music

  1. I

    Best 6 Ways to Enjoy Music and Learn From It

    Music has the power to transport us to another world, evoke emotions, and connect us with others. While it can be enjoyed purely for its entertainment value, music can also be a valuable tool for learning and personal growth. In this article, we'll explore six ways to not only enjoy music but...
  2. L

    Tuzo za Muziki "Tanzania music Award" hazina mvuto kabisa,Diamond Ana haki kuzikataa

    Wakuu, Nafatilia tuzo za Muziki Tz ,aisee kinachoendelea hazina Radha kabisa. Zinarushwa kupitia king'amuzi Cha Azam, sinema zetuaaa #nashauri,warejee nyuma zilivyokuwa.
  3. beatboi

    Tamaduni Music tuwape maua yao kwa kuchangia pakubwa hawa madogo wanaofanya vizuri kwenye game hivi sasa

    Hiki ndio chuo kikuu cha hiphop hapa bongo kwani tangu waanze harakati zao wanatoa vichwa vinavyofanya kweli kwenye kila angle. Hawa ni baadhi ya waliopitia University of tamaduni music wakatoka na bachelor degree inayowasaidia kupata mkate wa kila siku, *Kontawa *Maarifa *Toxic *Pmawenge...
  4. Mr SGR

    Tamaduni music

    Short thread! Wadau nimezikumbuka sana ngoma za Lunduno zilizokusanya wasanii wengi sana rappers katika movement ya Tamaduni music 2005-2015. Ngoma zao nyingi zilikuwa zinatoa darasa na kumpa mpambanaji hope kubwa katika kupambana. Wasanii manguli kama Nikki mbishi, One the incredible...
  5. Mwl.RCT

    "The Power of Love and Music: You Sang to Me"

    The power of music and love are beautifully intertwined in the lyrics of "You Sang to Me" by Marc Anthony. The song captures the feeling of being comforted by someone you love when you are vulnerable and in need of support. The opening lines of the song set the scene of a late-night call made...
  6. Rawahy

    Movie za bongo background music unakera

    Mimi ni mpenzi sana wa bongo movies ingawaje mimi sio mtanzania wala siishi Tanzania. Kuna moja linanikera sana katika movie hizo; ni background music. Inakuwa hata vigumu kusikia wanachosema waigizaji.
  7. Man Rody

    When the music bug hits u

    Nothing beats passion, nimeangalia zaidi ya mara 10 hii video..wow!
  8. Mathanzua

    Central Bank Digital Currency (CBDC) is the endgame. But do you know the implications to humanity? Read more here

    “Let me issue and control a nation’s money and I care not who writes the laws.” - Mayer Amschel Rothschild Central Bank Digital Currency (CBDC) will end human freedom. Don’t fall for the assurances of safeguards, the promises of anonymity and of data protection. They are all deceptions and...
  9. Slowly

    Ni kweli Sallam SK ni mwakilishi wa Apple music East Africa na Diamond ana hisa Zikiii?

    Baada ya Harmonize kulalamika kuwa wasambazaji wa kazi zake Zikiii wanakula sahani moja na WCB kumhujumu , wadau mbali mbali wameibuka na kuanza kunyetisha za ndani. Inavyoonyesha WCB hawakwepeki kwenye Sanaa ya bongo , utawatukana unavyojua Ila ukiingia studio unawakumbatia bila kujua. Wakazi...
  10. Brightson7

    Mimi ni drummer ( moderate) pia napenda piano nahitaji waalimu wa kunipa ujuzi

    Jmn wa penda music mpo me napenda sana music hasa upande wa instruments me ni drummer ( moderate) pia napenda piano nahitaji waalimu wakunipa ujuzi
  11. BARD AI

    Familia yaridhia Sony Music Africa waachie album mpya ya AKA

    Timu ya Rapa #AKA kwa kushirikiana na Kampuni za Kusimamia Kazi za Sanaa Sony Music Entertainment na The T Effect zimepata baraka za familia ya #JarrydForbes kuachia albam kama alivyopanga mwenyewe. Mkurugenzi Mtendaji wa #SonyMusicAfrica, Sean Watson amesema “Mioyo yetu imevunjika, tumepoteza...
  12. Ali Nassor Px

    Makosa matano yaliyoonekana kwenye video ya muziki ya Zuwena ya msanii Diamond Platinumz

    Imechambuliwa na kuandikwa na Ally Nassor Px . Tarehe 5 February 2023. Sehemu ya kwanza kuipost ni hapa JF sehemu ya pili itakuwa ni Facebook na mwisho kabisa nitamalizia Twitter. ........................................................... Video imetoka juzi Tarehe 3 mwezi wa pili mwaka...
  13. F

    Wapenzi wa muziki wa bongo fleva, wimbo wa lonely wa Mario unaupa rank namba ngapi kwa ngoma kali za kufunga mwaka 2022?

    Wadau wa bongo fleva, Kila mara anaongelewa. Diamond, ali kiba, Harmonize, Rayvanny, Nandy na Zuchu. Huyu dogo mario haongelewi sana. Leo nimepata nafasi ya kusikiliza nyimbo zake za album yake mpya. Nimegundua dogo kazi anaweza. Mojawapo ya nyimbo yake iitwayo lonely aliyoshirikiana na Abba...
  14. Brother Wako

    I Miss: Alikiba anavyomsaidia Marioo Kulamba matapishi yake

    “The Kid You Know” albamu ipo masikioni mwa mashabiki wa Marioo tangu December 9. Albamu hii yenye nyimbo 17 imepambwa na kolabo 12 za Afrika, miongoni mwa kolabo kubwa zinazopatikana humu ni I Miss. I Miss ni wimbo namba 10 alioshirikishwa King Kiba, Alikiba na Marioo wameutendea haki mdundo...
  15. Belight Technology

    INAUZWA Professional 61 key Musical Electronic Piano Keyboard

    Bei ni Tsh 499,000/= from Belight Technology Mawasiliano: WhatsApp/Call: 0715189999 Brand: Yongmei, Model: YM 758 (BRAND NEW) Keys :61 -Display:LCD Pitch bend & Vibrato:YES USB MP3 player & control:YES Timbres & Rhythms:300 & 300 Percussion:61 Demos & Teaching modes:30 & 3 Memory:3 Main...
  16. W

    Kwanini boomplay kuna video song nyingine ukisearch hazipo?

    Hivi kwanini kule boomplay kuna video song nyingine ukisearch hazipo??? Nimesearch video song za Ibraah takriban nyingi haikuniletea.
  17. Michael Amon

    INAUZWA Kinanda Cha Music Production

    Kinanda aina ya Novation Launchkey 49 MK2 kinauzwa. Kinanda hiki ni maalum kwa ajili ya Music Production tu. Kinanda hiki bado ni kipya na hakina hata mkwaruzo. Kinafanya kazi na software zote za music production kama vile Ableton Live, Fl Studio, CueBase, Pro Tools, etc. Bei: 650,000...
  18. Ramoth Gilead Appliances

    INAUZWA Ipambe nyumba yako na home appliances nzuri kwa bei nafuu kutoka kwetu

    We tuambie budget yako ni shilling ngapi na unahitaji home appliances ipi tuko kwa ajili yako Kwalioko dar es salaam unaletewa mzigo ndo unalipa na mikoani unatuma fedha ndo tunakutumia mzigo. Mawasiliano ya cargo tunazotumiaga wapigie watakuelekeza ofisi zao zilipo kwenye mkoa husika, na bei...
Back
Top Bottom