mvua

  1. J

    Madiwani wa Iringa pambaneni na Corona na madaraja yaliyozolewa na mvua msitafute kiki za kumng'oa Meya haitawasaidia

    Kwanza niwakumbushe ninyi CCM Iringa ndio mliogoma kumdhamini Dr Magufuli mwaka 2015 alipokuja kuomba udhamini ili agombee urais. Pili, ni ninyi CCM Iringa mliogoma kumpa ushirikiano mchungaji Msigwa ilhali mnajua kabisa Iringa mjini na pale white house pana " ukaribu" sana. Tatu, kila mtu...
  2. Miss Zomboko

    Mvua ya masaa 2 Dar yasababisha nyumba 20 kuezuliwa mapaa

    UPEPO mkali na mvua iliyoandamana na radi imesababisha nyumba zaidi ya 20 kuezuliwa mapaa huku Kaya 50 zikikosa makazi. Tukio hilo la aina yake limetokea masaa mawili yaliyopita ambapo katika eneo la Kimara Golani kwa 'Bibi Rosta' mwandishi wa habari hizi ameshuhudia nyumba 19 zikiwa...
  3. Analogia Malenga

    TMA yatabiri mvua kubwa mikoa 12 ikiwamo Dar es Salaam

    Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetangaza hali mbaya ya hewa kwa siku tano kuanzia leo Jumatano Februari 12, 2020. Taarifa ya TMA imeitaja mikoa inayotarajia kunyesha mvua kubwa kwa baadhi ya maeneo ni mikoa ya Lindi, Mtwara, Mbeya, Songwe, Njombe, Iringa, Ruvuma, Pwani, Dar es Salaam...
  4. Suley2019

    Dodoma: Waziri Mkuu asema Mikoa 18 imeathiriwa na mvua

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amesema mvua kubwa inayoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali, mbali na kusababisha vifo, imeathiri barabara 73 na madaraja kwenye mikoa 18 nchini. Picha: Baadhi ya maeneo yaliyoathiriwa na mvua nchini. Amesema reli ya Tanga hadi Arusha, na Dar es Salaam hadi...
  5. Kifwimbo

    Natia nia ya kugombea uongozi kwenye chama cha ACT-Wazalendo

    🖐NAMI NATIA NIA🖐. Nianze kwa kuwapa pole ndugu zetu wa mikoa ya Lindi,tabora,Dodoma na maeneo mengine ya nchi kwa maafa ya mvua zilizopita kiwango na kusababisha maafa pole sana Ndugu zangu mwenyezi Mungu awatie nguvu na kuwapa subra katika kipindi hiki kigumu. Najitokeza hadhari mbele ya...
  6. Suley2019

    Mvua zaendelea kuleta maafa katika maeneo mbalimbali Nchini, TMA watoa tahadhari kuwa mvua hizi zitaendelea maeneo tofauti

    MVUA zinazoendelea kunyesha katika mikoa mbalimbali zimesababisha maafa makubwa ikiwemo watu watatu kupoteza maisha na watu zaidi ya 661 katika vijiji zaidi ya sita wakikosa makazi ya kuishi katika mikoa ya Lindi na Iringa. Pamoja na hayo, miundombinu ikiwemo madaraja na mashamba ikiharibiwa...
  7. Analogia Malenga

    Watu 46 wafariki kafuatia maporomoko ya ardhi yalaiosababishwa ba mvua kali Brazil

    Mvua kali zilizonyesha nchini Brazil zimepelekea maporomoko ya ardhi ambayo yamesababisha uharibifu mkubwa wa miundombinu. Watu 46 wafariki katika maporomoko ya ardhi yaliosababishwa na mvua kali zilizonyesha nchini Brazil. Kiongozi wa kitengo kinachohusikana na usalama wa rais katika eneo la...
  8. sadi msita

    Mvua ya ajabu Gairo

    MVUA YA MAAJABU YANYESHA GAIRO Habari za kushangaza mvua ya ajabu imenyesha Gairo na maeneo jirani kama Kibaigwa, Mlali na maeneo mengine. Mvua hiyo iliyonyesha siku mbili mfululizo imekuwa ikitoa maji meusi kama yameoshewa mkaa haijawahi kutokea maeneo haya na inasemekana imenysesha maeneo...
  9. beth

    TMA yatabiri mvua kubwa mikoa minne Tanzania

    Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania ( TMA) imetoa tahadhali ya mvua kubwa itakayonyesha katika mikoa ya Lindi, Mtwara, Ruvuma na kusini mwa Morogoro leo Jumatano Januari 22, 2020. Pia, TMA imetoa tahadhali ya upepo mkali na mawimbi makubwa katika mikoa ya Lindi, Mtwara, Pwani, Dar es Salaam...
  10. Analogia Malenga

    Mvua ya mawe kubwa kuwahi kutokea duniani

    Mwaka 2017, Shirika la hali ya hewa duniani (WMO) lilitangaza mvua kubwa ya mawe kuwahi kutokea duniani. Baada ya uchunguzi wa kina, ilionekana mvua iliyowahi kutokea Uttar Pradesh, India, tarehe 30 April 1888 ndio mvua kubwa kuwahi kutokea duniani, na ikaingia kwenye rekodi ya dunia ya...
  11. USSR

    Mvua kubwa na radi jijini Dar es Salaam na Pwani yote. Mtaani kwako kwema?

