Moshi Monsters was a British website aimed at children aged 6-12, with over 80 million registered users in 150 territories worldwide. Users could choose from one of six virtual pet monsters (Diavlo, Luvli, Katsuma, Poppet, Furi and Zommer) they could create, name and nurture. Once their pet had been customized, players could navigate their way around Monstro City, take daily puzzle challenges to earn 'Rox' (a virtual currency), play games, personalize their room and communicate with other users in a safe environment, although this has been disputed. Moshi Monsters officially closed on 13 December 2019.
Habari ndugu wananchi wa mikoa ya ARUSHA NA
KILIMANJARO...,
Kwa mahitaji ya...,
1.Vyumba (SINGLE SELF , DOUBLE SELF , AU VYA KAWAIDA) ,
2. Nyumba NZIMA ZA KUPANGA ,
3. Fremu za biashara MOSHI na viunga vyake ,
4. MAJENGO mazuri na yanayofaa kwa kuweka
4.1 Ofisi za taasisi,
4.2 GODOWN ,
4.3...
Position: Moshi Branch Cash Officer Section Head
Key Responsibilities
Manage counter services to ensure efficient service is delivered to customers.
Maintain custodian cash in the branch and the strong rooms.
To ensure that cash holding limits are maintained both in reserve and with the...
Madereva wanaoendesha mabasi kati ya Arusha na Moshi wameibua tuhuma nzito juu ya viongozi wa chama cha wasafrishaji Moshi Arusha (AKIBOA) kwamba wanawatoza sh. 2,000 kila wanapopakia Abiria .
Kwamba fedha hizo hawajui zinapelekwa wapi na hawapewi stakabadhi ya malipo.
Tuhuma hizo zipo kwenye...
Leo ningependa nizungumze na ndugu zangu Wachaga na wanipe ufafanuzi kuhusiana na madai yangu.
Ukiwa mtumiaji wa mitandao ya kijamii utakutana na machapisho mengi yanayozungumzia sana ndugu zetu Wachaga kwa namna chanya kwamba wana uwezo mkubwa wa fedha nakadhalika na mbaya zaidi wapo ambao...
Wakuu kwema?
Tarehe 4/2/2020 Mwamposa na wenzake 7 waliachiwa kwa dhamana kwenye kesi iliyokuwa inawakabili, ambapo Kongamano lililokuwa linaongozwa na Mtume na Nabii Boniface Mwamposa lilisababisha vifo vya watu 20 wakati waumini wakiwa katika harakati za kukanyaga mafuta.
Mwamposa na wenzake...
MKUU wa wilaya ya Moshi, Kisare Makori leo alikuwa kwenye ofisi za makampuni ya mabasi ya Kilimanjaro express baada ya abria kusota kwa saa sita bila usafiri kufuatia katazo la Mamlaka ya udhibiti usafiri Ardhini(LATRA) kwa mabasi hayo kusafrisha abiria kuanzia leo kwa kukiuka masharti ya leseni...
Kamati ya Ulinzi na Usalama ya wilaya ya Moshi imewakamata wafanyakazi wa kampuni tajwa hapo juu baada ya kujificha maliwatoni na kuwatelekeza abiria pasipo kuwatafutia usafiri mbadala baada ya kampuni yao kufungiwa na LATRA.
Chanzo gazeti la Mwananchi.
Umbali wa kutoka Moshi Mjini hadi Kikavu chini ni Kilomita 11 tu, nauli ya awali ilikuwa ni Shilingi 600 kabla ya ongezeko la hivi karibuni iliyofanya nauli ya eneo hilo kuwa ni Shilingi 700.
Pamoja na mabadiliko hayo, Daladala zinazoenda njia hiyo hazijawahi kuwatoza kiasi hicho cha nauli...
Habari wandugu,
Nina fremu ya kupangisha moshi mjini. Fremu ni kubwa na ni nzuri kwa biashara ya aina yoyote ile na ipo katikati ya mji wetu huu wa moshi Mji tulivuuu kabisa. Usio na shida yoyote ile zaidi ya fursa za kiuchumi inayochanganyika na fursa za utalii..
FREMU IPO KARIBU NA...
