Movie Movie is a 1978 American double bill directed by Stanley Donen. It consists of two films, Dynamite Hands, a boxing ring morality play, and Baxter's Beauties of 1933, a musical comedy, both starring the husband-and-wife team of George C. Scott and Trish Van Devere. A fake trailer for a flying-ace movie set in World War I entitled Zero Hour (also starring Scott) is shown between the double feature.
Barry Bostwick, Red Buttons, Art Carney and Eli Wallach also appear in both segments, with Harry Hamlin, Barbara Harris and Ann Reinking featured in one each. The script was written by Larry Gelbart and Sheldon Keller.
Wanasheria wa familia walipitisha tamko..maamuzi ikawa ni kugawa urithi..
..Kwamba mzee Richard croft amepotea na ameshindwa kupatikana..mtoto wake wa kike akawa ni kati ya wataopata sehemu ya mali za baba ake..
..Lakini akakataa..
..Lara Croft hakuamini kuwa baba ake kafa..alichojua...
..Alikuwa mtaani..ndani ya orleans..hakuijua kula yake kama maskini wengine wa pale...akayakubali hayo..akayaishi maisha yake..
..Douglass binder..pamoja na hali yake ya kukosa mahitaji muhimu..hakuwahi kumuibia mtu..na aliwasaidia wenzie waliohitaji maisha kama yake..
..Hadi ilipokuja siku ya...
Meli iliyobeba cesium..kemikali zenye sumu zinazoweza kutengeneza silaha za hatari na kuua mamia ya raia wasio na hatia..
..Ilikuwa inahitajika kuwasili..na ilihitajika kuzuiwa isiwasili..
..Nani wa kuzuia!!..
...Ni complete American Black Operations agent..Binadam mwenye hasira za kwenda na...
..Ni John cale..capitol police officer..baba wa mtoto mmoja wa kike..
..Alimuahidi binti yake kuwa angepata kazi kwenye ikulu ya marekani..kama special agent..mtu anaeangalia maisha ya raisi kwa ukaribu..
...Akaongozana na binti yake..akaenda kufanyiwa interview..
..Na majibu...
...Taarifa ya kuwa baba yake kabakiza muda mfupi wa kuishi duniani ilimkuta akiwa nyuma ya nondo..
..Wakati hajajua aipokee vipi habari hiyo ni siku mbili mbele..akafungwa pingu akahudhurie mazishi..
..Nick Cassidy alilia akiwa jela..akalia tena alipokuwa mbele ya kaburi la baba yake...
Kwa wale waliowahi kutazama series ya Jumong hii ni sound track number 7, ni moja ya soundtrack kali wabongo wameicopy na kuitumia kwenye movie nyingi sana
Kwa waliotazama series ya Spartacus nadhani mtakuwa mnaikumbuka hii theme nadhani inaiwa Sura theme ni bonge la theme.
Hii utaikuta kwenye...
TAMTHILIA: CERTIFIED PERSON OF MY LIFE (CPL)
(MTU ALIYETHIBITISHWA KWA MAISHA YANGU)
MWANDISHI/MTUNZI: MANSHYNE
Email address: manshinef@gmail.com
instagram: @manshynee
Sehemu ya 01.
DARASANI:
Ilikua ni muda wa kipindi cha ujasiriamali kwa Wanafunzi wanaosomea kozi ya biashara. Lecturer...
Najua wachache wanamjua mtaalmu huyu hasa kwenye filamu za mapigano na ule unene wake lakini anapiga kung fu shida, kacheza na mastaa wengi nao movie tofauti kama Jacky Chan, Bluce Lee, Donny Yen, Jet Lee, na wengine wengi.
Ni matumaini yangu mko poa. Ni ‘weekend’ sasa, muda ambao tunapata mapumziko, hivyo basi si vibaya kama tukipata wasaa wa kupakua na kutazama filamus kadhaa kwa ajili ya burudani na pia kujifunza.
Bila kupoteza muda, tuzame kwenye hizi hapa ambazo naamini hautajutia ukizipatia muda na bundle...
Joker au jokeri, wacheza karata wanampenda na wanamwogopa, akikulalia huyu unahesabiwa una 50, kwenye adhabu unamlambisha mtu 5. Tuachane na huyu
Joker anayejulikana kwa jina la Arthur Fleck (jina halisi Joaquin Phoenix) kupitia movie ya JOKER 2019 na movie zingine nyingi zinazomuonyesha kuwa...
Wakuuu habari za mida
Okey ni hivi Najua unamjua na unampata sana black America (Eddie Murphy) basi leo nakwambia jamaa ana uwezo wa kucheza Character Zaidi ya Tano, ipo hivi leo nakwambia kama umeshaiyona movie ya Coming to America basi mule kacheza mtu tofauti tofauti.
Kama umeona yote kuna...
Habari za Mida hii Wapendwa Katika Bwana, Natumaini Hamjambo
Wakuu Naomba kujua hizo Movie pendwa nilizozitaja hapo juu, Zina uzuri kiasi gani?
Kama mmoja wapo ama wewe ushaziona uniambie kama zinapendeza kwa kuziangalia au ni hazieleweki niachane nazo, Maana kwenye Stoo yangu ya kupakua Movie...
Kama mpenzi wa movie najua utakua umeangalia movie nying sana na kwa bahati mbaya nyingine ziliishia hapo hapo na nyingine zilipata mwendelezo sasa je tueleze ni movie gani iliyo kufurahisha sana mpaka ukatamani iendelee.
Kwangu mimi ifuatayo ni list ya...
Kutokana na tukio lilotokea USA la mmarekani mweusi Floyd. Ebu fanya kupakua au kutafuta movie iitwayo GREEN BOOK ilitoka mwaka 2018 ni drama flani nzuri sana. Kama kuna ingine unaijua unaweza kushare.
Link iyo
Movie: Green Book (2018)
Rais wa Wasanii akishirikiana na baadhi ya wasanii ndio waliomchongea Idris Sultani kwa madai kuwa anajifanya mjanja kila mara anaandaa vichekesho vya kuwasema viongozi , mpango mzima wa kuhakikisha anakamatwa walifanya waao wakishirikiana na RC ili tu kumkomoa
Pia wanatumia staili hiyo ili...
Wakuu habarini ..
Kwa wapenzi wa movie naombeni mnitajie movie kali latest zinazohit kwa kipindi hiki ,,ili usiku nianze nazo maana sina info. Juu ya movie yoyote kali zilizo be released..
Msaada wakuu..
Category za movie ziwe ;
1. Action
2. Romance
3. Thriller
4. War
5. Crime
Kuhusu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.