music

  1. I am Groot

    Music Industry: Kenya Vs Tanzania

    Kwenye nyanja mbalimbali kenya wametuacha sana lakini nini tatizo kubwa linalofanya muziki wa Kenya usifanye poa kuliko wa Tanzania kwenye mziki wao? Tz pamoja na kutumia zaidi Swahili katika nyimbo zetu tofauti na majirani Kenya wenye kutumia lugha zaidi ya moja; bado angalau katika soko la...
  2. W

    Msaada wa App nzuri ya muziki

    Wadau msaada nitajieni app nzuri ya music ambayo ukiidownload inaplay music ya audio vizuri na hata video music sometimes inaichange kusikika kwny audio automatically nilikuwanayo niliifuta kimakosa jina nilikuwa silijui
  3. H

    Ava Max - My Head & My Heart

    Artist: Ava Max Title: My Head & My Heart Album: Heaven & Hell Genre: Pop Label: Atlantic Records Year: 2020 Baby, now and then I think about me now and who I could have been And then I picture all the perfect that we lived 'Til I cut the strings on your tiny violin, oh woah My mind's got a...
  4. H

    My Weekend Playlist

    Here are some of my classic hits playlist 01. Ace Of Base - Everytime It Rains 02. Angelique Kidjo - Agolo 03. Donna Summer - Unconditional Love 04. Jade - Don't Walk Away 05. Baltimora - Tarzan Boy
  5. dvj nasmiletz

    Sikiliza hapa Dj mixing /non stop

    Kama wewe ni dj au mdau wa muziki.hapa unaweza kusikiliza na kudownload nyimbo zilizotengenezwa na madj. Yaan mixing au nonstop mix kutoka djs mbalimbali PIA UNAWEZA TEMBELEA CHANEL YANGU YA YOUTUBE INAITWA DVJ NASMILETZ https://www.youtube.com/@NASMILETZ?sub_confirmation=1 KISHA SUBSCRIBE...
  6. Hisha Sorel

    Is Sukari by Zuchu Indicative of WCB and Tanzanian Artists Abandoning Anti-Black,Africanism,and Colourism in Music Videos? If so,thank Kendrik Lamar

    I still remember watching Kendrick Lamar and SZA music video “All the stars” and how it made me feel about blackness, beauty, mysticism, and power. Until then, I had not yet seen a positive portrayal of African-ness. Compared to its European counterpart, African culture, scenery, and its people...
  7. Tomaa Mireni

    INAUZWA Vitu vya ndani, Sony Hi-Fi music, Samsung TV bei ya January

    Sony MHC-RG310 bei yake 350,000 Samsung TV nchi 32 bei 350,000 Kitanda cha chuma na godoro lake 400,000 godoro nchi 8 Vyote tuchekiane 0685008131
  8. Wacha1

    Chinese firms involved in money laundering racket face the music in Tanzania

    Senior management officials of these Chinese companies have been detained in Tanzania since the first week of November. Chinese firms involved in money laundering racket face the music in Tanzania | India News | Zee News New Delhi: Chinese involvement in money laundering has been growing...
  9. Buza Kwa Mpalange

    Washindi wa Billboard Music Awards 2020

    Tuzo za Billboard mwaka 2020 zimemalizika usiku wa kuamkia leo, Post Malone ameibuka kinara kwa kuondoka na tuzo 9 mkononi. Malone amenyakua vipengele vya; Top Artist, Top Male Artist, Top Billboard 200 Artist, Top Hot 100 Artist, Top Streaming Songs Artist, Top Rap Artist, Top Rap Male Artist...
  10. The Mongolian Savage

    Wanajamvi wapenzi wa Country music Alan Jackson ni Hatari

    Mzuka, Bado najiuliza huyu mwamba wa Country Alan Jackson alinipitaje nisimjue vizuri na kupenda nyimbo zake muda mrefu huo wote? Huyu mwamba ni hatarii Aisee. Ana nyimbo kali sana za country kuna hivi vibao kanipigia nilianza kuvifuatilia wakati wa lockdown sasa hivi yani usipime. - One...
  11. rr4

    Diamond Platnumz Talks Growing Up In Tanzania & Breaking Into American Popular Music

    Diamond Platnumz Talks Growing Up In Tanzania & Breaking Into American Popular Music Facebook Twitter Email The recording artist, entrepreneur and media mogul discusses Tanzania’s musical landscape, success, expanding his empire and more CHRISTOPHER A. DANIEL GRAMMYS OCT 6, 2020 - 1:36 PM When...
  12. crankshaft

