movie

Movie Movie is a 1978 American double bill directed by Stanley Donen. It consists of two films, Dynamite Hands, a boxing ring morality play, and Baxter's Beauties of 1933, a musical comedy, both starring the husband-and-wife team of George C. Scott and Trish Van Devere. A fake trailer for a flying-ace movie set in World War I entitled Zero Hour (also starring Scott) is shown between the double feature.
Barry Bostwick, Red Buttons, Art Carney and Eli Wallach also appear in both segments, with Harry Hamlin, Barbara Harris and Ann Reinking featured in one each. The script was written by Larry Gelbart and Sheldon Keller.

View More On Wikipedia.org
  1. Richmoto Kushmoto

    Without Remorse: Hii movie ni hatari iliyojaa balaa zito

    Without Rumorse Kikosi cha wanajeshi kikiongozwa Liutenat commander wa kike wakiwa kwenye mission Huko Alleppo - Syria wakishirikiana na kwaajili kwa kumuokoa agent wa CIA anayedaiwa kushikiriwa na serikali ya syria baada ya mission kumalizika na kumpata mtu wao Lakini Mwanajeshi senior...
  2. L

    Watanzania muda umefika tuwasamehe Bongo Movie

    Nawasalimu kwa jina LA JMT, moja kwa moja kwenye mada Tangu kuondoka kwa Kanumba ni kama aliondoka na Bongo Movie pamoja na hayo hata kipindi cha Kanumba uongo ulikithiri mno kwenye filamu, ikawa msichana mzuri yeyote anavalishwa kaguo kafupi ndio main character vijana na hereni zao kina Hemedi...
  3. Richmoto Kushmoto

    Maliza Weekend ya na movie hizi...

    Enter the fat dragon (donnie yen) Mortal kombat 2021 rate 7/10 The little thing (David Washingtong) 8/10 The marksman (liam nelson huyu mzee kiboko alohoo ) rate 9/10. Black widow rare 7/10 Out the wire :rate 7/10 Without rumorse (Tom clancy) rate 8/10 Nobody rate 8/10 Undisputed 2.3.4 2.22...
  4. Tea Party

    Umeicheki IRIS? Hizi ni facts 10 usizozijua kuhusu series hiyo

    Nakumbuka mara ya kwanza kuona tamthiliya ya Iris ilikuwa ni ITV pale mwaka 2013 kama sio 2014 kipindi hicho hata smartphone sina. Nilivyoiona tu mara ya kwanza sijui ilikuwaje lakini tangu hapo sikuacha kuifatilia mpaka episodes zote 20 zilivyoisha.Nakumbuka nilikuwa nachelewa kulala siku...
  5. He Is Him

    Movie gani ya kibongo hata uirudie mara nyingi huwezi ikinai.

    Kuna wakati bongo movie wanatengeneza movie nzuri saana mpaka unataman uiangalie mara kwa mara Kwa mfano mimi huwa napenda movie za tiny white&ringo(kamanda mstaafu,n.k) huwa siwachoki kuwaangalia. Je movie gani ya kibongo kwako ilikuwa ni best hata ukiirudia huwezi ikinai.
  6. Castr

    Movies in Pictures

  7. He Is Him

    Msaada kuhusu movie ya TENET

    WAKUU MPO POA Leo nilikuwa na watch movie inaitwa TENET. Kusema la ukweli hii movie sijaielewa. Ningependa kwa mkuu aliyebahatika kuiangalia just anipe hata kasummary kidogo kuhusu hii movie.
  8. Chizi Maarifa

    Bora Matumizi ya Projector badala ya TV kuangalizia movie

    Wadau kutokana na kuwahi ibiwa Tv zangu za Samsung mara 3 nyakati tofauti tofaut sasa nmeamua kuachana na kununua TV. Sasa nawaza kununua Projector. Naomba ushauri kwa projector ya kufaa kwa ajili ya kuangalizia movie. Nahitaji Full HD, iwe 4K, 3D ,High Resolution. But katika hayo yote naomba...
  9. Red Giant

    Movie: Nobody

    Nimeipenda hii movie. Humu jamaa anaonekana kama mtu wa kawaida tu, familia na marafiki wanamchukulia poa. Kumbe alikuwa ni mbad na kaamua kutulia. Russian mafia walipoingilia familia yake waliuona mtiti.
  10. Analogia Malenga

