movie

Movie Movie is a 1978 American double bill directed by Stanley Donen. It consists of two films, Dynamite Hands, a boxing ring morality play, and Baxter's Beauties of 1933, a musical comedy, both starring the husband-and-wife team of George C. Scott and Trish Van Devere. A fake trailer for a flying-ace movie set in World War I entitled Zero Hour (also starring Scott) is shown between the double feature.
Barry Bostwick, Red Buttons, Art Carney and Eli Wallach also appear in both segments, with Harry Hamlin, Barbara Harris and Ann Reinking featured in one each. The script was written by Larry Gelbart and Sheldon Keller.

View More On Wikipedia.org
  1. Johnny Sins

    Movie ya Tomb Raider

    Wanasheria wa familia walipitisha tamko..maamuzi ikawa ni kugawa urithi.. ..Kwamba mzee Richard croft amepotea na ameshindwa kupatikana..mtoto wake wa kike akawa ni kati ya wataopata sehemu ya mali za baba ake.. ..Lakini akakataa.. ..Lara Croft hakuamini kuwa baba ake kafa..alichojua...
  2. Johnny Sins

    Movie ya Hard Target

    ..Alikuwa mtaani..ndani ya orleans..hakuijua kula yake kama maskini wengine wa pale...akayakubali hayo..akayaishi maisha yake.. ..Douglass binder..pamoja na hali yake ya kukosa mahitaji muhimu..hakuwahi kumuibia mtu..na aliwasaidia wenzie waliohitaji maisha kama yake.. ..Hadi ilipokuja siku ya...
  3. Johnny Sins

    Movie ya 22 Mile

    Meli iliyobeba cesium..kemikali zenye sumu zinazoweza kutengeneza silaha za hatari na kuua mamia ya raia wasio na hatia.. ..Ilikuwa inahitajika kuwasili..na ilihitajika kuzuiwa isiwasili.. ..Nani wa kuzuia!!.. ...Ni complete American Black Operations agent..Binadam mwenye hasira za kwenda na...
  4. Johnny Sins

    Uchambuzi wa movie ya White House Down

    ..Ni John cale..capitol police officer..baba wa mtoto mmoja wa kike.. ..Alimuahidi binti yake kuwa angepata kazi kwenye ikulu ya marekani..kama special agent..mtu anaeangalia maisha ya raisi kwa ukaribu.. ...Akaongozana na binti yake..akaenda kufanyiwa interview.. ..Na majibu...
  5. Johnny Sins

    Movie ya Man on a ledge

    ...Taarifa ya kuwa baba yake kabakiza muda mfupi wa kuishi duniani ilimkuta akiwa nyuma ya nondo.. ..Wakati hajajua aipokee vipi habari hiyo ni siku mbili mbele..akafungwa pingu akahudhurie mazishi.. ..Nick Cassidy alilia akiwa jela..akalia tena alipokuwa mbele ya kaburi la baba yake...
  6. Nafaka

    Sitazami movie za kibongo ila natamani kuona hii movie mpya trailer yake imenivutia sijui kisa imechezea nje

    Hii ni trailer ya nothing else ya movie toka timamu, imenivutia natamani nione hii movie huenda wamefanya kitu kikubwa
  7. Nafaka

    List Ya Movie Sound track Kali ambacho zinaishi

    Kwa wale waliowahi kutazama series ya Jumong hii ni sound track number 7, ni moja ya soundtrack kali wabongo wameicopy na kuitumia kwenye movie nyingi sana Kwa waliotazama series ya Spartacus nadhani mtakuwa mnaikumbuka hii theme nadhani inaiwa Sura theme ni bonge la theme. Hii utaikuta kwenye...
  8. F

    Tamthilia kali kuliko zote bongo. Hii ndiyo kiboko ya bongo movie, lazima uipende

    TAMTHILIA: CERTIFIED PERSON OF MY LIFE (CPL) (MTU ALIYETHIBITISHWA KWA MAISHA YANGU) MWANDISHI/MTUNZI: MANSHYNE Email address: manshinef@gmail.com instagram: @manshynee Sehemu ya 01. DARASANI: Ilikua ni muda wa kipindi cha ujasiriamali kwa Wanafunzi wanaosomea kozi ya biashara. Lecturer...
  9. Mkogoti

    Sammo Hong: Kibonge mtaalamu wa movie toka enzi hizo

    Najua wachache wanamjua mtaalmu huyu hasa kwenye filamu za mapigano na ule unene wake lakini anapiga kung fu shida, kacheza na mastaa wengi nao movie tofauti kama Jacky Chan, Bluce Lee, Donny Yen, Jet Lee, na wengine wengi.
  10. SteveMollel

