msimu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Ugomvi barabarani ni ushahidi Dar es Salaam watu wengi wenye magari wanastress au levo ya mapepo iko juu barabarani msimu huu

    Leo tu nimeshuhudia ugomvi usiolazima zaidi ya mara tano. Hapa Jamaa ni wakali, hawataki suluhu nq hawaelewi. Bajaji, bodaboda, daladala na wenye magari madogomadogo ya kijapani wanaongoza. Hapa jamaa kaguswa kidogo tu kifaa chenye thamani ya sh 3000, anapewa 4,000 hataki anataka ngumi tu...
  2. Mashindano ya African Football League (AFL) hatihati kutokuwepo msimu huu

    Kama mnayakumbuka yale mashindano ya AFL ,yaliofanyika msimu uliopita apa na yalizinduliwa hapa hapa Tanzania kwa mechi kati ya Simba sc dhidi ya Al ahly sc na mchezo kutamatika kwa sare ya goli 2 kwa 2 .Na bingwa wa mashindano hayo hadi mwisho walikua ni Mamelodi Sundows ya Afrika kusini. Sasa...
  3. Kwa timu hizi , droo ya makundi CAFCL msimu huu hapatoshi.

    Habar za uzima wana JF Tarehe 7/10/ 2024 mwaka huu katika mji wa CAIRO ambapo ndipo yalipo makao makuu ya CAF tunatarajia kushuhudia droo ya kupangwa kwa makundi ya mashindano ya cafcl & cafcc kwa msimu huu. Kwa upande wa cafcl kutakua na pot's 4 , :- pot 1 ;-Al ahly{Egypt}...
  4. Wapenzi wa soka tujifunze kuheshimu juhudi na uwekezaji wa vilabu vidogo, sasa hivi NBCPL sio lelemama. Muwe na adabu

    Timu dhaifu za mikoani msimu huu ni zile zinazocheza kimazoea mfano Namungo, coastal na Kagera Sugar. Timu kama Mashujaa Fc Pamba Prison Jkt Singida black stars Fountain gate Tabora Fc Hizi timu kwa sasa kwa observations zangu baada ya kucheza mechi kadhaa zimeingia kwenye mfuno mapema...
  5. Je Simba itafanikiwa kuwa top 5 katika ubora msimu huu ranking ya CAF?

    Wazee wa vichaka hauwasikii tena wakiongelea habari za kubeba mafyekeo. Kelele zilikuwa kwa ajili ya kujaza watu uwanjani, zoezi ninalosikia halikufanikiwa. Wamekwenda machakani, wamekuta vyura wenzao wamezaliana, zoezi likasitishwa. Tuachane na hayo, turudi kwenye mada kuu. Simba ina nafasi...
  6. Hatimaye Kibu Denis amaliza msimu wake mapema kabisa

    Baada ya kiwango kizuri alichoonesha siku ya leo akiisaidia timu yake kupata goli la kusawazisha akifunga yeye mwenyewe na mechi kumalizika kwa jumla ya magoli matatu kwa moja. Sasa ndio Kibu Denis amemaliza msimu. Hii inatokana na kuwa na kawaida ya kufunga goli moja kila msimu na kisha kuja...
  7. Msimu wa MAHAFALI za kidato Cha NNE ndio huu, tupe kumbukumbu yako.

    Habarini za mchana, Ijumaa nilipokea mwaliko wa kuhudhuria MAHAFALI ya kidato Cha NNE huku nyanda za juu, kiukweli nimekumbuka mengi sana. 1.KWAYA "Haikuwa rahisi kuifikia siku hii yenye mafanikio, oooh tazama.. tazama wote kwa shangwe furaraha nasema Asante Mungu baba" Kama kuna anaekumbuka...
  8. From series msimu wa 3 umetoka

    Naam wale wapenzi wa series ya from Leo season 3 imeshatoka online link kama uliipenda msimu wa kwanza na wapili huu ni msimu wa tatu je wale viumbe wataendelee kisumbua je Boyd Steven atafanikiwa kuwakomboa wenzie je Tabitha atafanya Nini ili kuwasaidia wenzie walio potea Cc rip faza_nelly Mr Q...
  9. YANGA NDO TIMU ILIOINGIA MAKUNDI KIBABE CAFCL MSIMU HUU

    Msimu huu yanga ndo time pekee iliyoingia makundi kibabe na kuionyesha Africa kuwa hakuna mpinzani atakayeweza kuzuia yanga mwaka huu
  10. Ni mara mia Simba ya msimu uliopita kuliko Simba ya msimu huu.

