Kwenye maisha kuna kipindi unakuta unapitia machungu kama vile
Kufirisika / kufulia
Uraibu uliokurudisha sana nyuma kiuchumi mfano kubeti, ulevi, n.k.
Matatizo na vyombo vya sheria mfano kesi za mahakamani, Mapolisi kukusumbua, n.k.
Kurogwa - Hatupaswi kuuamini ila haya mambo yapo hata kwenye...