    Unaweza kusema ndio mvua kubwa tangu tuanze mwaka 2020 na imeanza kwa kasi kubwa tangu saa kumi usiku na bado inapiga, nimepita mitaa ya Mlandizi, Kibaha, Mbezi Mwisho, Ubungo hadi nafika katikati ya Jiji mvua inatwanga tu. Njia zote zimejaa maji na hasa pale Jangwani na maeneo mengi, hii...
  12. beth

    Dodoma: Mvua zinazoendelea kunyesha zaacha watu 1,000 bila makazi

    Zaidi ya watu 1,000 wamekosa makazi, baada ya nyumba 237 kubomolewa na mvua zinazoendelea kunyesha mkoani Dodoma. Wakazi walioathirika kutokana na mvua hizo ni wa Wilaya ya Bahi, huku miundombinu ya barabara ikiharibiwa. Hayo yalibainishwa na Mkuu wa Wilaya hiyo, Mwanahamisi Munkunda...
  13. beth

    Mvua yaua watatu, yakata mawasiliano ya Songwe, Rukwa na Katavi

    Mvua zinazoendelea kunyesha katika mkoa wa Rukwa, zimeendelea kusababisha maafa baada ya kusomba madaraja manne katika barabara kuu ya Kasansa-Kilyamatundu inayounganisha mikoa ya Songwe, Rukwa na Katavi iliyopo bonde la ziwa Rukwa wilayani Sumbawanga huku ikisababisha vifo vya watu watatu...
  14. beth

    TMA yatoa tahadhari ya mvua kubwa kwa mikoa 6

    Mamlaka ya Hali ya Hewa (TMA) imetoa angalizo kwa mikoa ambayo itanyesha mvua kubwa leo ikiwemo Singida, Rukwa, Mbeya, Njombe, Songwe na Iringa. Taarifa hiyo imeeleza kuwa kesho Januari 11, 2019 kutakuwa na angalizo la mvua kubwa kwa baadhi ya maeneo ya mikoa ya Singida, Dodoma, Rukwa, Mbeya...
  15. B

    Tishio la Upungufu wa Mavuno, Usalama wa Chakula baada ya Mafuriko na Mvua kubwa

    December 30, 2019 Tanzania Hali ya upungufu wa mavuno tishio la Usalama wa chakula Tanzania 2020 - 2021 Changamoto kubwa baada ya mafuriko na mvua nzito zisizo koma kukumba maeneo mengi ya Tanzania ni suala la usalama wa chakula kupitia akiba ya mazao kama mahindi, mpunga, mihogo, ulezi na...
  16. Miss Zomboko

    TMA yatoa tahadhari ya mvua kubwa na upepo katika mikoa 6 kwa siku 5 mfululizo

    Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetangaza mvua kubwa katika mikoa sita bara na baadhi ya maeneo visiwa vya Unguja na Pemba zitakazodumu kwa siku tano kuanzia leo Jumamosi Desemba 28, 2019. Akitoa taarifa kwa umma, Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TMA, Wilberforce Kikwasi amesema...
  17. Miss Zomboko

    Mvua yaua watu 3 Mkoani Mara na kusababisha barabara kutopitika

    Serengeti. Mvua kubwa iliyonyesha mkoani Mara nchini Tanzania imesababisha maafa ikiwamo vifo vya watu watatu wakiwamo watoto wawili wa familia moja na uharibifu wa miundombinu. Pamoja na watoto hao, mwili wa dereva bodaboda aliyesombwa na maji wakati akivuka katika eneo la Issenye wilayani...
  18. J

    Barabara inayojengwa ya Mwenge - Morocco imefunikwa na maturubai kuzuia mvua namtafuta Mjapan kwa ufafanuzi wa kitaalamu

    Sehemu ya barabara ya Mwenge - Morocco inayoendelea kujengwa imefunikwa na maturubai kuizua isilowane na maji ya mvua. Ingekuwa ni mkandarasi mzalendo ndiye kafanya hivi ningeanza kupata mashaka juu ya ubora wa hii barabara lakini kwa sababu inajengwa na Wajapani ngoja nimtafute yule rafiki...
  19. J

    UPDATES: Mliowahi mjini tujuzeni Jangwani panapitika na mvua hii?

    Msaada kwenye tuta tafadhali. Hali ya barabara ikoje kwa wale mliobahatika kufika Mjini mapema? Nipo Madale naelekea Kariakoo. Mungu wa mbinguni awabariki sana.
Back
Top Bottom