mzigo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. J

    Askofu Shoo: Waziri Mkuu tunaomba Serikali itupunguzie mzigo wa kodi kwenye shule na hospitali zetu, Tumeelemewa

    Askofu mkuu wa Kanisa la KKKT nchini Dr Shoo ameiomba serikali ya Rais Samia kuwapunguzia kodi katika shule na hospitali za taasisi za kidini kwani mxigo wa kodi ni mkubwa na umewaelemea. Askofu Shoo ametoa ombi hilo mbele ya waziri mkuu mh Majaliwa katika ibada ya kumuweka kitimi Askofu Mbali...
  2. B

    Wizara gani unadhani Waziri wake Ni Mzigo?

    Tunalojukumu lakumsaidia Rais kuboresha utendaji. Lakini pia tunalo jukumu lakubainisha Mawazi na Manaibu Waziri wasio faa ili kuwafanya wakaze buti au kumfanya anayeteua kumtambua nakumweka kando. Kwa kuanza natamani Waziri wa Sheria Kabudi abadilike nakufanya kazi kitaalamu kuliko...
  3. IZENGOB

    Msaada: Mwenye kuzifahamu gari ndogo za mizigo inayoweza kubeba mzigo wa tani 2 mpaka 3

    Wakuu habari za kazi nina shamba langu mahali baada ya mavuno, nina ndoto ya kununua gari ya mzigo isiyozidi tani 3 ambayo itaniingizia kipato kwa kubeba mazao ya wakulima na mazao yangu kupeleka sokoni. Gari za mizigo sizijui mwenye kuzifahamu naomba msaada anitajie, hata kuweka picha na sifa...
  4. Nyankurungu2020

    Kupiga mizinga kabla ya kutoa mzigo ni staili mpya ya business?

    Unatongozwa unakubali unatoa ahadi vizuri, siku ya kwenda kutoa mzigo ndio unaanza kupiga mizinga, hii ni tabia gani? Kwa nini usiseme mapema kama unauza papuchi mtu akakukatia chako alafu mkamalizana? Huu sio uungwana.
  5. kimsboy

    Je, ni kweli ukinunua bidhaa kupitia Kikuu online unaletewa mzigo mpaka mahali ulipo?

    Habari wakuu, Kwa wanaonunua kikuu jee ni kweli wanadeliver hadi ulipo? Vipi shipping yao inachukua siku ngap? Jee wakideliver had ulipo wanakuchaji?
Back
Top Bottom