Huu ni ujumbe muhimu kwa wanawake wote, unaanza hivi.....
Ikiwa una mwanaume(umeolewa) maishani mwako, mtunze na umheshimu kwa kila njia.
Ikiwa wewe ni mseja , ishi maisha yako kwa ukamilifu.
Ikiwa unatamani wanaume hovyo hovyo , utachukuliwa na mbwa mwitu wakali.
Huo ndio ujumbe wenyewe...