Habari Wana bodi ,Ikiwa Leo 8/3/2025 ni siku ya wanawake duniani kwa upekee kabisa mwaka huu naomba siku hii ni-dedicate kwa mwanamke wa nguvu Mkuu wa shule Chamazi Sekondari E.Chilewa .
Mama huyu ni mchapakazi na hodari katika kusimamia majukumu yake ipasavyo,kukuza vipaji vya uongozi,mfano...
1. Ikiwa anakupenda kweli, atafanya mambo kuwa rahisi kwako. Hakuna udhuru, hakuna michezo ya akili - utapatikana.
2. Tayari anajua ikiwa atalala na wewe au la. Acha kufikiria unaweza "kumshawishi"; yeye Aliamua zamani.
3. Anakujaribu bila wewe kujua. Kila mwanamke hutupa vipimo vya hila ili...
Wakati tunaelekea siku ya wanawake najua kuna ujinga mwingi sana utaenezwa kuhusu kuwawezesha wanawake na masuala ya usawa. Mwanaume mwenzangu tumi akili yako usiruhusu huo ujinga ukupumbaze.
Ukweli ni kwamba, hakuna 50/50 kwenye akili ya mwanamke, ni either uwe umemzidi kwa mbali akupe hadhi...
Tunashuhudia harakati na jithada za kumwezesha mwanamke duniani kote huku Tanzania ikiwemo. Sasa tunashuhudia athari chanya na hasi za kampeni ya kumwezesha mwanamke katika nyanja mbalimbali.
MAFANIKIO
1. Mwanamke anapata fursa na hamasa ya kupata elimu na ajira.
2. Mwanamke anamiliki uchumi...
Kuelekea siku ya Mwanamke Dunia itayoadhimisha Marchi 8 mwaka huu Mkoani Arusha, Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amezindua Msimu mpya wa Kampeni ya Mwanamke Fundi 2025.
Mpogolo amezimdua kampeni hiyo ambapo kwa mwaka huu wilaya yake pia itakwenda kuwa miongoni mwa Wilaya 4 ambazo...
Mwanamke umempokonya toka mikononi mwa mwanamke au wanaume wengi kwa chambo ya pesa na vitu then unamwoa.
Tulia tu ndugu hiyo ndoa hamtoboi.
Mwanamke umemkuta bar kaja kunywa pombe au soda ndugu kaja bar kufanya umalaya ila kwasasa ya akili yako finyu ukamwona anakunywa juice ukasema huyu ndio...
Kuna mwenye sura nzuri, kuna mwenye nywele nzuri,kuna mwenye wezele,kuna mwenye hips kubwa,kuna kibonge anatikisa minyama, kuna anayerusha chura,kuna mwenye minding, kuna portable, kuna kafupi nyundo, kuna mwenye Saudi tamu nk. Maana ya mwanamke mzuri leo imekuwa mtambuka.
"Kulea ni kazi ya mwanamke na kutunza ni kazi ya mwanaume. Ili mwanamke aweze kulea ni mwanaume anahusika kutoa matunzo.
Kujiunga na chama hichi ni kuanzia miaka 18 ambapo tunatengeneza wanaume ambao hawakimbii familia. Waliojiandikisha mpaka sasa ni wanaume 31,000"
- Claude Benedict Kimu...
Ndoa ziheshimiwe na ndio maana halisi ya ndoa.
Viungo viwili vya uzazi vinapokutana kitendo ni kimoja ila majina ya kile kitendo yanatofautiana kutokana na mukhtadha!
Ukiwa umeoana , mume na mke basi "wanafanya tendo la ndoa'.
Ukiwa una mke na mwezio ana mume ila mkakutanisha vioungo vyenu basi...
wana jamii ushauri wenu kwa ufupi..... baby mama wangu ameenda hospitali kubwa ya nchi... Kuangalia kwanini hashiki mimba.. Hapo nyuma alikuwa anatumia sindano za uzazi kuepusha kushika mimba.. Sasa daktari amemwambia inawezekana mayai yake yamekaushwa na hizo sindano ...Hivyo inabidi kufanya...
Mwanamke hata akienda sokoni na shilingi elfu moja kununua sindano ya kushonea nguo, atazunguka soko lote na kuuliza bei ya kila bidhaa.
"Hili dela ni bei gani?"
"Hivi viatu ni bei gani?"
"Hili gauni ni bei gani?"
"Hii skirt ni bei gani?"
"Hili sofa ni bei gani?"
"Hii TV na Subwoofer ni bei...
Anaitwa Soipan Tuya, ndiye Waziri wa Ulinzi wa Kenya.
Ni mwanasheria kitaaluma akiwa na miaka 46 aliteuliwa mwaka jana mwezi wa 8 na Rais William Ruto kuwa Waziri wa Ulinzi.
Kabla ya uteuzi huo, Soipan Tuya alikuwa Waziri wa Mazingira.
Mahari ni kama zawadi ya shukran kwa familia ya mwanamke juu ya malezi na ukuzaji.
Sasa kama una mwanaume unampenda 500k ni ndogo kuoelewa
Emu naombeni msaada
Tumieni sana busara
Mtu anaweza kukuharibia upako wa jumapili kwa request za ajabu. How come Mwanamke anaomba atumiwe video za utupu
Nianze kuinstall VPN niingie pornhub ni download X then nimtumie Mimi nimemwambia siwezi nimemtumia buku mbili aende library wamuwekee
Wanabodi,
Nawasalimu kwa jina la JF.
Angalizo la uchangiaji, hili ni moja ya mabandiko yangu ya kuwaanda Watanzani kisaikolojia kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu, nakushauri, ukiusoma uzi huu, ukijiona kama huuelewi elewi, jipitie zako tuu kwa amani, usiparamie kuchangia, ila kwa vile jf ni...
Wakati unafurahia mke wako kuacha familia yake kuja kuishi na wewe, Ulisahau kwamba ana uwezo wa kukuacha hata na wewe.
Ulileta hisia zako na mkeo akaleta hisia zake mkapendana na kuamua kuishi pamoja, ila ulisahau kwamba hisia huweza kuisha muda wowote ukaachwa mchana kweupe (in a day broad...
Binti
ni kama bidhaa sokoni inatakiwa umkague mwili wake wote kabla hujamuoa,
Kuna mtu humu jamii forums alikuja kulalamika , kuwa amemuoa mwanamke afu ndani anakutana na tattoo kubwa isiyofutuka mwilini mwake imeandikwa I 💕 love you John, afu ww ni James, je utaendelea na huyo mwanamke...
Nimekutana na hii ishu na tuko lala salama kufunga ndoa takatifu sas Leo nimebaini mwezangu ana chale kifuani, kwapani kiunoni
Nilitafakari sna kwa vile sijawai kukutana na huyu mwanamke mchna ina Usk tu ndio tunazangamuana sas wakuu hz chale zinanichanganya sna nais ni mshirikina au wazaz...
Mimi sijipakulii minyama ila huyo mwanamke atakuwa kapata bahati sana Mimi sio mlevi sana, naheshimu mawazo ya watu, sikasiriki ovyo najitambua mno, simyenyekei mtu kisa ana pesa Wala mamlaka
Naamini kwenye ukweli hata kama Tanzania nzima itasema uongo sintoungana nayo .
Mungu anipe pesa za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.