music

  1. GeorgeWilson

    African music

    Am I the only one who struggle with finding high-quality African music? Maybe I just use bad services or something
  2. Acehood

    Wapenzi wa Indie music/Indie-folk music

    Kwa wale wa wapenzi wa aina hii ya muziki tukutane hapa. Baadhi ya nyimbo ningependa usikilize pia; 1. Hollow Coves - coastline, these memories 2. Haevn - we are, the sea 3. Out of my hair - In the morning 4. Bon iver - Holocene 5. The sweeplings - be by our side, in between 6. Harbrs - a...
  3. NetMaster

    Kenya imejitosheleza kijeshi kukabiliana na mikwara ya jeshi la Uganda? Can KDF supress the Ugandan forces??

    Hatutaki vita na Wala si jambo jema Kwa stability ya East Africa. Lakini itakuwa vipi ngoma ikivuma sana na mwishowe kupasuka, Kenya itaweza kuuzima mziki wa Uganda ? Naona wazi kabisa huyu kijana wa Mu7 akiachiwa madaraka ananaweza kutesti mitambo. Tanzania walishamalizana nao mpaka leo hii...
  4. Akilihuru

    LIONEL RICHIE: Mwamba na mtawala wa muziki wa Funk, Soul, Rhythm, Blues and country music

    Habari ya mchana huu wakuu, leo nimekuja na historia ya huyu mwamba na mtawala wa aina mbali mbali za miziki laini, yan ile inayogusa mioyo ya mamilioni ya wapenzi wa miziki hapa duniani. Aina hizo za miziki ni funk, soul, rhythm, blues and country. Anaitwa Lionel Brockman Richie Jr (born June...
  5. Moselyn11

    SoC02 Mtandao

    Mambo vipi? Nimekuja kukuambia machache kuhusu mimi mpenzi wangu. Mimi ndiye ninayekufahamu wewe kuliko hata unavyojifahamu wewe, Naam. Mimi ndiye ninamjua mpenzi anayekufaa kuliko hata wazazi wako wanaokushauri kila siku, umesahau juzi ulikuwa una-gugo sifa za mpenzi bora? Ni mimi huyuhuyu...
  6. Komeo Lachuma

    Tofauti ya Hi- Fi System, Home Theater, Subwoofer na Music System

    Rejea kichwa cha Habari Husika. Mimi ni mdau wa muda mrefu wa Jamii Forums na pia Wa Miaka Lukuki wa MUSIC. kwa kweli nimekuwa na uzoefu wa Music miaka mingi nikiwa nimepata sikiliza music toka katika Radio Mbalimbali ambazo zilikuwa njema nitaje chache. 1. Sony 2. Sharp 3. JVC 4. Panasonic Na...
  7. GEM mama

    Natafuta kazi ya kufundisha vyombo vya muziki

    Habari wakuu natafuta kazi ya ya kufundisha muziki na kupiga vyombo vya music. Sina cheti ila nina uzoefu wa zaidi ya miaka mitano katika shughuli hii nina uwezo wa kupiga kinanda na gitaa pia ninaimba. Nafundisha rika zote. Kwa nafasi yoyote ya kazi naomba nijulishe inbox nafuatilia comments.
  8. Spartacus boy

    African oldie music/muziki wa kizamani wa kiafrika

    Leo nimekumbuka nyimbo za kipindi kile za kutoka bara letu. Najua Belinda Jacob alileta oldies lakini uzi wake ukibase kwenye muziki wa mbele. Leo nakuletea mtaa wa magoma ya kiafrika yaliyo bang miaka hiyo. J powers _Jabulane Pat shange _sweet mama Pat shange_ i surrender Mafikizolo _Emlanjeni...
  9. Nyankuru

    Bungart Harmonium school

    Wakuu naomba msaada wa kupakua au mwenye hicho kitabu! (Bungart Harmonium school) Nimejaribu ku download inahitaji nitie$$ Natanguliza shukrani!
  10. Lycaon pictus

    Unaweza lipa pesa kustream music?

