Wasalaam
Jamani leo mvua imeanza asubuhi sana na bado inanyesha kama yote wakati huu.
Tunaokuja na mwendokasi mjini panapitika Jangwani au ndio imetoka tukutane kesho?
======
TAARIFA YA MAMLAKA YA HALI YA HEWA (TMA)
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inatoa taarifa ya mrejeo kuhusu...
Sijaandika huu uzi kwa lengo la kumkebehi mtu,
Dar kuna mifereji na mito mingi ambayo ikinyesha mvua kubwa kiasi tu inafunga mawasiliano kati ya watu wa huku na kule kwa dk kadhaa.
Unajitega unavusha masharobaro kwa jero, buku mpaka mia mbili. Usiache kichwa.
Jioni ukiingia mfukoni una 20...
Vimbunga viwili vinatarajiwa kutua katika pwani ya Afrika Mashariki usiku wa leo Alhamisi na kesho Ijuamaa, mamlaka za hali ya hewa zinaripoti.
Eneo la Puntland nchini Somalia ndilo linalotarajiwa kuathirika zaidi na tufani hiyo.
Kwa mujibu wa wataalamu wa hali ya hewa, mgandamizo wa hali ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.