mradi

  1. Laizerpeter3

    Nahitaji washirika au Mshirika wa kufanya mradi wa kilimo na ufugaji

    Habari wanafamilia wa JF, Nipo Tanga, Nina shamba lenye miundombinu yote ya Kilimo na Ufugaji, kama mabanda, zizi, nyumba ya wafanyakazi n.k. Ila bado tumaji. Kuna maji ya bomba ila hayatoshi kwa kilimo na ufugaji wa kibiashara kwani ni kidogo na yanatoka mara chache kwa wiki. Kama kuna mtu au...
  2. Roving Journalist

    Naibu Waziri Mkuu atembelea Mradi wa JNHPP asema ndio suluhisho la upatikanaji umeme wa uhakika Nchini

    Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Mashaka Biteko amelipongeza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwa usimamizi makini na hatua kubwa iliyofikiwa kwenye ujenzi wa Mradi wa Bwawa la Kufua Umeme la Julius Nyerere (JNHPP) ambao mpaka sasa umefikia Asilimia 91.72. Dkt. Biteko...
  3. GodfreyTara

    Mradi wa LNG Tanzania: Fursa, Changamoto na Mwelekeo wake

    Tanzania, nchi iliyobarikiwa na utajiri wa maliasili, ikiwemo gesi asilia ambayo kwa ujumla wake ni futi trilioni 57.25 za ujazo wa gesi . Tanzania imepiga hatua kubwa katika sekta ya nishati kwa kuanzisha Mradi wa Tanzania Liquefied Natural Gas (LNG). Mradi huu una lengo la kuchakata gesi...
  4. nivoj.sued

    Kuelekea Dunia ya Kidijitali: Sekondari ya Zanaki yaanza kutekeleza mradi wa kujenga Jamii ya Kidijitali Tanzania

    Mkuu wa shule ya Zanaki ( mwenye hijabu katikati) akipokea vifaa vya tehama Shule kongwe nchini Tanzania, Sekondari ya Zanaki, iliyoko jijini Dar es Salaam, hatimaye imefanikiwa kujiunga katika utekelezaji wa mradi wa Tanzania ya Kidijitali baada ya kupata vifaa vya tehama kwa ajili ya...
  5. K

    Je ni kweli wabunge wanahujumu mradi ya Reli (Dar- Dodoma) kuanza?

    Taarifa za rafiki yangu ambaye ni mfanyabiashara ni kwamba wabunge wengi ikiwa pamoja na waziri wa Fedha schoolmate wangu Mwigulu ni wawekezaji wakubwa kwenye magari. Tatizo wanaogopa safari za treni zikianza biashara zao zitapata wakati mgumu. Hivyo wanahujumu kucheleweshwa kwa mradi kwa...
  6. Franchesco1346

    Plot4Sale Viwanja vya ufukweni vinauzwa katika mradi wa Kaole Beach Plots, Bagamoyo

    🏖️ Kaole Beach Plots Project! Je, Unataka kuwa jirani na bahari? Mradi wa Viwanja Kaole Beach Plots unakusubiri! Eneo lipo mita 500 tu kutoka baharini, Bei ni TZS 13,000/= kwa mita ya mraba. Huduma zote za kijamii zinapatikana, ikiwa ni pamoja na maji, umeme, na barabara. Mradi wa viwanja 48...
  7. Webabu

    Mradi wa kiuchumi mnaufanya mjadala wa kidini. Hamna maana kabisa

    Haijapata kutokea katika historia ya nchi yetu masuala ya kiuchumi kugeuzwa mjadala wa kidini. Kuliwahi kuwepo na miradi ya kifisadi iliyodumu na kuleta athari mbaya kwa nchi wakati wa maraisi walipita yote ilijadiliwa kwa ufisadi wake na yote yaliyofuata yalikuwa malalamiko ya kawaida tu.Huu...
  8. Suley2019

    Waziri Mkuu Majaliwa akerwa na kasi ndogo ya Mkandarasi mradi wa REA Newala

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amehoji kwanini mkandarasi wa Rea, Newala hachukuliwi hatua ikiwemo kusimamishwa licha ya kuwa na kasi ndogo ya utekelezaji wa mradi wa kuunganisha umeme katika baadhi ya vijiji wilayani humo. Kauli hiyo ameitoa wakati wa ziara yake Wilayani Newala ambapo amesema...
  9. benzemah

    Waziri Biteko: Hakuna Mradi Utakaosimama Chini ya Rais Samia

    Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Doto Biteko, amewahakikishia Wananchi wa Mkoa Geita kuwa, miradi yote mikubwa ya kimkakati iliyoanzishwa katika kipindi cha Serikali ya awamu ya tano, inaendelea kutekelezwa na hakuna mradi utakaosimama. Biteko ambaye ni Mbunge wa...
  10. Mpinzire

    Mradi wa Bomba la Ges toka Nigeria- Ulaya unaenda kuikosti Niger?

