moshi

Moshi Monsters was a British website aimed at children aged 6-12, with over 80 million registered users in 150 territories worldwide. Users could choose from one of six virtual pet monsters (Diavlo, Luvli, Katsuma, Poppet, Furi and Zommer) they could create, name and nurture. Once their pet had been customized, players could navigate their way around Monstro City, take daily puzzle challenges to earn 'Rox' (a virtual currency), play games, personalize their room and communicate with other users in a safe environment, although this has been disputed. Moshi Monsters officially closed on 13 December 2019.

View More On Wikipedia.org
  1. U

    Gari yangu inatoa moshi mweupe mwingi kama wingu naomba msaada

    Tafadhali wataalamu na wazoefu wa jukwaaa letu pendwa 1.Gari yangu ilianza kutoa moshi mwingi kama wingu kubwa na ilikuwa inaonyesha engine check baada ya hapo nikabadilisha oil s40 na baada ya kuchange oil ikawa haitoi tens moshi kabisa na ile taa ya check engine ikazima Ila baada ya halo...
  2. J

    Pendekezo: Madiwani na viongozi wa DSM wakajifunze Usafi Manispaa ya Moshi

    Kiukweli Dar es salaam ni chafu mno leo nimepita mitaa ya Kinondoni mkwajuni hakika kunanuka na kutia aibu. Kwa ufupi kabisa niwaombe madiwani wa Dar wakajifunze usafi kwa wenzao wa Moshi au hata pale Iringa manispaa. Kwa kweli Dar es salaam kwa uchafu inatisha na hii Corona ndio hatari tupu...
  3. Fya-fyafya

    Dhana ya kujiepusha Mikusanyiko dhidi ya Coronavirus na Mashindano ya Draft Kitaifa yanayofanyika Moshi Mjini Majengo Mississippi

    Serikali kupitia kwa viongozi wa juu akiwemo Mheshimiwa.Raisi, Waziri mkuu na Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto wamekuwa wakituhadharisha na kutupa Elimu ya namna gani ya kujilinda na kujiepusha na Huu ugonjwa Hatari wa Korona ambao umeangamiza maelfu na maelfu nduniani...
  4. S

    Kwa hili la COVID-19 Hongereni Sana Manispaa ya Moshi

    Ndugu zangu Watanzania tuko katika mapambano makali dhidi ya adui hatari aitwaye COVID-19 Kama tunavyoambiwa na wataalamu wa afya katika janga hili kuwa ni vyema kila akajikinga kwa kuchukua tahadhari zote muhimu. Katika hili nawapongeza sana viongozi wa Manispaa ya Moshi kwa kuanza utaratibu...
  5. N

    Naomba tufahamishane kwa wajuzi na wanaofanya biashara ya kununua nguo za kike za mitumba(especially suruali nzur za kike na blouses)pale memorial mos

    Habari wanajamvi naomba msaada kwa wabobezi na wanaofanya biashara hii ya kuchukua nguo za mitumba kwa kupoint suruali na blouses za kike pale sokoni memorial moshi,binafsi ni mgeni Kanda hii ya kaskazini na natarajia kuanza kufanya biashara io ya nguo Kali za mitumba za kike. Naomba...
  6. Analogia Malenga

    Meya wa Iringa ang’olewa madarakani

    Iringa. Wajumbe wa Baraza maalumu la madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa nchini Tanzania wamemuondoa madarakani meya wa manispaa hiyo, Alex Kimbe. Kimbe ambaye anatokana na chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema ameng’olewa madarakani leo Jumamosi Machi 28, 2020 katika...
  7. BASIASI

    Waziri Mkuu Majaliwa ukimalizana na Mkonge Tanga, tugeukie Kahawa Moshi

    Kwako PM Majaliwa Awali ya YOTEE nikupongezee kwa zoezi linaloendelea Nichukue fursaa HIII kukuombaa BAADA yaaa kurejeshaa MALIZANA SERKL zilizomilikishwa kwa wahunii wasioitakiaa nchii hii memaaa upandee WA mkongee Tunaombaa MWELEKEZE paler kilimanjarooo kukaguaa malizote za bodi ya kahawaaa...
  8. F

    Bonifance Mwamposa, (Buldoza) atunukiwa Shahada ya Uzamili ya heshima na Chuo cha Lead impact University kilichopo Colorada nchini Marekani

