii imepiga. Mkandarasi huyu kapiga ilimradi ni vipigo wa fedha za miradi kwa urefu wa kamba. Wakati umefika kwa serikali isiishie kuwasimamisha kazi...
  12. E

    Natafuta wauzaji wa nguo za mtumba Mikoani

    Ndugu habari! Natafuta mtu anayefanya biashara ya uuzaji wa nguo za kiume mtumba mikoani. Nina bidhaa za nguo za 👖 jeans suruali, t-shirt ,na pia trak juu na chini.. (GRADE A) bei nafuu tu nipo maeneo ya Tabata segerea Mawasiliano 0744644627 0622531099 Hata pia kwa...
  13. John Haramba

    Abiria wakwama Kilosa, Morogoro, ni baada ya reli na daraja kusombwa na maji

    Kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha mkoani Morogoro zimesababisha madhara kwa kuharibu miundombinu ya reli ya kati na barabara ambapo daraja la Kidete Wilaya ya Kilosa limekatika na kusababisha treni kusimamisha safari zake. Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Majid Mwanga amefika eneo la tukio na...
  14. Faana

    Morogoro: Hujuma Mchana Kweupe Ujenzi wa Mitaro ya Barabara

    Wadau mada inajieleza; nimeshitushwa sana nimepita Morogoro eneo la Mkundi ambako mwaka jana tu miezi ya mwishoni ulifanyika ujenzi wa mitaro ya maji ya mvua kandokando ya Highway ya Morogoro - Dodoma. Mvua iliyonyesha siku chache zilizopita imesomba mawe yote yaliyojengwa kwa cement na mchanga...
  15. Greatest Of All Time

    NBC PL| Mtibwa Sugar 0 - 2 Yanga | Manungu Complex

    Muda mchache ujao, kutakuwa na mchezo mkali kati ya Mtibwa Sugar Vs Yanga Sc Mchezo huo unategemewa kuvuta hisia za mashabiki wengi, kwani Mtibwa anaonekana kama mgumu akiwa uwanja wa nyumbani. Je, Yanga ataweza kuibuka na alama zote tatu ugenini? Mpira dakika 90, tukutane hapa kwa updates za...
  16. John Haramba

    Morogoro: Aliyemuua dada yake alishawahi kumuua bibi yake

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limesema kuwa kijana Shomari Malima anayedaiwa kumuua kwa kumcharanga na mapanga dada yake aitwaye Faidhat Ibrahimu (13) kutokana na ugomvi wa kifamilia, inadaiwa pia ameshawahi kumuua bibi yake kutokana na imani za kishirikiana ambazo zimemfanya asishiriki tendo...
  17. A

    Nina mtaji wa milioni 2 nifanye biashara gani ili nipate faida?

    Milioni 2 naweza fanya biashara gani ambayo utanisaidia kupata pesa ya kula kila siku na akiba angalua 10000 kuweka? Mimi ni single mama ninaehitaji kujishughulisha ili niishi vizuri na mwanangu. ====== Michango wa mdau
  18. Superbug

    Tujikumbushe vifo vilivyotokea Morogoro, JB na wenzake walipopigwa risasi na kufa papo hapo

    Kama miaka kumi iliyopita kuna wafanyabiashara wa madini walikuwa nane walikuwa wanaenda Mahenge walipofika nanenane walimiminiwa risasi na Polisi wakidhaniwa ni majambazi akiwemo aliyekuoa mfadhili wa bendi nyingi za muziki mjini Darisalama aliyeitwa JB Mnaokumbuka vizuri tukio hili mtukumbushe.
  19. tumbili mweusi

    Viwavijeshi wanashambulia mazao Itete, Malinyi Morogoro

    Habari wana JamiiForums, Hivi mbona serikali haichukui hatua kudhibiti hawa viwavi jeshi wanaoshambulia mazao ya wakulima? Chondechonde hali mbaya huku Itete wilayani Malinyi, mkoa wa Morogoro.
  20. JanguKamaJangu

    INASIKITISHA; Tuhuma nyingine nzito kwa Jeshi la Polisi, watuhumiwa wawili wafariki Morogoro na Tabora

    Tuhuma dhidi ya Jeshi la Polisi kuhusu kusababisha mauaji zimeendelea kushika kasi na leo hii Jumatatu Februari 14, 2022, Gazeti la Mwananchi limeibuka na tuhuma nyingine tena zinazohusu jeshi hilo. Mwananchi imeripoti juu ya matukio mawili ya kuuawa wa watuhumiwa,moja liamuhusu mmja wa vijana...
Back
Top Bottom