mwanaume

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Morning_star

    Mwanaume wa ukweli huvaa kwanza nguo halafu ndio anapaka mafuta kwa sehemu zinazoonekana!

    Uvaa nguo kwanza, alafu upaka mafuta sehemu za wazi za mwili wake baada ya kuvaa nguo. Sasa wale wanaojipakaga mafuta mwili mzima tuwaiteje?
  2. Mowwo

    Tendo la Ndoa lifanyike mara ngapi kwa wiki kwa wanandoa/wapenzi?

    Kulingana na utafiti uliochapishwa kwenye jarida la labia ya kujamiiana unaonesha, wanandoa wastani hufurahia tendo la ndoa mara 54 kwa mwaka. Huu ni utafiti, tuje kwenye uhalisia. Wengi tunapenda sana hili tendo. Japo msukumo wa kulifanya unatofautiana kati ya mtu na mtu. Wapenzi walioanza...
  3. Pang Fung Mi

    Tunayaona Mtaani: Mwanaume Bora kuzeeka ukiwa single kuliko kuteseka uzeeni kwa kuoa mafisi ama tumbili

    Fisi na tumbili hawana huruma nyakati za mavuno. Mwanaume ukiamua kukataa kuoa uwe na msimamo. Usije ukajichanganya uzeeni ama jua la jioni ukatepeta ukataka kuoa hawa wanawake, mabinti, ama wadada aina ya fisi na tumbili. Bora ya chawa kuliko Hawa viumbe wanafanya vituko vya maumivu bila...
  4. Tajiri wa kusini

    Mchumba wangu kaniambia "Mimi ni mzuri bwana nitaolewa na mwanaume wowote yule tena kwa mahari juu"

    Huyu mwanamke sasa anakoelekea nampiga chini kimya kimya na kumpotezea mazima japo nimetoa mahari kubwa aisee kwanza kwenye uchumba ndugu zake walikuwa waongo waongo sana just imagine mpaka leo sijawahi kuona call yoyote ile kutoka kwa mzazi wake wala ndugu yake yoyote yule je likitokea tatizo...
  5. Suley2019

    SI KWELI Video inayomuonesha mwanaume akichapwa Zanzibar ni ya Ramadhani ya mwaka huu 2024

    Salaam ndugu zangu, Nimekutana na video ya kusikitisha ikimuonesha raia anayesemekana kuwa ni raia wa Tanzania Bara akichapwa viboko na Raia wa Zanzibar kwa kosa la kula mchana wa Ramadhani. Je video hiyo ni ya mwaka huu?
  6. Mjanja M1

    Unaweza kuamini kuwa huyu ni Mwanaume?

    Huyu ni Mwanaume kutoka Nigeria ambae amejibadilisha na kuwa na muonekano wa kike. Jina lake ni Daniel Anthony Nskan.
  7. Mjanja M1

    Picha: Ndoto ya kila Mwanaume

  8. Ushimen

    Mwanaume akikuambia, kuna mchongo naskilizia muwe mnaelewa

    Saizi huyu ni Senegal president na yeye ni first Lady....😊
  9. O

    Naombeni ushauri wakuu, mke wangu amezaa na mwanaume mwingine

    kaka habari yako pole na majukumu,nakuomba uni postie hili Jambo linanisumbua Sana naomba nipate ushauri wa watu wengi moyo wangu upone lkn naomba unifichie jina langu.. Kaka sasa liko ihvi, mimi nimeoa mwaka 2014 mpaka sasa Niko na watoto wa3 watoto wangu nawashughulikia kama Baba vizuri...
  10. Natafuta Ajira

    Mifumo ya kidunia ilishaamua mwanaume aishi kwa kukandamizwa na kufanyiwa ulaghai/ udanganyifu

    Chukulia mfano suala la sex, ile ni starehe ya wote lakini dunia imekua brainwashed kwa kuaminishwa mwanaume anafanyiwa favor ambayo in return inatakiwa kulipia posho, hii posho ya sex wadada wa mjini siku hizi wanaiita matunzo. Mambo yapo ivyo karibu kila nyanja zinazohusu masuala ya kijinsia...
  11. Strong25

    Mwanaume usiendekeze majukumu

    Mawili matatu kwavijana wenzangu: Kwenye harakati za kutafuta pesa Kwenye harakati za kutafuta ugali wa watoto Kwenye harakati za kujikwamua kimaisha Kwenye harakati za kutimiza wajibu wako kama baba Bas nawaasa msisahau kujipongeza (nini namaanisha?) Ukiendekeza sana majukumu hautakaa ununue...
  12. mkushiOg

    Unaishi vipi na mwanaume asiyepokea ushauri wa mwenza/ watu wengine?