    Ni ajabu na kweli baada ya yote yaliyotokea Moshi mwezi uliopita Mwamposa atunukiwa udaktari wa heshima. Mshana Jr alitabiri kupanda cheo kwa Mwamposa na sasa yamekuwa kweli. Watu wanapaswa kufunguka macho kuhusiana na yanayoendelea ulimwenguni tena siku hizi yapo wazi kabisa. Kuweni waangalifu...
  9. M

    Bwana Senzia Lushino, Afisa Tarafa Kata ya Moshi Magharibi Amsimamisha Kazi Mwalimu Honest Shirima kuanzia leo

    Afisa Tarafa ya Moshi Magharibi Bwana Senzia Lushino mwishoni mwa wiki hii ametembelea Shule ya Sekondari Korongoni iliyoko manispaa ya Moshi Mjini katika kata ya Soweto na kukuta Mwalimu mtoro sugu bwana Honest Shirima hayupo. Mwalimu huyo anatumia muda mwingi kuendesha Bajaj mjini moshi muda...
  10. Miss Zomboko

    Serikali yalifunga kanisa la EAGT Moshi kutokana na mgogoro wa Viongozi na Waumini

    Serikali ya Wilaya ya Moshi imelifunga kwa muda kanisa la Evangelist Assembles of God (E.A.G.T) Mawenzi lililopo Mtaa wa Vigae kutokana na mgogoro kati ya waumini na uongozi wa juu wa kanisa. Chanzo cha mgogoro kinadaiwa kuwa ni uongozi wa juu wa kanisa hilo kumuondoa mchungaji mwanzilishi wa...
  11. LIKUD

    Kilichotokea Moshi sio kafara kwa sababu zifuatazo

    KAFARA NI NINI? Kafara NI kitu cha thamani kinacho tolewa na MTU Kwa Mungu au miungu Kwa sababu maalumu. SABABU ZA KUTOA KAFARA. Kafara hutolewa Kwa sababu mbalimbali. Kwa sababu ya muda na nafasi nitazielezea chache Kwa ufupi: 1.TO PROVE YOUR LOYALTY AND OBEDIENCE TO THE GOD OR god(s)...
  12. J

    Mauaji Moshi: RC Mghwira asema utaratibu wa kukanyaga mafuta uliandaliwa vizuri ila vibaka walivamia kutokea nje na kusababisha maafa

    Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro amesema paliwekwa mabeseni ya mafuta katika mageti yote ila cha ajabu katika geti moja palitokea kundi la vijana kutoka nje ya uwanja na kulazimisha kuingia ndani kwa nguvu ndipo watu wakaanza kukanyagana. Akizungumza katika ibada ya kuwaaga marehemu mama Mghwira...
  13. BASIASI

    Watumishi wanafiki wanaoshangilia tukio la Moshi ni wivu na si mengineyo

    Nasoma page mbalimbali unaona watumishi wa kiroho na wengine wachache wakifurahia tukio la Moshi. Mbaya wengi wanalilia pesa za sadaka zinazokusanywa na Mwamposa. Niwaambie tu haya yote ni unafiki hakuna Makanisa yasiyotoza watu sadaka wala zaka na mkae kimya msiaibike Wengine mnaruhusu hata...
  14. BASIASI

    Mambo kadhaa ya kujiuliza katika kongamano la Moshi lililoua watu 20

    NAAMINI BADO WOTE TUNAAMINI MUNGU TUNAPOWEZA KUITA VIBANDA DINI NAWAZA YAFUATAYO 1))NANI ALIERUHUSU USAJILI WA HII VIBANDA DINI 2))KWENYE MKUTANO WA SIASA SIKUZOTE TUNAONA GARI ZA WAH NDUGU ZETU POLISI JE SHIDA IKO WAPI WASIONEAKNE KWENYE HIO MIKUTANO 3))NANI ALIETOA KIBALIA CHA KONGAMANO LA...
  15. Nsumba ntale tz

    Moshi: Watu 20 wapoteza maisha kwa kukanyagana kwenye Ibada ya Mwamposa; Polisi wathibitisha kumshikilia

    Waumini 18 wa Dini ya Kikristo wamefariki dunia usiku huu mjini Moshi, wakati wakikanyagana kugombea kukanyaga mafuta ya upako katika kongamano la kidini la Mtume Boniface Mwamposa, DC wa Moshi Kippi Warioba amethibitisha Updates: 00:45 Idadi ya watu waliopoteza maisha kwa kukanyagana imefikia...
Back
Top Bottom