mpenzi

  1. chugaa

    Unawezaje kumfanya mpenzi wako awe na Exposure?

    Wasalaam JF, Kuna binti nimetokea kuwa naye kwenye uhusiano miaka miwili sasa. Nampenda jinsi alivyotulia mpole , mstaarabu ,mcha Mungu na asivyo na tamaa hana makuu. Tatizo Academic exposure yake ipo chini sana , sizungumzii ile exposure ya Kidimbwi na Juliana. Kifupi huyu binti amesoma na...
  2. Equation x

    Maana halisi ya kutafuta mpenzi, ni kutafuta mtu aje akusaidie kutumia fedha zako ulizozitafuta kwa jasho

    Maana halisi ya kutafuta mpenzi, ni kutafuta mtu aje akusaidie kutumia fedha zako ulizozitafuta kwa jasho. Kama wewe unaponda kokoto tani 20, unatafuta mtu aje akusaidie kutumia fedha zako kutokana na mapato uliyoyapata kwenye kazi ngumu ya kuponda kokoto. Kwa hiyo kama mpenzi wako anayumbisha...
  3. Kifaru86

    Je, kuna faida gani ya kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja?

    Ningependa kuwa na mpenzi zaidi ya mmoja huwa kuna faida yeyote ilee unapokuwa na mpenzi wa njee. Kama ndio hebu tueleweshane kuhusu hili jambo.
  4. sanalii

    Usimfanyie wema wa kuzidi mwanamke aliye - single au mbali na mpenzi wake

    Sijui kama ni nature ya wanawake au ni dunia imekua na watu katili kiasi cha kuwa ukimfanyia wema mtu anakuona wewe ni wa ajabu na anatafuta mbinu kurudisha wema wako. Mwanzoni ilikua najua labda ni kwa walio single tu ila sasa hadi mke wa mtu yaani unamsaidia jambo kwa wema then yeye...
  5. Bata batani

    Dalili 6 zinazoonyesha mpenzi wako hajaachana na ex wake

    1.Ukiona mpenzi wako kila unapomuomba tendo la ndoa anakwambia subiri au usubiri au unakupiga kalenda ujue bado hajaachana na ex wake 2.Ukiona mpenzi wako kila mkiongea anataka uwe unaongea point 3.Ukiona mpenzi wako kipindi akiwa na shida huwa ana speed sana ya kukutafuta alafu shida ikiisha...
Back
Top Bottom