Mawasiliano ya Barabara ya Kizangaze yanayounganisha kata za Maore, Ndungu, Kihuruo na Bendera wilayani Same Mkoa wa Kilimanjaro, yamekatika kwa muda baada ya kingo za Daraja la Kizangaze kuvunjwa na mafuriko.
Daraja hilo limeharibiwa na mvua zilizonyesha usiku wa Desemba 20, 2024.
Kamati ya...