mvua

  1. UPDATES: Madhara ya mvua iliyonyesha jijini Dar - Desemba 17, 2019

    Wasalaam Jamani leo mvua imeanza asubuhi sana na bado inanyesha kama yote wakati huu. Tunaokuja na mwendokasi mjini panapitika Jangwani au ndio imetoka tukutane kesho? ====== TAARIFA YA MAMLAKA YA HALI YA HEWA (TMA) Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inatoa taarifa ya mrejeo kuhusu...
  2. Kijana wa Dar tumia hii mvua ya leo kuwa fursa kwa kuwavusha watu kwenye mifereji

    Sijaandika huu uzi kwa lengo la kumkebehi mtu, Dar kuna mifereji na mito mingi ambayo ikinyesha mvua kubwa kiasi tu inafunga mawasiliano kati ya watu wa huku na kule kwa dk kadhaa. Unajitega unavusha masharobaro kwa jero, buku mpaka mia mbili. Usiache kichwa. Jioni ukiingia mfukoni una 20...
  3. Mvua Afrika Mashariki: Vimbunga pacha kupiga Alhamisi, Ijumaa

    Vimbunga viwili vinatarajiwa kutua katika pwani ya Afrika Mashariki usiku wa leo Alhamisi na kesho Ijuamaa, mamlaka za hali ya hewa zinaripoti. Eneo la Puntland nchini Somalia ndilo linalotarajiwa kuathirika zaidi na tufani hiyo. Kwa mujibu wa wataalamu wa hali ya hewa, mgandamizo wa hali ya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…