muongozo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Robert Heriel Mtibeli

    Naomba Muongozo kutoka kwa serikali: Je, mwaka huu kutakuwepo sikukuu za Nane nane?

    Wakuu Kwema! Nafahamu viongozi wengi wa serikali wanapita humu JF. Naomba kujua Kama mwaka huu kutakuwa na sikukuu za Nane nane. Ili wakulima tujue tunafanyaje. Natanguliza shukran
  2. Jemimah cindy

    Helo am new here,

    Helo am new here, naomba muongozo wa jins gani naweza kupost bidhaa zangu za sofa cover kwa kitengo cha biashara, asanteni
  3. N

    Ofisi ya Rais - TAMISEMI itoe muongozo wa umri sahihi mtu anaotakiwa kuwa nao anapomaliza chuo

    Mimi nimeumia na nimeniuma sana: haiwezekani mtu ume-graduate 2015 unaachwa kuajiliwa eti anaajiriwa wa 2018 kisa kakuzidi umri Kwahiyo kutokuwa na umi mkubwa ni kosa? Je, ajira za serikali sharti iwe na miaka mingapi? Tunaomba ufafanuzi, Mtu kaanzia kufanya kazi kwenye taasisi binafsi hadi...
  4. M

    Ufafanuzi na Mchanganuo Kuhusu Biashara ya Vipodozi na Urembo

    Wana JF naombeni ushauri wenu zikiwemo changamoto zake. WADAU WENGINE WANAOHITAJI KUELEWA BIASHARA HII MICHANGO YA WADAU KUHUSU BIASHARA HII
  5. Mkaruka

    Upi ni uandishi sanifu: Muenendo au Mwenendo, Mwongozo au Muongozo?

    Kama kichwa cha mada kisemavyo. Kwa wataalamu msaada tafadhali.
  6. Replica

    Mbunge wa Mavazi aomba muongozo wa Dawati la kina Baba, Spika amuunga mkono

  7. M

    Muongozo wa Kisheria juu Mtumishi wa Umma kukata rufaa kwa Rais

    Leo mheshimiwa rais Samia amesikika akisema kuwa hataki kuona rufaa ya mtumishi wa umma ikiletwa kwake baada ya kuwa imeshaamuliwa na Tume ya utumishi wa umma. Ningependa kumkumbusha Rais Samia kuwa, kwa mujibu wa sheria yeye ni mkuu wa utumishi wa umma na pia ni sehemu ya mamlaka ya nidhamu ya...
  8. mcfm40

    Malalamiko kwa Shule Binafsi: Wizara ya Elimu na Tamisemi waliangalie na kulitolea muongozo

    Tunaomba serikali na hasa Wizara ya Elimu na ike ya Tamisemi waliangalie sana hili na kulitolea muongozo mapema. Malalamiko yenyewe ni kwamba kumekuwa na utaratibu kwa shule za binafsi hasa zile za English Medium kuzuia wanafunzi wa madarasa ya mitihani kwenda likizo hasa ya mwezi wa sita...
  9. Q

    Biashara ya Nguo za Mtumba: Ushauri na Muongozo wa Kuifanya kwa Mafanikio

    Naomba msaada wenu nina duka la nguo la kawaida tu na lipo eneo zuri la biashara kinachonishangaza sipati faida kabisa je kuna yeyote kwenye biashara hiyo ambaye anaweza kunishauri jinsi ya kulisimamia? Mimi ni mfanyakazi kwa hiyo si mara kwa mara nakuwa dukani hapo. Naombeni ushauri...
Back
Top Bottom