Nikiwa katika pitapita zangu za kusafiri mwishoni mwa mwaka huu wa 2023 nikajikuta mikoa ya kaskazini, nikatua Stendi kuu ya mabasi ya mikoani pale Moshi mjini na hapo nikakutana na mambo ya ajabu, yaani uchafu, ushamba na ujinga wa kiwango cha juu kupitiliza tena mamlaka za serikali...
Habari wanajukwaa mko salama?
Nina rafiki yangj yuko USA nataka kumtumia mzigo wake huko alipo, so naombeni msaada wenu wa kujuzwa kampuni ambayo naweza safirisha nao mzigo ukamfikia mhusika kwake.
Natanguliza shukuran.👏
Kiwanja kikubwa Cha makazi kiko Maeneo ya shirimatunda- moshi mjini
Mwana apolo amekwama. Biashara zake za madini haziendi
Kiwanja kimezungushiwa fensi ya senyenge kiko karibu na shule ya sekondari maji na umeme vipo hapo jirani
Mwenye kiwanja anahitaji hela ya haraka
Bei million 17
Kahawa ni miongoni mwa zao la biashara linalolimwa ukanda wa Afrika Mashariki ikiwemo na Tanzania.
Mkoa wa Kilimanjaro ni miongoni mwa mikoa ambayo zao la kahawa linapatikana hususani kahawa aina ya ARABICA.
Mnamo tarehe 16/10/2023 nilipata nafasi ya kuwapeleka watalii kijiji cha Materuni...
Niwapongeze sana wachaga kwa utaratibu wao wa kukutana kila ufikapo mwisho wa mwaka,
Sababu zao kukutana ni kama ifutavyo
1. Kukutana na kuonana live ndugu jamaa na marafiki baada ya kupotezana kwa takribani mwaka mzima kwenye harakati za utafutaji.
2. Kusherehekea kumaliza mwaka salama kwa...
Habari wa ndugu wa jamii forums , nipo hapa kuomba kwa mwenye mabati used yaliyo na hali nzuri awasiliane na mimi
Mawasiliano. 0672701329
Nahitaji pc 50 hivi
Asante...
Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (LATRA) imetangaza mabadiliko ya nauli katika safari za masafa marefu na masafa mafupi baada ya kupitia maoni ya wadau wa usafiri nchini.
Kwa mujibu wa LATRA nauli za safari zisizozidi kilometa 10 ambayo nauli yake ilikuwa shilingi 500 sasa itakuwa 600...
babati
bei
daladala
dhidi
dodoma
haraka
kiuongozi
kuanza
kupitia
kutoka
kwenda
latra
mabasi
marekebisho
mbili
moshi
mpya
nauli
rais
rais samia
samia
serikali
umbali
ustawi
Habari , ninauza pallet mahususi kwa ajili ya kubebea mizigo ni imara na zinadumj maana zimetengenezwa na ni mpya
Zipo hapa. Moshi mjini
Mawasiliano ni. 0672701329
Bei 25,000 kwa kila pallet....
Na pia zinafaa hata kutumika madukani kuwekea mizigo , friji na kazalika...
Karibuni wandugu.....
Niwe wazi na msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Serikali imeshindwa kujenga Kwa kiwango cha kimataifa barabara kutoka Tengeru kwenda Moshi mjini?
Sasa imeanza kuziba viraka barabara yote hiyo tena bila aibu!
Tanroads wamelala usingizi.
Samia anagawa hela kwenye Mchezo.
Barabara hiyo...
Position: Technical Operator-Packaging (Moshi, and Dar es Salaam)
Worker Type: Regular
Location: Moshi &Dar es Salaam
Top accountabilities
Adheres to Environment, Health and Safety procedures and standards
Performs equipment shutdowns according to the SOP
Run the equipment at the rated speed...
Hali ya taharuki imetokea katika shule ya msingi Narumu, katika Kijiji cha Narumu wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, baada ya mama mmoja ajulikanae kwa jina la Valentina Kweka, kuingia ofisi ya walimu na kumpiga Mwalimu.
Mwalimu huyo ambaye ni wa kike (jina limehifadhiwa) alijeruhiwa hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.