    Wachambuzi wa mambo wamejikita katika upatikanaji Uranium huko nchini Niger kwa kusema France atalazimika kuingiza jeshi kusuport ECOWAS kuipiga NIGER kama jeshi la nchi hiyo halitomrejesha Rais aliyepinduliwa. Licha yakuwa Niger ni mzalishaji mkubwa mmojawapo wa Uranium dunian ila bado Ulaya...
  11. Stephano Mgendanyi

    Mradi wa ujenzi wa Mji wa Serikali Mtumba umeleta ajira na kuchangia chachu ya ukuaji wa uchumi

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulika na (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Jenista Mhagama, amesema mradi wa Ujenzi wa Mji wa Serikali Mtumba, pamoja na Miradi mingine ya kimkakati imeleta ajira na kuchangia kasi na chachu ya ukuaji wa uchumi hususan katika Jiji la Dodoma. Ameyasema...
  12. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Martha Mariki Aipa Tano Serikali Mradi wa Bwawa la Nsekwa - Mlele

    Mbunge Martha Mariki Aipa Tano Serikali Mradi wa Bwawa la Nsekwa - Mlele MBUNGE wa Viti maalumu Mkoa wa Katavi Martha Mariki ameipongeza Serikali Kwa Kuleta fedha Shilingi Bilioni 2.4 kwaajili ujenzi wa Bwawa la Maji litakakalo saidia upatikanaji wa Huduma ya Maji katika Kijiji Cha Nsekwa na...
  13. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Ngassa - Hakuna Kata Ambayo Haijapata Mradi wa Maendeleo Jimbo la Igunga

    MBUNGE NGASSA: "HAKUNA KATA AMBAYO HAIJAPATA MRADI WA MAENDELEO" "... Ilani ya Chama (CCM) inatekelezwa kwa ufasaha ndugu zangu, Chini ya uongozi wa Mama Yetu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Mwenyekiti wa CCM na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania..." "... Jimbo letu lina Kata Kumi na Sita...
  14. Nrangoo

    Vijana 56 wakacha mradi BBT

    Waziri wa Kilimo Hussein anatoa taarifa ya vijana 56 kukimbia mradi wa kilimo maarufu kama jenga kesho bora (Building Better Tomorrow). Inasemekana wengine wamekimbia na wengine wamepata ajira nyingine serikalini. Bado Serikali haijawa serious katika mambo wanayoyapanga na kuyatekeleza ...
  15. winnerian

    Madai ya muda (EoT) kwa Tanroads yanayoongeza gharama za mradi na ucheleweshaji– Ripoti ya CAG

    Madai ya muda kwa Tanroads yanayoongeza gharama za mradi, ucheleweshaji– Ripoti ya CAG Kwa mujibu wa ripoti hiyo, wakandarasi na washauri walikuwa na madai ya TZS 1.03 trilioni hadi Novemba 2019 kutokana na kuchelewa kulipwa hati za malipo ya muda. “Ilibainika kuwa madai hayo yalisababishwa na...
  16. Li ngunda ngali

    Chongolo: Mradi wa bandari ni wa CCM sio mtu mmoja

    SG wa CCM ndugu Chongolo amesema mradi wa bandari ni wa CCM na waarabu na si vinginevyo. Na kama kuna yeyote anaye fikiri ataizuia CCM na waarabu kutekeleza huo mradi, anajidanganya. NB: CCM ndiyo wenye huo mradi na waarabu na siyo Watanzania.
  17. Stephano Mgendanyi

    Milioni 750 Kukamilisha Mradi wa Maji Bwagamoyo Kiteto

    Mbunge wa Jimbo la Kiteto Edward Ole Lekaita ametembelea Kisima cha Maji Bwagamoyo ili kukagua maendeleo ya mradi huo wa Mradi wa Maji wenye thamani ya Shilingi Milioni 750,000,000 Ziara ya Mhe. Lekaita ililenga kukagua Ujenzi wa Miradi ya Maji, kuzungumza na kusikiliza kero za wananchi na...
  18. Stephano Mgendanyi

    Uzinduzi wa Mradi wa Umeme Jimbo la Peramiho

    UZINDUZI WA MRADI WA UMEME VIJIJINI JIMBO LA PERAMIHO Mbunge wa Jimbo la Peramiho ambaye pia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. JENISTA J. MHAGAMA ameendelea na Ziara Katika Kata ya Parangu Kijiji Cha Litowa. Mhe. Jenista Mhagama Katika Ziara Jimboni Peramiho...
  19. R

    Ninachokiona watawala wanafanya makusudi kutosimamia mradi wa Mwendokasi ili wapate sababu za kuendeshwa na wageni

    Kama kawaida ya watawala wetu wanawaza kuuza na kukodisha kwa kigezo watu weusi watanzania wameshindwa kuendesha. Hali ya mradi huu kwa sasa ni mbaya hakuna usimamizi. Kwa hali ilivyo sasa ambapo tumekopa kujenga miundombinu na kununua magari ya mwendo kasi tulitegemea wazawa wangeachwa...
  20. Doctor Mama Amon

    Profesa Tibaijuka, Apson Mwang'onda na Mradi wa Kuuza Kigamboni kwa Marekani

    Hayati Apson Mwang'onda akisalimiana na Mwamba Kuna wakati Profesa Tibaijuka, Waziri wa Ardhi wakati huo, alikuwa anaratibu mradi kabambe wa Kigamboni. Wamarekani ndio walitaka kuujenga kwa mfumo wanaoutaka wao ili wautumie kwa namna wanavyotaka wao. Ndani ya kivideo cha awali kwa ajili ya...
Back
Top Bottom