    Msanii gani hauchoki kutazama movie zake

  11. KAGAMEE

    Majina ya movie kali

    Habari za weekend wakuu. Bila kupoteza mda naomba kujulishwa majina ya movie kali hasa zinazoelezea historia ya kweli either ya mapinduzi au historia tu ya kitu fulani.Pia naomba kujulishwa movie gani kali za kivita au ngumi. ASANTENI SANA. NB: MOVIE ZA KIJASUSI NAPENDA ZAIDI.
  12. Red Giant

    Hii movie ya kichina naitafuta sana

    Kuna jamaa mmoja anasafiri safiri. Akikuta shule ya Kungfu anapiga wote hadi master. Akiulizwa ametoka wapi anajibu kuzimu na amekuja kuwafundisha kungfu. Alienda shule moja alipiga master na wanafunzi wake. Master akawa amepoteana anaishi pagalani na wanafunzi wake watatu wakatawanyika kwenda...
  13. Red Giant

    Dune: Naisubiria hii movie kwa hamu kubwa

    Hii movie inatokana na kitabu kinachoitwa Dune kilichoandikwa na Frank Albert mwaka 1965. Kitabu kimebase kwenye sayari moja inayoitwa Arakis ambapo kiungo adimu na ghali kiitwacho melange kinapatikana. Lakini sayari hiyo ni jangwa na kuna minyoo wakubwa sana na hatari wanaoishi chini ya...
  14. Quavohucho

    Tafuta jina la movie hapa

    Kama title inavojieleza ningependa hii thread iweze kutusaidia kupata majina ya movie mbali mbali ambazo tumewai kuangalia, kusikia au kusimuliwa afu ukasahau au kushindwa kujua jina movie husika na ambao watakuwa wanaijua watatupa jina la movie hisika kulingana na scene zitakavo elezewa...
  15. Robert Heriel Mtibeli

    Bongo Movies wengi ni vilaza, si ajabu wameilaza sanaa ya uigizaji. Wasomi ingieni huko

    BONGO MOVIE WENGI NI VILAZA, SIO AJABU WAMEILAZA SANAA YA UIGIZAJI Anaandika, Robert Heriel Hapana shaka sanaa ya Uigizaji kwa sasa imelala Usingizi wa Pono, imelala fofofo na waigizaji wake wanakoroma. Wapo kwenye ndoto za majinamizi wabaya wanaowakimbiza kwenye mitaro huko usingizini. Tangu...
  16. BRN

    Huu ndio Mzigo wangu wa Movie

    Wapendwa habari ya mapumziko ya Ijumaa Kuu. Napenda kuwashirikisha mzigo wa Movies za ukweli nilizo nazo ili ukipata muda hasa kipindi hiki cha mapumziko marefu uzitazame(sema ndio hivyo bando ziko juu) Hizi ziko kwenye simu yangu hivyo nazitazama popote pale.(uwezo wa simu..internal Gb 256 na...
  17. R

    Movie ya oldguard yaweza kuwa ni true Story

    Habar wadau !!! Jana usiku nilipata wasaha kuchek hii movie old guard aisee km ni swala la movie nasema sema wazungu wametuacha mbali sn kuanzia story ilivyotungwa camera actions na hata maongez ktk movie. Nimechek kwa mqkin hii movie iko poa na ina story moja nzur sn japo nilikasirika...
  18. H

    Naombeni movie ya blacksheep ya 1998

    Kama kuna mtu anaweza kunisaidia kupata movie hii ya blacksheep affairs au kwa jina lingine inaitwa another meltdown please naomba anipe au anipe muongozo nitaipataje app nyingi hii movie haipo nyingine ukakuta ipo lakini haiplay
  19. steve_shemej

    Jina steven lina mahusiano gani na movie za kizungu?

    nimejaribu kuchunguza nimebaini kati ya movie kumi za kizungu tisa zinamshiriki anaitwa steven hii imekaaje wakuu
  20. CONTROLA

    Biashara ya kuingiza movie na miziki kwenye flash na simu

    Biashara hazijawahi kuisha chini ya jua ni vile tu unavyoamua kuchukulia mambo na kujichukulia wewe upo vipi,leo nataka nimsaidie mtu mmoja mahali flani kuichambua hii biashara ili kama alikua akiwaza nini chakufanya na hapati apate pakuanzia,na kwa wanaoifanya basi waboreshe ili mwisho wa siku...
Back
Top Bottom