mzigo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Baba jayaron

    Kifuani nina mzigo wa hasira na kisasi, mgoni wangu kuwa makini

    Mgoni wangu umenivunjia ndoa yangu halafu unanitukana eti nimuache mwanamke niliyemlipia mahari kumzalisha na kumpendezesha! Mzigo nilikuwa nao kifuani kukutoa roho siwezi maana sitoridhika Ila nataka nikutese huku nakuangalia ili iwe fundisho kwako na kwa washenzi wenzio waliozoea kugonga wake...
  2. M

    Vipi naweza kuagiza mzigo kupitia kampuni ya Alibaba mzigo ukafika salama?

    Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu nahitaji kuagiza machine ya incubator hivyo kuna duka wanahitaji kuniuzia hiyo machine lipo China kupitia alibaba ebu nipeni uzoefu mliowahi kuagiza MZIGO nje ya nchi kupitia alibaba
  3. B

    Elimu bure/elimu pasipo malipo inatekelezeka au ni mzigo kwa walimu ?

    Serikali ya Tanzania kupitia Dira ya maendeleo ya Taifa imelenga kuwa nchi ya uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025, miaka minne ijayo. Lengo hilo lilitazamiwa kufanikiwa kupitia sekta ya elimu na mafunzo ambapo ilitarajiwa kuleta maendeleo ya haraka kwa kutumia rasilimali watu iliyoelimika...
  4. J

    #COVID19 Askofu Gwajima amshukia Waziri Doroth Gwajima. Awataka Mawaziri wa Wizara ya Afya wajiuzulu

    Bwana Yesu aliye mponya na apewe sifa. Askofu Gwajima leo ataongoza ibada katika kanisa la ufufuo na uzima kabla hajaelekea bungeni Dodoma ambako kesho atahojiwa na kamati ya maadili ya bunge. Updates; Familia ya mzee Gwajima imemtaka waziri wa afya Dr Dorothy Gwajima ambaye ni mke wa mtoto...
  5. Prof Koboko

    Kwenye hili la Mbowe, vyombo vya Dola mmeitwisha zigo Serikali. Hivi hamjui nini?

    Bado tunalia sana na weledi wa vyombo vyetu vya Dola hasa jeshi la polisi na TIS. Tunajua kua lengo kuu la kumsumbua Freeman Mbowe si kesi ya Ugaidi wala uhujumu uchumi, lengo kuu ni kuzima Mjadala wa katiba Mpya. Kwenye hili weledi umekosekana na mmeitwisha serikali mzigo utakaoisumbua sana na...
  6. L

    Kupiga marufuku masomo ya ziada (tuition) ni sahihi ili kuwapunguzia mzigo wanafunzi na wazazi

    Masomo ya ziada ama tuition yamekuwa yakionekana kama kimbilio la wazazi na wanafunzi wengi, wakiamini kwamba njia hii inatoa fursa kubwa kwa mwanafunzi kufanya vizuri katika masomo yake na katika mitihani yake. Lakini kwa nchi nyingi za Afrika mara nyingi walimu wanaofundisha masomo ya ziada...
  7. World Logistics Company

    Epuka Corona: Agiza mzigo nchi yoyote, tutausafirisha

    Tupo kwenye nyakati ngumu sana. Corona imeathiri kila nyanja ya maisha yetu. Na kwa kuwa bado hatuna uhakika na mwenendo wake, ni vyema tukaendelea kujilinda na kuepuka maambukizi. Nasi kama wadau wa lojistiki na usafirishaji, tunaojali afya za wateja wetu, tumeamua kuchukua risk kwa niaba...
  8. N

    Bunge la Tanzania ni mzigo kwa nchi, ni hasara kwa nchi

    Naomba niseme haya ni maoni yangu binafsi, na ni mtizamo wangu binafsi, na ndivyo ilivyo. Bunge la Tanzania lililojaa utitiri wa wabunge hadi wabunge feki, ni mzigo kwa nchi ni hasara kwa nchi wala halina faida yoyote Utitiri wa wabunge wa majimbo, wabunge wa viti maalumu wabunge wa kuteuliwa...
  9. Abdoun

    Nahitaji malori mengi yanayorejea Tanzania kubeba mzigo mkubwa hapa Zambia

    Habari, Niko Zambia hapa na nahitaji malori kama 50 hivi yanayorejea Tanzania kutokea DRC au Zambia. Kuna mzigo wa kubeba kuleta Dar-es-Salaam. Mawasiliano please PM me your phone number. Ahsante.
  10. sky soldier

