Kila siku zinavyokwenda mashambulizi ya Houth dhidi ya Israel na washirika wake yanazidi kupamba moto.
Hali hiyo inaongeza mashaka juu ya uwezo na athari ya yale mashambulio ya kila mara yanayofanywa na meli za kivita za Marekani na Uiengereza.
Meli kubwa ya mizigo iliyopigwa Jumatatu...
Muhimu: thamani ya pesa inashuka kulingana na muda, shilingi 50 ya 2000 ilikuwa nauli ya daladala kwenda na kurudi lakini hauwezi fananisha na ya 2020 onayonunua pipi moja tu.
Ikiwa mtu ana sifa hizi.
Kashajenga
umri miaka 35....
watoto wanne: first yupo la tano, second yupo la nne, third...
Katika Vita Vya Israeli - Hamas, idadi ya magaidi waliouwawa yaelekea 10,000 kulinganisha na wanajeshi wa Israeli 236 toka vita ianze hiyo October, 30,2023. Huku 90% ya miundombinu ya Hamas ikiharibiwa huko Gaza.
........
The IDF now holds control over approximately 70% of Gaza, significantly...
Chawa maarufu na mtangazaji wa CloudsFm Mwijaku, amesema kama ikitokea akatangulia kufa basi mwili wake usizikwe mpaka Rais Samia afike kumzika.
Mwijaku ameandika wosia wake kwenye ukurasa wake wa "X",
"WOSIA-ikitokea nimetangualia mbele ya thki kabla ya Rais wetu Samia Tafadhali familia...
Hii mada imenifikirisha sana maana ule msemo wanaume tunawai kufa mapema ni kweli kabisa tena ukiwa na majukumu mazito ya kujenga familia mpaka nchi.
R.I.P wote wasio viongozi na viongozi
Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Tulia Ackson, amesema kuwa Bunge limewapa Tanesco muda kufikia mwezi wa sita mgao wa umeme uwe umeisha.
"Wacha tuipe serikali muda, kwa maana ipi wao walijipanga mwezi wa sita (shida ya umeme kuisha) wakarejesha nyuma mwezi wa pili...
bunge
juni
kumaliza
lazima
maajabu
machi
mgao
mgao wa umeme
mgawo
miezi
miezi 3
mpaka
mwezi
nishati
serikali
spika
spika tulia
umeme
wakati
wizara ya nishati
Ukristo wageuka dini huria, kila mtu afanya atakalo, uongozi wa kiroho umegeuka biashara.
Content za minyanduo zavamiwa na waimbaji wa Injili. Dunia uwanja wa Fujo.
Yes apewa character ya kunyanyua na kunyandua mchana kweupe Yesu mwamba anaelekezwa afanye kuwanyandua waimbaji.
Toba Toba...
Wakimbizi ambao hawataamia kwenye kambi zinazojengwa na Israel, wameachiwa wajifie huko Rafah
=============
Egypt is constructing a wall along its border with the Gaza Strip in Rafah, where 1.3 million civilians remain displaced as Israel clashes with Hamas terrorists, Egyptian officials told...
Habari, mnisamehe wapendwa nawapenda wote miamia.
Yaani naipenda hii siku hadi naumwa mapenzi hapa nilipo nshapiga konyagi kubwa lao mbili nakula vibez kama zote.
Ni mimi Baharia Wadiz
Salaam kwenu wana JF,
TANESCO na DAWASA mnatutaka nini wakazi wa Mbezi Beach? Umeme mnakata maji maji mmekata mnataka tuishije sisi? Mnaona raha watu tunavyosononeka na kutukana kila siku kwa hii dhulma mnatufanyia?
Yaani hili fukuto ndani kukaa mateso nje huwezi kukaa mbu zikufanye chakula...
wakuu ni Adje.
Mechi ya South Africa na Nigeria tulikuwa tunacheki mshkaj wetu mmoja akawa kuna demu anamfukuzia, sasa mpaka usiku mrefu anachat nae akawa anatuambia demu anasema yupo na mtu wake.
Jamaa wangu mmoja akajibu hivi.
Hakuna mwanamke aliyepo kwenye mahusiano na anaishi na mwanaume...
Kuna watu wanaliwa kwenye dubwi mpaka wanachanganyikiwa.
Nishashushudia jamaa ameliwa laki 2 ya mtaji wa biashara ya mke wake kwenye dubwi.
Mkewe alimtuma akamnunulie vifaa vya kupikia vitafunwa kwa ajili ya biashara na ndo pesa pekee waliyokuwa nayo.
Jamaa kapita karibu na dubwi akapata...
Pamoja na Israel kushindwa kufikia malengo yake ya kivita iliyojiwekea na japo imeshawahamisha wapalestina wa Gaza huku na huko bila mafanikio lakini bado imeweka nia thabiti ya kushambulia eneo la Rafah.
Umoja wa mataifa na kila mmoja wameshatoa angalizo kuwa kushambulia eneo hilo...
Kila nabii na zama zake. Leo tuwakumbuke mastaa waliovuma na kuitikisa bongo miaka ya 2000 mpaka 2010. Mastaa hao wanaweza kuwa walivuma kwenye kandanda, muziki, maigizo, siasa, nk
Amina Chifupa wa Mpakanjia
Alikuwa maarufu sana kwa wakati wake na pengine hakuna staa wa kike aliyemfikia kwa...
Moja ya ahadi ya Mhe. Chege tulipomchagua alituahidi kuwa katika miaka yake mitano atahakikisha barabara hii inakamilika kwa asilimia mia moja. Ujenzi wa barabara ulianza mwaka 2005 na mpaka sasa umejengwa kwa kilomita 14 tu.
Maeneo mengine ya nchi hii kila kukicha barabara za lami...
https://youtube.com/shorts/Q-lZqr4sOQM?si=tYeBkv32gKrQKx0-
CCM haya ndiyo yanayokuja acheni kuliteka Taifa letu kwa MASLAHI yenu wachache.
CHADEMA PEOPLE'S POWEER!!!✌️✌️✌️🤞
Mimi nimekuwa nikifuatilia kwa karibu kinachoendelea kuhusu ziara za Makonda mikoani, na zoezi la kusikiliza kero mbalimbali za wananchi. Kimsingi hali inafikirisha sana, na hapa Mwanasheria Mkuu wa serikali ameliona hili. Tuna wakuu wa Wilaya,wakuu wa mikoa , wabunge Takukuru nk wote kweli...
Na hapo movie ndio inaanza tu....
US launches retaliatory strikes in Iraq, Syria; nearly 40 reported killed
The strikes hit targets including command and control centers, rockets, missiles, and drone storage facilities, as well as logistics and munition supply chain facilities, the US military...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.