Uchaguzi wa Marekani wa mwaka 2016 kati ya Hilary Cliton na Trump, Hilary alibwagwa.
Mwaka huu 2024 uchaguzi kati ya Trumph na Kamala Haris, Kamala kabwagwa.
Ni wazi kabisa kuwa wamarekani bado hawawaamini wanawake kwenye nafasi za uongozi wa juu, bado wamekumbatia mfume dume.