    NIDA ni mzigo tu matapeli wanajisajili vipi bila alama za vidole

    Yaani hii nchi vituko havujawahi kuisha, pamoja na serikali kutukamia haya mambo ya Nida lakini bado tunaambiwa tuwe tunahakikisba taarifa ya line tulizosajili, hii kwahiyo inamaanisha tapeli akiwa na namba yako ya nida anaweza kusajili line? Hii ishu hata siielewagi maana ninachojua ni kwamba...
  11. Abdistar

    Kutuma mzigo Canada

    Mambo vipi wadau Naomba ushauri kuhusu njia rahisi ya bei nafuu kutuma mzigo CANADA tofauti na POST OFFICE sababu wana bei kubwa sana Pamoja na EMS.
  12. W

    Tunauza vifaa mbalimbali vya magari

    Usiharibu gari yako kwa Spacer nitafute kwanamba +255742662669 kwa sport shock-ups zasaizi yauvungu unaouhitaji katika gari yako.Kwa spare nyingine za Magari pia karibu Dukani Mwananyamala Komakoma.
  13. TheDreamer Thebeliever

    Mwigulu ni genius, kwa bajeti hii ametutua mzigo wenye nyumba

    Habari wadau..! Huku mitaani wenye nyumba tumeipokea kwa furaha sana bajeti ya Mwigulu Lameck Nchemba. Kwa sasa tutakuwa hatusumbuki tena kwenda bank kulipa kodi maana kodi zitalipwa automatically na wapangaji kupitia manunuzi ya umeme kama wenye nyumba hauishi kwenye nyumba uliyopangisha au...
  14. Mwamuzi wa Tanzania

    Nimempelekea pesa ya kodi, kagoma kunipa mzigo. Nimerudi na pesa yangu

    Huyu binti ambaye niliwahi kuleta taarifa yake ya kuninyima mzigo licha ya kulala kwake siku 2. Wadau walitoa maoni yao nikawaelewa. Nikambana kwanini alifanya vile akasema ni woga tu( nahisi ni bikira). Nikaendelea naye chatting and so. Kaniomba nimwongezee pesa alipie chumba nikampa ahadi...
  15. Mshana Jr

    Hirizi ni mzigo mzito sana

    Unajiuliza nini dhima ya hirizi maungoni? Unakuja kugundua mvaaji kapewa ili IMLINDE! Imlinde na uchawi Imlinde na wanga Imlinde na chuma ulete Imkinge na mambo yote mabaya Impe mvuto Impe ngekewa nknk Unatafakari vile ilivyo.. Je ina uwezo wa kufanya yote haya? Ni kweli kabisa hirizi ni kubwa...
  16. R

    Gharama za kuwapeleka watoto JKT ni mzigo mkubwa kwa wazazi

    Nimetafakari gharama wanazoziingia wazazi kuwapeleka watoto ex form six JKT. Ni kubwa na mzigo usio na sababu ya msingi kwa wazazi masikini. Si chini ya laki mbili (200,000 Ths) kwa uchache. Hizi ni hela nyingi kwa mzazi wa vipato vya chini huko vijijini anaye-strugle kupata ada ya shule za...
  17. V

    Wabunge wa viti maalumu ni mzigo wa TAIFA

    Jamani niambieni ni nchi gani hapa duniani ina wabunge wa kuteuliwa na viti hapa duniani . Mimi nawaita mzigo wa walipa kodi tunataka katiba mpya ili tuwaengue kwenye nafasi zao
  18. Mwamuzi wa Tanzania

    Kanikaribisha kwake, nimelala naye mpaka asubuhi ila mzigo kagoma kunipa

    Kuna mdau mmoja alitoa hoja ya kunyimwa mzigo kwa mazingira yaliyofanana na yangu. Nilimjibu kwa dhihaka na ujeuri. Anisamehe bure popote alipo. Haka kabinti sijui ni bikra au ana tatizo gani, nikampanga Hadi kakubali nikalale ghetto kwake. Nilimvua mpaka Pichu kwa kutumia nguvu baadaye...
  19. luangalila

    Naweza kwenda Posta kuulizia mzigo wangu kutoka Aliexpress

    Wadau habarini za mchana. Nilinunua bidhaa kule Aliexpress tangu December mwaka jana, mpaka leo sijapokea ujumbe toka posta juu bidhaa yangu kufika Bongo, ila yule muuzaji anadai percel imeshafika DSM muda mrefu tu. Je inawezekana kwenda pale posta kuuliza endapo kama kuna kifurushi kimetumwa...
Back
Top Bottom