    Hellow JF Members, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba maoni ya wadau. Unakuta mwenza ni mgumu sanaa kupokea ushauri hata wa kawaida tu na pale mambo yanapomuendea kombo juu ya jambo ulilomshauri anakurudia na anataka mshiriki wote kutatua. Mfano anaweza fanya maamuzi ya kununua kitu...
  13. Robert Heriel Mtibeli

    Wanawake wanajua ni muda gani sahihi wa kumshinda Mwanaume

    WANAWAKE WANAJUA NI MUDA GANI SAHIHI WA KUMSHINDA MWANAUME. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Mwanamke yeyote anayejifanya mjuaji kikawaida huwa na akili ndogo. Ni wengi huishia kwenye kushindwa vita nyingi kwa sababu ya upeo mdogo. Kwa sisi Watibeli, tunajua moja ya mbinu za Watu Smart hasa...
  14. Rayvanny wa jamiiForums

    Karibu bongo ambayo mwanaume akimsaidia mkewe kwenye haki basi utasikia amerogwa huyo siyo akili zake

    Karibu bongo ambayo mwanaume akimsaidia mkewe kwenye haki basi utasikia ndugu na majirani wakisema amerogwa huyo siyo akili zake
  15. Swahili AI

    Tofauti ya kuchepuka iliyopo kati ya mwanaume na mwanamke

    Mwanaume akichepuka ni sawa na mtu kunawa mikono kwenye mabakuli tofauti tofauti. Mwanamkenakichepuka ni sawa na watu kunawa mikono kwenye bakuli moja. Umeiona tofauti hapo? https://www.instagram.com/reel/C4hmiefouBo/?igsh=MzRlODBiNWFlZA==
  16. Nyamesocho

    Amemchoma Mke wake wa zamani ili afukuzwe kazi. Je, kakosea?

    Jamaa anadai huyu Jenifer ( siyo jina halisi) alikuwa mke wake wa ndoa, walipofunga ndoa jamaa alifanya janja janja ili angalau na mke wake apate sehemu ya kupata kipato chake Akiwa ndo wana mtoto mmoja jamaa aliandaa mazingira fulani akapata cheti na kufanikisha mke wake kuingia chuo na baada...
  17. Mkalukungone mwamba

    Wadau hivi kati ya Mwanamke anayeomba pesa mara tu baada ya kukubali kuwa na mahusiano na mwanaume na mwanaume anayeomba sex mara tu baada ya kukubali

    Wadau hivi kati ya Mwanamke anayeomba pesa mara tu baada ya kukubali kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mwanaume na mwanaume anayeomba sex mara tu baada ya kuingia kwenye mahusiano na mwanamke yupi muongo au tapeli wa mapenzi kwa mwezie
  18. Tajiri Tanzanite

    INAWEZEKANAJE MWANAUME MWEUSI UNAKUWA NA WATOTO WEUPE?

    Hapo vip!! Kuja jambo moja huwa linanishangaza,eti unalikuta lijamaa jeusi,alafu anawatoto weupe.. na yeye anajisifia eti nimetoa rangi ya mtume..hiyo rangi umeitoa kutoka wap? Hivi mzungu anaweza kuwa na mzingu mwenzake akazaa watoto weusi..hapo itakuwaje. Nawashauri wanaume weusi jitahidini...
  19. Mjanja M1

    Mambo ambayo mwanaume wa thamani hatakiwi kuyafanya kamwe

    1. Gambling 2. Kula sausages 3. Kutumia sukari 4. Kunywa Energy 5. Kulewa pombe 6. Kupiga punyeto 7. Kununua malaya 8. Kuchangisha mahari 9. Kula bidhaa za ngano 10. Kula kuku wa kisasa 11 .Kuwa na mpenzi mlevi 12. Kufanya ngono zembe 13. Kula milo 3 kwa siku 14. Kuvaa nguo za...
  20. George Charles007

    Nani ni sababu ya migogoro kati ya mwanamke na mwanaume?

    Nani ni sababu ya migogoro kati ya mwanamke na mwanaume? Je, yawezekana kuishi katika mahusiano bila kupishana kabisa?
Back
Top Bottom