mtazamo

  1. D

    Mtazamo: Polisi Tanzania hawana weledi wa kufanya Uchunguzi wa eneo la tukio la uhalifu (Crime Scene)

    Nikiri kwamba andiko hili limepata nguvu kutokana na mauaji yaliyofanyika katika Bar ya Lemax, Sinza, kama yalivyoletwa na Tusker Bariiiidi. Kupitia taarifa ya ITV, ukichunguza kwa umakini utagundua kuna mhanga wa hili tukio, mwili wake umelala kwenye kiti, ingawa polisi wapo wakirandaranda kila...
  2. A

    mtazamo wa watu kwenye trend ya COVID-19

    hivi kwanini kila serekali inapo zungumzia kuhusu COVID-19 aidha idadi ya wagonjwa, au kuhusu chanjo au kuchukua tahadhari, basi watu wanakuja na hoja za "wanaipigia debe COVID-19 ili wapate mikopo sijui nn na nn.. njia gani itumike kuwaelemisha watu juu ya hili suala?
  3. Mirr

    SoC01 Mtazamo hasi juu ya kukidhi kwa Walimu wa Sanaa(arts) na ongezeko la Wanafunzi

    Nawasalimu wana jukwaa,amani iwe nanyi! Kwanza kabisa naomba nimshukuru Mungu kwa kunijaalia uzima hadi ninapoandika andiko hili sina budi kusema Alhamndulilah! Bado kuna upungufu wa walimu wa masomo ya sanaa kulingana na idadi kubwa ya wanafunzi hasa shule za mijini japo mahitaji ya serikali...
  4. E

    SoC01 Badili mtazamo wako juu yako na utaona mabadiliko kwenye maisha yako

    Waelewe watu usiwahukumu watu Binadamu hufanya maamuzi kwa hisia alizonazo kwa wakati huo Akiongea maneno mazuri au mabaya anafanya hivyo kwa sababu ya hisia zake kwa wakati huo sio kwa sababu yako Hisia zake zikibadilika na matendo yake hubadilika Kila kitu huanza kwenye fikra na ikiwa mtu...
  5. Makirita Amani

    Kama unatumia kauli hizi 10, kamwe huwezi kufanikiwa

    Rafiki yangu mpendwa, Kauli huwa zinaumba. Kauli zinaumba kwa sababu zinatokana na mtazamo na imani zilizo ndani yetu. Kauli tunazotumia zinatokana na kile tunachoamini. Unaweza kujiambia ni kauli ya kawaida tu, ila kama unaitumia, jua ina nguvu kubwa sana kwako. Kuna kauli kumi ambazo kama...
  6. Wildlifer

    Mwanaume wa Kweli na Mwanamke wa Kweli! Nini mtazamo wako?

    Mwanaume anatoa, mwanamke anakataa!
  7. Sky Eclat

    Suala la Katiba mpya kwa Mtazamo wa CCM

  8. technically

    #COVID19 Kwa mtazamo wangu Covid-19 haipo Tanzania, tusitishane

    Mimi binafsi nitakuwa wa mwisho kuamini kwamba Tanzania tuna corona. Nchi hii bwana watu wanaotutangazia kwamba tuchukue tahadhari ndio haohao unawakuta baa wanakunywa pombe na kukumbatia mpaka wahudumu. Unawakuta anayetutangazia corona yeye ndiye wa kwanza kwenda msikitini au kanisani...
  9. L

    Mtazamo wa vijana wa Afrika kuhusu China waendelea kuboreka

    Elias Gebreselassie alilelewa Addis Ababa, mji mkuu wa Ethiopia, na kama wenzake, amekuwa na fikra kuwa kwamba majengo marefu, maduka makubwa na barabara kuu zinaweza kuwa maonyesho tu katika sinema za Hollywood. Lakini katika kipindi cha muongo mmoja uliopita Gebreselassie amejionea kwa hakika...
  10. L

    Mtazamo wa vijana wa Afrika kuhusu China waendelea kuboreka

    Elias Gebreselassie alilelewa Addis Ababa, mji mkuu wa Ethiopia, na kama wenzake, amekuwa na fikra kuwa kwamba majengo marefu, maduka makubwa na barabara kuu zinaweza kuwa maonyesho tu katika sinema za Hollywood. Lakini katika kipindi cha muongo mmoja uliopita Gebreselassie amejionea kwa hakika...
  11. mtimawachi

    Mtazamo wangu: Mbowe asistaafu 2023

    Mwenyekiti wa chama cha chadema mheshimiwa Freemani Mbowe ametangaza kutogombea tena uenyekiti pindi tu awamu hii itakapokwisha(2023). OMBI:Mbowe agombee tena 2023 na baada ya hapo awamu inayofuata ndo asigombee. SABABU: Chadema imepitia kipindi kigumu sana hasa awamu ya 5 lakini kutokana na...
  12. Roving Journalist

    #COVID19 Chanjo za Kupambana na Corona (COVID-19): Nini Maoni na Mtazamo wako?

