Music has the power to transport us to another world, evoke emotions, and connect us with others. While it can be enjoyed purely for its entertainment value, music can also be a valuable tool for learning and personal growth.
In this article, we'll explore six ways to not only enjoy music but...
Wakuu,
Nafatilia tuzo za Muziki Tz ,aisee kinachoendelea hazina Radha kabisa.
Zinarushwa kupitia king'amuzi Cha Azam, sinema zetuaaa
#nashauri,warejee nyuma zilivyokuwa.
Hiki ndio chuo kikuu cha hiphop hapa bongo kwani tangu waanze harakati zao wanatoa vichwa vinavyofanya kweli kwenye kila angle.
Hawa ni baadhi ya waliopitia University of tamaduni music wakatoka na bachelor degree inayowasaidia kupata mkate wa kila siku,
*Kontawa
*Maarifa
*Toxic
*Pmawenge...
Short thread! Wadau nimezikumbuka sana ngoma za Lunduno zilizokusanya wasanii wengi sana rappers katika movement ya Tamaduni music 2005-2015. Ngoma zao nyingi zilikuwa zinatoa darasa na kumpa mpambanaji hope kubwa katika kupambana.
Wasanii manguli kama Nikki mbishi, One the incredible...
The power of music and love are beautifully intertwined in the lyrics of "You Sang to Me" by Marc Anthony. The song captures the feeling of being comforted by someone you love when you are vulnerable and in need of support.
The opening lines of the song set the scene of a late-night call made...
Mimi ni mpenzi sana wa bongo movies ingawaje mimi sio mtanzania wala siishi Tanzania. Kuna moja linanikera sana katika movie hizo; ni background music.
Inakuwa hata vigumu kusikia wanachosema waigizaji.
“Let me issue and control a nation’s money and I care not who writes the laws.” - Mayer Amschel Rothschild
Central Bank Digital Currency (CBDC) will end human freedom. Don’t fall for the assurances of safeguards, the promises of anonymity and of data protection. They are all deceptions and...
Baada ya Harmonize kulalamika kuwa wasambazaji wa kazi zake Zikiii wanakula sahani moja na WCB kumhujumu , wadau mbali mbali wameibuka na kuanza kunyetisha za ndani.
Inavyoonyesha WCB hawakwepeki kwenye Sanaa ya bongo , utawatukana unavyojua Ila ukiingia studio unawakumbatia bila kujua.
Wakazi...
Timu ya Rapa #AKA kwa kushirikiana na Kampuni za Kusimamia Kazi za Sanaa Sony Music Entertainment na The T Effect zimepata baraka za familia ya #JarrydForbes kuachia albam kama alivyopanga mwenyewe.
Mkurugenzi Mtendaji wa #SonyMusicAfrica, Sean Watson amesema “Mioyo yetu imevunjika, tumepoteza...
Imechambuliwa na kuandikwa na Ally Nassor Px .
Tarehe 5 February 2023.
Sehemu ya kwanza kuipost ni hapa JF sehemu ya pili itakuwa ni Facebook na mwisho kabisa nitamalizia Twitter.
...........................................................
Video imetoka juzi Tarehe 3 mwezi wa pili mwaka...
Wadau wa bongo fleva,
Kila mara anaongelewa. Diamond, ali kiba, Harmonize, Rayvanny, Nandy na Zuchu. Huyu dogo mario haongelewi sana.
Leo nimepata nafasi ya kusikiliza nyimbo zake za album yake mpya. Nimegundua dogo kazi anaweza.
Mojawapo ya nyimbo yake iitwayo lonely aliyoshirikiana na Abba...
“The Kid You Know” albamu ipo masikioni mwa mashabiki wa Marioo tangu December 9. Albamu hii yenye nyimbo 17 imepambwa na kolabo 12 za Afrika, miongoni mwa kolabo kubwa zinazopatikana humu ni I Miss.
I Miss ni wimbo namba 10 alioshirikishwa King Kiba, Alikiba na Marioo wameutendea haki mdundo...
Kinanda aina ya Novation Launchkey 49 MK2 kinauzwa. Kinanda hiki ni maalum kwa ajili ya Music Production tu. Kinanda hiki bado ni kipya na hakina hata mkwaruzo.
Kinafanya kazi na software zote za music production kama vile Ableton Live, Fl Studio, CueBase, Pro Tools, etc.
Bei: 650,000...
We tuambie budget yako ni shilling ngapi na unahitaji home appliances ipi tuko kwa ajili yako
Kwalioko dar es salaam unaletewa mzigo ndo unalipa na mikoani unatuma fedha ndo tunakutumia mzigo.
Mawasiliano ya cargo tunazotumiaga wapigie watakuelekeza ofisi zao zilipo kwenye mkoa husika, na bei...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.