Kwenye nyanja mbalimbali kenya wametuacha sana lakini nini tatizo kubwa linalofanya muziki wa Kenya usifanye poa kuliko wa Tanzania kwenye mziki wao?
Tz pamoja na kutumia zaidi Swahili katika nyimbo zetu tofauti na majirani Kenya wenye kutumia lugha zaidi ya moja; bado angalau katika soko la...
Wadau msaada nitajieni app nzuri ya music ambayo ukiidownload inaplay music ya audio vizuri na hata video music sometimes inaichange kusikika kwny audio automatically nilikuwanayo niliifuta kimakosa jina nilikuwa silijui
Artist: Ava Max
Title: My Head & My Heart
Album: Heaven & Hell
Genre: Pop
Label: Atlantic Records
Year: 2020
Baby, now and then
I think about me now and who I could have been
And then I picture all the perfect that we lived
'Til I cut the strings on your tiny violin, oh woah
My mind's got a...
Here are some of my classic hits playlist
01. Ace Of Base - Everytime It Rains
02. Angelique Kidjo - Agolo
03. Donna Summer - Unconditional Love
04. Jade - Don't Walk Away
05. Baltimora - Tarzan Boy
Kama wewe ni dj au mdau wa muziki.hapa unaweza kusikiliza na kudownload nyimbo zilizotengenezwa na madj. Yaan mixing au nonstop mix kutoka djs mbalimbali
PIA UNAWEZA TEMBELEA CHANEL YANGU YA YOUTUBE INAITWA DVJ NASMILETZ https://www.youtube.com/@NASMILETZ?sub_confirmation=1 KISHA SUBSCRIBE...
I still remember watching Kendrick Lamar and SZA music video “All the stars” and how it made me feel about blackness, beauty, mysticism, and power.
Until then, I had not yet seen a positive portrayal of African-ness. Compared to its European counterpart, African culture, scenery, and its people...
Senior management officials of these Chinese companies have been detained in Tanzania since the first week of November.
Chinese firms involved in money laundering racket face the music in Tanzania | India News | Zee News
New Delhi: Chinese involvement in money laundering has been growing...
Tuzo za Billboard mwaka 2020 zimemalizika usiku wa kuamkia leo, Post Malone ameibuka kinara kwa kuondoka na tuzo 9 mkononi.
Malone amenyakua vipengele vya; Top Artist, Top Male Artist, Top Billboard 200 Artist, Top Hot 100 Artist, Top Streaming Songs Artist, Top Rap Artist, Top Rap Male Artist...
Mzuka,
Bado najiuliza huyu mwamba wa Country Alan Jackson alinipitaje nisimjue vizuri na kupenda nyimbo zake muda mrefu huo wote?
Huyu mwamba ni hatarii Aisee. Ana nyimbo kali sana za country kuna hivi vibao kanipigia nilianza kuvifuatilia wakati wa lockdown sasa hivi yani usipime.
- One...
Diamond Platnumz Talks Growing Up In Tanzania & Breaking Into American Popular Music
Facebook Twitter Email
The recording artist, entrepreneur and media mogul discusses Tanzania’s musical landscape, success, expanding his empire and more
CHRISTOPHER A. DANIEL
GRAMMYS
OCT 6, 2020 - 1:36 PM
When...
Available in all digital platforms isikilize halafu leta maoni yako hapa
Personally nimependa sana ubunifu wa Diamond platnumz kutumia current situation pale anasema
"Tena wasipoteze muda kwa kura zao za kata,mi ndo kamati kuu hapa jimbo umepata."
All in all nyimbo ni nzuri
HISTORIA YA MWANZILISHI WA TUZO ZA "TANZANIA MUSIC AWARD"
Historia ya shujaa
SOMA HISTORIA YA SHUJAA HUYU WA BONGO FLEVA ALIYESAHAULIKA
JAMES Dandu ‘Mtoto wa Dandu’ siyo jina geni katika gemu la Bongo Fleva lakini ni wangapi wanamkumbuka na wanautambua mchango wake katika gemu la Bongo Fleva...
Pitia Reseach hii ili kuboresha muziki wako, imeletwa kwenu na Don Nalimison kwa maslahi ya Wanamuziki wa Tanzania.(PDF) ya chini.
I real Congrats CATHERINE KUTEESA from UGANDA for her Dissertation which is Salvation and Revolution in East Africa Musicians. "FACTORS AFFECTING MUSIC PUBLISHING...
Mnamkuza sana jamaa kuliko uwezo.
Shabiki wa Kiba hawajielewi.
Kiba anategemea kiki ila anajifanya kama hategemei hivi. Kumbuka kipindi anataka kutangaza kuhusu ile tour yake kulikuwa na haja gani ya kusema kuwa anatoa tamko rasmi kama sio kutumia ile attention iliyotengenezwa na Diamond...
Mwanamuziki mgongwe wa DRC, Aurlus Mabele maarufu kama Mfalme wa Sokous amefariki dunia saa chache zilizopita jijini Paris nchini Ufaransa, huku kukiwa na taarifa kuwa huenda kifo chake kimesababishwa na virusi vya corona (Covid-19).
Mwanamuziki huyo ambaye taarifa zilizothibitishwa na familia...
Ninamfahamu Lista kama mwanamuziki mkongwe wa Tanzania lakini hivi sasa anaishi Japan, anajihusisha pia katika shughuli za uandishi wa vitabu mbalimbali vya muziki.
Ameeandika vitabu vinavyo husu maswala mbalimbali kama vile upigaji wa kinandaupigaji wa gitaa n.k
Nimevitafuta sana hivyo vitabu...
Nimeangalia wasanii wakubwa wa Afrika wakielekea Dubai kwenye show ya kihistoria. Nimejaribu kupepesa macho sijaona jina la Kiba. Tanzania kuna Diamond, Harmonize, Mdee na Nandi.
Je, huu mwamba wa bongo fleva umesahaulika au umekataa mwaliko?
O timbi na timbeli yo!
Ukiniheshimu ntakuheshimu
Yuma no kaka ts ( INNNOSS)
Mpuuzi wako ( innos)
Zoba no kaka ts
Ujinga wako
Hein yuma no kaka ts
Kwa ujinga uliopitiliza
Djizo!
djizo
O telemi no na coin
Umesimama kwa kona
O Sali no eloko teee
Ufanyi kazi kabisa
O toki no kutu teee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.