    Movies kali za weekend hii (Session 06)

    Ni matumaini yangu mko poa. Ni ‘weekend’ sasa, muda ambao tunapata mapumziko, hivyo basi si vibaya kama tukipata wasaa wa kupakua na kutazama filamus kadhaa kwa ajili ya burudani na pia kujifunza. Bila kupoteza muda, tuzame kwenye hizi hapa ambazo naamini hautajutia ukizipatia muda na bundle...
  11. anonymousafrica

    Ugonjwa wa kucheka, Pseudobulbar Affect, / PBA kwa walioitazama na wasioitazama movie ya Joker tujuzane hili

    Joker au jokeri, wacheza karata wanampenda na wanamwogopa, akikulalia huyu unahesabiwa una 50, kwenye adhabu unamlambisha mtu 5. Tuachane na huyu Joker anayejulikana kwa jina la Arthur Fleck (jina halisi Joaquin Phoenix) kupitia movie ya JOKER 2019 na movie zingine nyingi zinazomuonyesha kuwa...
  12. Mkogoti

    Ulikuwa Unajua hili kuhusu Movie za Eddie Murphy. Twende pamoja

    Wakuuu habari za mida Okey ni hivi Najua unamjua na unampata sana black America (Eddie Murphy) basi leo nakwambia jamaa ana uwezo wa kucheza Character Zaidi ya Tano, ipo hivi leo nakwambia kama umeshaiyona movie ya Coming to America basi mule kacheza mtu tofauti tofauti. Kama umeona yote kuna...
  13. Mkogoti

    Kwa Wapenzi wa Movie: Mfululizo Wa Movie za Maze Runner 1, 2 & 3

    Habari za Mida hii Wapendwa Katika Bwana, Natumaini Hamjambo Wakuu Naomba kujua hizo Movie pendwa nilizozitaja hapo juu, Zina uzuri kiasi gani? Kama mmoja wapo ama wewe ushaziona uniambie kama zinapendeza kwa kuziangalia au ni hazieleweki niachane nazo, Maana kwenye Stoo yangu ya kupakua Movie...
  14. Mkogoti

    Kuna mastar Hollywood black Americans movie ambazo atacheza lazima ziwe nzuri mfano hawa hapa

    1.Will Smith 2. Samuel Jackson Nk. Ebu taja unaowakubali
  15. Wakujilipua

    Je, ni movie gani ulizowahi kuziona na ukatamani ziendelee?

    Kama mpenzi wa movie najua utakua umeangalia movie nying sana na kwa bahati mbaya nyingine ziliishia hapo hapo na nyingine zilipata mwendelezo sasa je tueleze ni movie gani iliyo kufurahisha sana mpaka ukatamani iendelee. Kwangu mimi ifuatayo ni list ya...
  16. Mosan

    Movie ya Green Book

    Kutokana na tukio lilotokea USA la mmarekani mweusi Floyd. Ebu fanya kupakua au kutafuta movie iitwayo GREEN BOOK ilitoka mwaka 2018 ni drama flani nzuri sana. Kama kuna ingine unaijua unaweza kushare. Link iyo Movie: Green Book (2018)
  17. P

    Wasanii Wa Bongo Movie Wakiongozwa na Steve "rais wao" Walimchongea Idris

    Rais wa Wasanii akishirikiana na baadhi ya wasanii ndio waliomchongea Idris Sultani kwa madai kuwa anajifanya mjanja kila mara anaandaa vichekesho vya kuwasema viongozi , mpango mzima wa kuhakikisha anakamatwa walifanya waao wakishirikiana na RC ili tu kumkomoa Pia wanatumia staili hiyo ili...
  18. Y

    Movies: Nimeamua kukesha leo nipakue movie, wakuu naomba movie zile latest kali nianze nazo kwa usiku wa leo

    Wakuu habarini .. Kwa wapenzi wa movie naombeni mnitajie movie kali latest zinazohit kwa kipindi hiki ,,ili usiku nianze nazo maana sina info. Juu ya movie yoyote kali zilizo be released.. Msaada wakuu.. Category za movie ziwe ; 1. Action 2. Romance 3. Thriller 4. War 5. Crime Kuhusu...
  19. kidadari

    Hii Movie kali sana !! Ntapata wapi mwendelezo wake?

    Hii movie imenifurahisha sana... Natamani kuona mwendelezo wake... Plz plz mwenyenayo jamani
  20. H

    Naomba movie yenye storyline nzuri

    Kama ulivyosoma kwenye head lakini hiyo movie isiwe na genre ya animation tu
Back
Top Bottom