    Kama utakuwa shabiki kweli wa mpira na mfatiliaji wa soka la Tanzania na Afrika utakubaliana na mimi kwamba kwa simba ya msimu jana ambayo iliisumbua yanga mechi ya round ya pili ya ligi na matokeo kuwa Yanga 2 na Simba 1 basi kama simba ile ndo ingecheza na wale Warabu wa Libya Simba ile...
  11. RC Babu azindua Msimu wa 5 Kahawa Festival na kutoa neno

    Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro ,Nurdin Babu amezindua msimu wa tano wa Tamasha la Kahawa(Kahawa Festival) na kutoa wito kwa wananchi kujikita kwenye uzalishaji wa zao la Kahawa. Amesema zao la Kahawa lilichangia kwa kiwango kikubwa kufanikisha maendeleo ya mkoa ikiwamo kuwa na shule nyingi za...
  12. Hii ndio mishahara ya Wachezaji wa Manchester United Msimu huu 2024/2025

    Struggling star is Man United's highest earner as transfer flop makes the top five - but key midfielder is the LOWEST-paid player in Erik ten Hag's squad Manchester United's wages for the 2024-25 season have been revealed with three players currently earning more than £300,000 a week. Captain...
  13. Zahera akitoa huu mwezi basi atakaa msimu mzima

    Namungo haibebeki ni inapigwa kama Ngoma tena nyumbani na team za daraja lake ikiwepo na team mpya ya Fountain Gate. Hapa naona David ouma akipewa kazi faster na zahera kwenda mapumzikoni
  14. Azam FC wanacheza kama wamekata tamaa, na hivi ndo mwanzo wa msimu

    Azam Kwa usajili walifanya kuwaleta wa Colombia tulidhani watatoa changamoto Kwa Yanga kumbe ndo Iko uji hivi. Azam fc wamekata tamaa Wanacheza kama wachovu Kweli kweli. Azam hawezi kupiga pasi 3 zikakamilika dhidi ya JKT TANZANIA Sasa ni mapumziko Azam hana hata shoot on wala off target...
  15. Azam kuna magarasa mengi msimu huu, Feitoto anafanya kazi zote uwanjani kama house boy

    Naomba niseme mapema kabisa kabla Azam hawajaanza kucheza mechi za NBCPL. Nimetizama mechi nne za azam za msimu huu, kuna kitu nimekiona ambacho wengi hamjakiona mbaya zaidi mnasifu eti azam inakikosi kizuri, kwa maoni yangu azam ya msimu huu ni mbovu kuliko ya msimu uliopita. Beki wa kushoto...
  16. Nani bigwa Ligi kuu msimu wa 2024/2025 kati ya Simba Vs Yanga?

    Piga kura yako hapa
  17. Wachezaji watatu wabovu wa Simba wako ligi ya tatu kwa ubora Africa

    Nikiangalia taarifa za usajili wa timu mbalimbali naona wachezaji watatu wa Simba wa msimu uliopita wamesajiliwa ligi ya Algeria, ligi ya 3 kwa ubora Africa, wawili kati yao katika timu yenye mafanikio zaidi nchini humo na mmoja kwa Mabingwa wa CAFCC 2022-23. Mwingine mmoja kauzwa Morocco...
  18. Simba ya msimu huu ni mbovu kuliko ya msimu uliopita, tukijitahidi sana nafasi ya 7

    Hii ndio simba mbovu kuwahi kuishihudia kwa miaka kadhaa ya hivi karibuni ,timu ni nzito ,washambuliaji hawaeleweki ,wings ni butuabutua tu ,mwaka huu tumekwisha kabisa
  19. D

    ligi msimu huu viwanja vibovu sana

    I couldn't watch the match between Singida Big Stars and Ken Gold due to the surroundings of the pitch. The environment is so bad that it's unwatchable. What does TFF do with the money they earn? kiwanja mama wanatembea wanauza maparachichi 🚮.
  20. Goli la kwanza msimu NBC premier ni offside goal

    Tuweke takwimu sawa na safari ya vilio na mbiu dhidi ya marefa kutoka kwa mashabiki vianze Goli alilofunga Ngushi dhidi ya Dodoma Jiji ni clear offside Sasa sijui tuendelee kubaki kwenye makosa ya kibinadam au hatua zianze kuchukuliwa dhidi ya Wala rushwa
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…