mpenzi wangu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Top Boy

    Mpenzi wangu anaingia kwenye siku zake (hedhi) tukikutana

    Habari wana Jamvi, Hii imekaaje? Kama kichwa kinavyosema, mie na mpenzi wangu tumekuwa tukijiuliza sana pasi na kupata majawabu kwenye hilo jambo. Inampelekea mpaka mwenzangu anapoteza hamu ya tendo na kuwa na wasi wasi mwingi mno hadi muda mwingine ananikwepa kunipa penzi...uhusiano wetu ni...
  2. nyakandula

    Nina mashaka na ujauzito wa mpenzi wangu

    Habari, nipo kwenye mahusiano na binti fulani hivi kwa muda wa mwaka, sasa mara ya mwisho kukutana nae kimapenzi ni wiki tatu zilizopita na kabla ya hapo sijakutana nae kimapenz zaid ya miez mi3.. sasa juzi kaniambia anahisi ana mimba maana hajazion siku zake. Nikamtumia pesa aende hosptal...
  3. Aaliyyah

    Nilivoachwa kikatili na mpenzi wangu wa kwanza

    Hii wiki Niko very happy ngoja niwape kisa nilivyoachwa na mpenz wangu wa kwanza😃😃 Miaka mingi nyuma nilikuwa na rafikiyangu ambae ni jirani yetu pia alinizi kama miaka miwil umri, alikuwa anansoma shule ya boarding hivo tulikuwa tunaonana kipindi cha likizo. Rafik yangu alikuwa ni wale...
  4. Equation x

    Migogoro na mpenzi wangu haiishi

    Leo atakwambia hivi kesho litatokea lile. Leo atakuambia ubebe pochi yake, kesho atakuambia umuogeshe Leo atakupiga kiatu, kesho atakunyima tendo. Leo atataka kula hiki, kesho atataka kile. Sasa ananipangia siku za kufanya tendo Tatizo anasema ninamfaidi sana, kwa sababu natumia muda mwingi bila...
  5. Equation x

    Nami nimemuadhibu mpenzi wangu aliyenijeruhi kwa kunipiga kichwani

    Mjuavyo tena katika mahusiano, kugombana na kurudiana ni kitu cha kawaida; mtakaa na kuombana msamaha na hatimaye mnafikia muafaka. Jana jioni, mrembo akaamua kuja kunitembelea nyumbani kwa mapigo ya kichokozi chokozi, lengo ni kuniamsha hisia ili niweze kusamehe na kusonga mbele. Mimi...
  6. W

    Mpenzi wangu amenambia ana ma-ex 7

    Habari za wekeend wakuu, Wakuu naombeni ushauri wenu nina mpenzi wangu nipo kwenye mahusiano nae tangu shule ya msingi, tulivyomaliza O level mimi nikaenda Dar kutafuta maisha na mawasiliano yakakata kutokana na sababu mbali mbali Nimekaa Dar miaka 6 ndiyo nikarudi mkoani kwangu nikamkuta...
  7. L

    Mpenzi wangu simuelewi

    Hello JF natumai mko poa. Nina mpenzi wangu ambaye ananiumiza sasa sijui ni makusudi au nimeshindwa kumuelewa. Ni hivi Mimi ni ke yeye ni muajiriwa kwenye taasisi private kubwa tu hapa Dar basi akanipa connection kwenye ofisi yao kitengo alichopo nikaanza kazi. Kinacho nichanganya anapenda...
  8. Long trip

    Ushauri: Mpenzi wangu ni mkimya kupita kiasi

    Kwema wakuu?? Mimi ni kijana mwenye miaka 28. Nipo kwenye uhusiano na binti mmoja yeye ana miaka 22, na tuna mtoto mmoja ana miezi 9 sasa. Sababu ya kuandika uzi huu ni kuomba ushauri juu ya tabia ya ukimya uliopitiliza kwa huyu Baby mama wangu kwa sababu, I wish nifunge nae ndoa kabisa lakn...
  9. Equation x

    Nimegundua mpenzi wangu akiwa na marafiki zake, huwa ananiita mimi kimburu

    Katika pitapita kwenye maeneo ya ofisi ya mpenzi wangu, nikasikia wananiteta, ''kimburu wangu ananivuruga kweli, hataki kutulia na mimi, kila wakati ni migogoro tu'' Wenzie wakamuuliza, kimburu ndio nani; ndipo aliponitaja equation x. Baada ya kusikia hayo maneno, hata sikuingia ofisini kwake...
  10. M

    Nahitaji faraja yenu wakuu. Kuachana na mtu unayempenda ni msiba mzito

    Nilikuwa kwenye mahusiano karibia miaka miwili mwanaume hataki nifike anapoishi mwaka huu nimelazimisha kwenda kwake anapoishi amenitukana sana na kunifukuza na panga pamoja rungu. Nilijipa muda akaomba msamaha ila mawasiliano yalikuwa hafifu juzi mwezi huu wa 7 nilimpa taarifa kuwa nitakuwa...
  11. KENZY

    Mpenzi wangu alinifumania, ananichanganya!