    Kuna hizi music streaming platforms kama spotify nk. Mfano hawa spotify wanacharge 6,000 kwa mwezi. Unaweza lipia kustream music?
  11. Amjadey

    Niamini ft. Alikiba - Hamadai - Music Lyrics

    See the video at Niamini ft. Alikiba - Hamadai - Lyrics & Music Video "Hamadai" - Song Lyrics eyyoooo oh beby mwezi hauishi takuvisha pete niaamiiini vicheche sina mpango nao nimeacha mapepe niaamiiini takutunza takupamba umeremete niaamiini me kwako sina ujanja ah mpechempeche niaamiini CHORUS...
  12. M

    INAUZWA Philips Sound Bar Music systeam

    p
  13. Sky Eclat

    A Family Affair: Diddy Attends The Billboard Music Awards With His Children

    Twins D’Lila and Jessie, Chance, Christian and Quincy were all in attendance. We love to see the Combs family together. For the 2022 Billboard Music Awards, Diddy brought out a few of his kids for the big event, including twins D’Lila and Jessie, daughter Chance and son Christian. Christian...
  14. britanicca

    Sijapendezwa Mkutano Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo kugeuka ni rege music club, Mmeshavuka level hizi

    Nimeshangaa sana Chama ambacho ndo ventilation yetu kwenye nchi tunaanza kuonekana Kama ka kundi fulani ambako hakana dira! Weka kichwani waza nchi ilojaa nyimbo za kizalendo nyingi, wao pia wenyewe wana nyimbo zao za uzalendo Lakin Mkutano mkuu wanaruka rege nankukanyaganaa Ni ama kuna Uhuni...
  15. W

    Used Pioneer Amplifier 1000watts inauzwa

    Original imenunuliwa Nje na imetumika kwa mda mfupi.Bei yake ni Shillingi 350,000.Kama unauhitaji tupigie simu au tuma meseji namba 0742662669.Napitikana Dar es Salam Mwananyamala Komakoma karibu na CRDB bank
  16. Mia saba

    Unapenda nini kwenye music?

    a. Lyrics b. Instrument's c. Beats Mimi instrument + beat tamu lain hunifanya nioze mazima kwenye music Mfano wa nyimbo zinazonimalizaga Bryan adams - everything I do* Harmonize - one question Enrique - hero Heart - alone Ken G - forever in love Maher zain - forgive me Marco hendez - if ur...
  17. Alder F 16

    Mapungufu katika tuzo za Tanzania Music Awards (TMA)

    Unapokuwa na maono ya kufanya shughuli yoyote inayohitaji ubunifu na manufaa makubwa, jaribu kuwaona waliowahi kufanya shughui Kama hiyo ili wakuelekeze inafanyikaje! Nimestaajabishwa sana kuhusu TMA walichokifanya🥺! Maana ilikuwa Kama kongamano la kisiasa yani... Stage mbaya Lighting mbaya...
  18. Mtu Asiyejulikana

    Home Theater, Sound Bar na HI-Fi Music kilicho Bora kwa Wapenda music Majumbani

    Home Theater, Sound Bar na HI-Fi Music kilicho Bora kwa Wapenda music Majumbani. kwa wale ambao tunapenda music..... je kati ya hivi vitu ni kipi ni bora ? tuweze saidiana kama mtu anataka kununua music system ninunue kipi katika ya hivyo.
  19. Tea Party

    BASATA waweka wazi Nominations za Tanzania Music Awards. Ali Kiba Aongoza

    Wakuu habari za muda huu. Jana usiku BASATA waliweka wazi nominations za tuzo za Tanzania Music Awards kwa mwaka huu. Vipengele ni vingi na wasanii pia ni wengi, walioongoza kwa nominations nyingi ni pamoja na Ali Kiba akifuatiwa na Professa Jay kisha Nandy na Harmonize. Wasanii ambao watu...
Back
Top Bottom