    New music audio Zuchu ft Diamond Platnumz

    Available in all digital platforms isikilize halafu leta maoni yako hapa Personally nimependa sana ubunifu wa Diamond platnumz kutumia current situation pale anasema "Tena wasipoteze muda kwa kura zao za kata,mi ndo kamati kuu hapa jimbo umepata." All in all nyimbo ni nzuri
  13. Civilian Coin

    Huyu ndiye mwanzilishi wa Tuzo za Muziki Tanzania "Tanzania Music Awards"

    HISTORIA YA MWANZILISHI WA TUZO ZA "TANZANIA MUSIC AWARD" Historia ya shujaa SOMA HISTORIA YA SHUJAA HUYU WA BONGO FLEVA ALIYESAHAULIKA JAMES Dandu ‘Mtoto wa Dandu’ siyo jina geni katika gemu la Bongo Fleva lakini ni wangapi wanamkumbuka na wanautambua mchango wake katika gemu la Bongo Fleva...
  14. Chewa91

    Music and Video library

    Nina lengo la kufungua video library yaani kurushia wateja movies pamoja na mziki. Kwa wanao fahamu, series/seasons nitapataje?
  15. Civilian Coin

    Somo zuri sana kwa Wanamuziki wenzangu"Factor Affecting Music" utafiti uliofanyika Uganda na kuletwa na Don Nalimison

    Pitia Reseach hii ili kuboresha muziki wako, imeletwa kwenu na Don Nalimison kwa maslahi ya Wanamuziki wa Tanzania.(PDF) ya chini. I real Congrats CATHERINE KUTEESA from UGANDA for her Dissertation which is Salvation and Revolution in East Africa Musicians. "FACTORS AFFECTING MUSIC PUBLISHING...
  16. B

    Nilichojifunza kilichotokea Kings Music

    Mnamkuza sana jamaa kuliko uwezo. Shabiki wa Kiba hawajielewi. Kiba anategemea kiki ila anajifanya kama hategemei hivi. Kumbuka kipindi anataka kutangaza kuhusu ile tour yake kulikuwa na haja gani ya kusema kuwa anatoa tamko rasmi kama sio kutumia ile attention iliyotengenezwa na Diamond...
  17. mwehu ndama

    TANZIA Mwanamuziki mkongwe wa Soukous, Aurlus Mabele afariki dunia. Coronavirus yahusishwa

    Mwanamuziki mgongwe wa DRC, Aurlus Mabele maarufu kama Mfalme wa Sokous amefariki dunia saa chache zilizopita jijini Paris nchini Ufaransa, huku kukiwa na taarifa kuwa huenda kifo chake kimesababishwa na virusi vya corona (Covid-19). Mwanamuziki huyo ambaye taarifa zilizothibitishwa na familia...
  18. Babu sea

    Msaada: Nitapata wapi vitabu vya muziki vya Lista Eliya?

    Ninamfahamu Lista kama mwanamuziki mkongwe wa Tanzania lakini hivi sasa anaishi Japan, anajihusisha pia katika shughuli za uandishi wa vitabu mbalimbali vya muziki. Ameeandika vitabu vinavyo husu maswala mbalimbali kama vile upigaji wa kinandaupigaji wa gitaa n.k Nimevitafuta sana hivyo vitabu...
  19. M

    Dubai all African Music Festival. Je, Ali Kiba kasahaulika?

    Nimeangalia wasanii wakubwa wa Afrika wakielekea Dubai kwenye show ya kihistoria. Nimejaribu kupepesa macho sijaona jina la Kiba. Tanzania kuna Diamond, Harmonize, Mdee na Nandi. Je, huu mwamba wa bongo fleva umesahaulika au umekataa mwaliko?
  20. bahati93

    'Yo pe by innos' maana ya mashairi

    O timbi na timbeli yo! Ukiniheshimu ntakuheshimu Yuma no kaka ts ( INNNOSS) Mpuuzi wako ( innos) Zoba no kaka ts Ujinga wako Hein yuma no kaka ts Kwa ujinga uliopitiliza Djizo! djizo O telemi no na coin Umesimama kwa kona O Sali no eloko teee Ufanyi kazi kabisa O toki no kutu teee...
Back
Top Bottom