    Alinifumania lile fumanizi ambalo halina kupinga! Yaani, fumanizi la 100 percentage... Zikapita siku mbili hanitafuti, nami nikawa kimya na mawazo sijui naanzia wapi kujitetea. Nikaona isiwe tabu, nikaenda kulanduka na Serengeti lager kama 5 hivi, kisha nikampigia simu! Nikajua hata atakuja...
  12. Equation x

    Hisia zimepotea kwa mpenzi wangu baada ya kujipunguza mwili ili awe mrembo zaidi

    Kuna mrembo mmoja nilitokea kumpenda, na katika harakati ikapelekea tukapata mtoto naye. Nilimpenda kutokana na muonekano wake, achilia mbali ni mtu anayependa sana mambo ya urembo urembo. Pia ni mtu mwenye tabia ya kujisifia sifia, na kuniona mimi kama mtu mwenye bahati kwa kuwa naye. Kuna...
  13. Street College

    Familia ya mpenzi wangu hawataki kunielewa

    Iko hivi, wiki iliyopita baba Mkwe aliniomba nimkopeshe kiasi fulani cha pesa. Hela aliyoitaja ni ndefu kidogo, hivyo nikamwambia kwa muda ule sina ila ngoja tuone jumapili hii naweza kumsaidia kiasi gani. Sasa leo wakati naenda kanisani alinipigia simu ila sikuisikia. Na kwa bahati mbaya simu...
  14. T

    Nakupenda Sana mpenzi wangu kokubanza Unanifanya nahisi Hii dunia ni yangu peke yangu mpenzi wangu kokubanza

    Kwa hapa au Hii stage niliyofikia sisikiii la mtu Wowote maana mpenzi anayonipaa mpenzi wangu kokubanza wa nyaishozi ni raha ndugu Zangu wa jamii forum vp na wewe mdau umewahi kupendwa na binti wa kihaya? Asikuambie mtu hawa Wanawake wa kihaya wanajua kupenda Sana aisee sio Kama hao mademu wenu...
  15. Candela

    Mama VS mpenzi wangu

    Guys nilifanya hivi: Nilituma 50,000 kwa mama. Then nikatuma 50,000 kwa Girlfriend. Majibu yalikuwa hivi MAMA: Asante sana baba ubarikiwe sana GF: Hii hela hata haitoshi maana nina mambo mengi. VIJANA KAMA SIO MKE WAKO ACHA KUJIFANYA UNAHUDUMIA, HAVINA SHUKRANI HIVI VIUMBE. NB: Kwa GF...
  16. Nyamwi255

    Mpenzi wangu anapenda kutumia lugha ngumu

    Baada ya kujitunza kwa muda mrefu (mashallah),takribani week 3 zilizopita nikampata kijana mmoja tall, handsome, then black (Mungu anajua kumbaa mashallah) baada ya kunitaka kwa kipindi kirefu basi na Mimi nikaamua kum-bless moyo wangu na ye akanibless Wa kwake. Binafsi nampenda sana na hii ni...
  17. covid 19

    Mpenzi wangu aliniacha sababu boksa zangu ni za vitenge!

    Mwezi na tarehe kama ya leo last year niliachwa na mpenzi wangu wa kinyaturu kisa kilikuwa cha kijinga sana eti boksa zangu ni za vitenge.. Sasa yeye sijui alitaka niwe na boksa zipi maana kipindi hiko nilikuwa fundi cherehani so vipannde vya vitenge vilivyokuwa vinabaki nilijitengenezea boksa...
  18. Money Penny

    Kifuani kwa mpenzi wangu

    "Money Penny buana, nadhani nimepata true love, Sikuwahi ku experience kitu cha namna hii, Juzi kwa mara ya kwanza nilikuwa kifuani kwa mpenzi wangu, tumelala after sex Nilipokuwa kifuani kwa mpenzi wangu, nilikutana na kitu cha ajabu, kwanza kifua cha mpenzi wangu kimejaa, nimeweza kuweka...
  19. Melki Wamatukio

    Huyu mpenzi wangu amenichekesha sana. Katamka mbele ya kadamnasi kuwa hana mtu

    Binafsi hata mimi sikuwa na malengo naye, nilitaka ku-hit and run. Hakuna mtu aliyefahamu kuwa nilimuomba kudet nae, ilikuwa ni siri, maake muonekano wake ni aibu tupu. Nimeshangaa sana kumuona anatamka kuwa hana mtu mbele ya hadhira baada ya kuona tabasamu la jibaba lenye miraba minne na...
  20. aBuwash

    Hivi shida ni nini? Kila mahusiano nikiingia nikijaribu kutumia namba ngeni kumtongoza mpenzi wangu anakubali

    Habari wanaJF. Nina imai mko poa kabisa Kama kichwa cha habari kinavyosema Nimekuwa na mahusiano na wasichana takribani watano mpaka sasa hivi, ila cha kushangaza kila demu napokuwa kwenye mahusiano naye nikijaribu kutumia namba ngeni kumtongoza kama mwanaume mwingine huwa wanakubalii kabisa...
Back
Top Bottom