    Je, COVID-19 ni nini? COVID-19 ni maambukizi yanayosababishwa na virusi vya Corona, virusi hivi ni sawa sawa na vile vinavyosababisha mafua ya kawaida tofauti na mafua, virusi vya corona vinaweza kuambukiza mwingine kabla hata ya huyo mtu hajaanza kuonesha dalili. Tofauti ni kwamba, watu wenye...
  13. TheDreamer Thebeliever

    Mtazamo wangu kwa sasa Taifa halihitaji Katiba mpya, Rais Samia Hassan anatosha

    Habari wadau, Awamu iliyopita wengi waliililia katiba mpya sababu utawala uliopita wa awamu ya tano kiukweli uliwabana sana mbavu kila kona mpaka wakajiona kama wao sio sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Lakini SAP baada ya kuingia Mama Samia katika kiti cha Urais kwa kipindi hiki...
  14. Mathayo Christopher

    Mtazamo wangu kuhusu elimu yetu

    Kwa miaka mingi sasa tumeacha wanasiasa wakijadili mitazamo mbalimbali ya mustakabali wa elimu yetu hasa wakiangalia output ilioko mtaani bila ajira. Haya ni maoni yangu ya nini kifanyike. Mosi - Kwa wanaohisi mtaala wetu una mapungufu mengi sikubaliani nao changamoto kubwa katika elimu yetu...
  15. Petro E. Mselewa

    Mtazamo binafsi: Tatizo kuu la mkwamo wa Katiba mpya na mambo mbalimbali ya kisiasa na kijamii ni 'kwanini ianzie kwangu? Kwanini nianze mimi?'

    Nimekuwa nikifuatilia na kutafakari sana kuhusu siasa na mambo ya nchi yangu kwa ujumla. Kiukweli, naipenda sana Tanzania yangu na sijawahi kuiwazia wala kuifanyia mabaya hadi hapa nilipofikia. Na naendelea kumuomba Mwenyezi Mungu kila uchao kuniachia na kuniimarishia uzalendo wangu kwa nchi...
  16. S

    Mtazamo wangu dhidi ya TAKUKURU

    Takukuru ni chombo cha kumulika na kuwaangza watoaji, wala rushwa na hata wanaoishabikia. Inaonekana kwamba aidha kuna Takukuru ambao wanafanya kazi sana au wengine hawaonekani kufanya kazi kutokana na maeneo kwakua labda hakuna vitendo vya rushwa au hao takukuru wenyewe ni wala rushwa...
  17. B

    Rais Samia ni Dkt. Magufuli mwenye Mtazamo tofauti na Hayati Magufuli

    Mara kadhaa, mama Samia anasema yeye na Magufuli ni kitu kimoja. Huenda ni watu aina moja kwa sababu wametokana na uchaguzi mmoja. Ukifuatilia kauli zake hasa katika hotuba ya leo, dira ya Taifa katika kutekeleza Mpango wa Maendeleo na Ilani ya CCM vinaonyesha tofauti kubwa katika utekelezaji...
  18. the numb 1

    Je, ni mtazamo wangu tu au?

    Sijui niseme maisha ni magumu sana au sijui niseme utandawazi!!! Kwanini mabinti wa vyuo wanakuwa warahisi sana kutongozeka! Yan ukigusa imooooo tena ukiwa mwepesi kama lionel messi aloooooo haichukui hata siku mbili yupo geto sasa hapo ukiwa na meno kama ya fisi yaani unakula tu mifupa kwa...
  19. britanicca

    Je, wewe umewahi bahatika kukutana na kiongozi yeyote wa Taifa hili na umepata kuongea naye kuhusu nini na mtazamo wake uliuonaje?

    Ni wanasiasa gani umewai kutana nao Live na Mliongea nini Mkashauriana nini. Mwaka 2003 nilikutana na Mzee Hassan Mwinyi kabla sijaanza kufanya kazi na serikali kwa Ukaribu, tuliongea Mengi na nikamkumbusha mambo Mengi ya Nyuma ya History yake binafsi ambayo Wengi hawajui kwakuwa niliipata...
  20. D

    Mtazamo wangu kuhusu Mababeru

    Habari wana jamvi poleni na kazi, Katika harakati za hapa na pale kuhusu mustakabali wa taifa na mambo yote yanayoendelea ningependa kutoa mtazamo wangu kuhusu hawa watu wanaoitwa '' mababeru''. Ni jambo amabalo lianishangaza sana sana watu huku mitaani pia na kwenye majukwaa ya kisiasa kumekua...
Back
Top Bottom