Also known as muzungu, mlungu, muzungu, musungu or musongo, mzungu (pronounced [m̩ˈzuŋɡu]) is a Bantu language term used in predominantly Swahili speaking nations to refer to Caucasian people. The noun Mzungu or its variants are used in Kenya, Tanzania, Malawi, Rwanda, Burundi, Uganda, Democratic Republic of the Congo, Comoros, Zimbabwe, Mayotte, Zambia and in Northern Madagascar (the word changed to "vozongo" in Malagasy, but the locals will still understand the word mzungu) dating back to the 18th century.
Binafsi naamini 'Uchawi' ni teknolojia usiyoijua. Teknolojia yeyote kama huielewi ni 'Uchawi'.
Fikiria enzi za Yesu uende na smartphone uanze kupiga watu picha au uanze kupiga video call , hapo hapo utadakwa na kuchomwa moto na Kanisa kwa shutuma za uchawi.
Ni kama wale waliosema Dunia haipo...
Kuna mzungu mmoja ni raia wa Italy Sina uhakika kama kweli katokea Italy . Huyu mzungu anaishi maeneo ya sanawari ya juu amefungua shule feki inaitwa New bridge pre-school .
(Zamani iliitwa SAMENA SCHOOL Tatizo ni kwamba huyu mzungu amefungua shule kwa jina la girl friend wake anayeitwa Victoria...
PETER COLMORE MZUNGU MSWAHILI WA KENYA NA TANGANYIKA
Nilipomaliza kuandika kitabu cha Abdul Sykes nikamwambia Bwana Ally tukae kitako anihadithie maisha yake tuandike kitabu.
Ally Sykes akaniambia kuwa yeye hana umuhimu nishaandika historia ya Bwana Abdul (kama mwenyewe alivyopenda kumwita...
Kuna huyu Mzungu yupo huko you tube huwa anafanya documentary kuhusu misosi na utamaduni ndani ya nchi mbalimbali duniani na channel yake Ina nguvu sana. Inaitwa best ever food review show, Sasa huyu mtu ana subscription za you tube mil8.4 zaidi ya diamond platnumz, huyu mtu ameitangaza nchi ya...
Binadamu hurudia makosa yake yake kila siku, wengi hawaelewi Capitalistic system, Capitalist atakutumia na kukumwaga, ila siku unaotumika kuwakandamiza na kuwadharau wakija juu, Jew hatopokea Simu yako na hatokujua.
San Suu Kyi wa Mynamar mpaka alipewa Nobel prize leo hii yuko Jela na Mzungu...
Wadau kwema embu naomba mliwahi ku date na wadada toka nje ya bara la Africa hasa wazungu karibu ku share ni kituko gani au kadhia unayokutana nayo au ulikutana nayo kwa mara ya kwanza.
Kuna jamaa mmoja alikuwa ana date na mzungu, basi siku mmoja akatutolea siri akidai wadada wa kizungu...
Leo nilikuwa natazama teknolojia zilizopotea za kale kama vile zege la waroma ambalo lilikuwa likizidi imarika zaidi kila muda unavyopita likiwa kwenye maji ya chumvi.
Basi katika hiyo video jamaa akaomgelea kuhusu steel ya wahaya.
Utengenezaji wa steel wa kisasa uligunduliwa mwaka 1847...
WENGI wetu hata humu jukwaani wanameza kirahisi sana taarifa za habari za uongo na elimu za uongo, espesheli, historia. Ili mradi zimeletwa na mzungu... afu Cha kusikitisha, ndo wanakuwa wabishi wakubwa. Historia za uongo wa mzungu tunazijua sana sana, ila sielewi kwa nini kila kukicha akatoa...
Huyo ni lecture;
Anasema sub saharan Africa ni row material producers hiyo ni role yake katika uchumi wa dunia.
Sub saharan countries ni muhimu kwa nchi zilizoendelea katika uchumi wake, Na hawataruhusu Sub saharan
ku-escape katika role yake kama row material producers.
Pia ameongelea kuwa...
Ubaguzi ni kitu kibaya pale ambapo jamii moja uamini ni bora kuliko jamii nyingine kama ilivyo kwa mzungu kuamini anastahili kuongoza kila kitu duniani kwani ngozi nyeusi ina laana"wana amini hivyo"
Akili hizo zipo pia kwenye jinsia mwanamme anaamini yeye ni bora anayestahili kutawala kila...
Msanii wa Injili na Hit Maker wa 'Utamu wa Yesu' Rose Muhando anasema anaomba apate mume mzungu mwenye pesa.
Rose Muhando ameshea hilo kwenye Instagram yake akiipa promo wimbo wake mpya huku akitaja ombi lake analotamani mwaka huu 2022.
"Yesu nitendee, ombi langu mwaka huu nataka nipate mume...
Habari za leo wanajamvi!
Nimeona nilete hili jambo kwenu labda nitapata msaada wa mawazo na ushauri wenu ili nielewenini nifanye.
Mimi ni binti wa mid 20's km unavyojua kila mtu hua na malengo yake katika maisha basi na ana machaguo yake katika maisha km ambavyo mtu anapendelea mwanamke...
Mwenzenu nimeanzisha magusioano na demu wa kizungu, kusema ukweli nainjoi sanaaaa, tena saaaana tu. Mfano Jana nimemgegeda, kinoma, yaaani anashukuru balaa, anasema hajawahi pitia mgegedo kama huu alioambulia kutoka kwangu. Asubuhi kaniandalia breakfast kali pamoja na juice na kisha akani drop...
Mzungu ni nani?
Kuna jamaa kanambia Mzungu ni mtu yoyote aliyezaliwa bara la Ulaya. Basi mimi nikamuuliza je Pogba ni mzungu kanibishia? Anadai Pigba ni mweusi hivyo hawezi kuwa Mzungu.
Nikamwambia jamaa amezaliwa Ulaya? Kwanini asiwe mzungu?
Basi tumebishana bila majibu, naombeni mnijuze...
FW de Klerk, rais wa zamani wa Afrika Kusini na mzungu wa mwisho kuiongoza nchi hiyo, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 85.
Bw de Klerk, ambaye pia alikuwa mhusika mkuu katika kipindi cha mpito cha taifa kuelekea demokrasia, alikuwa amepatikana na saratani mwaka huu, kulinagana na...
Sisi kanisa tumefundishwa kuwa sharia haiwezi kumkomba mwanadamu, na mafundisho yetu kupitia bwana Yesu Kristo huwa tunaenda mbali zaidi kwa imani kuwa Taurati/sharia haiwezi kuleta haki kwa jamii, haiwezi kuleta amani kwa jamii isipokuwa kwa jina la Yesu mnakaa chini na kuonyanyana kwa zabiri...
Poleni na Majukumu,
Serikali yetu kwa sasa inapitia katika kipindi kigumu cha tatizo la ajira rasmi kwa vijana na watu wazima pia. Pamoja na Yote Serikali imekuwa ikisisitiza vijana wajiajiri bila kuwawezesha ni kwa namna gani vijana waweze kujiajiri.
Jijini Arusha mzungu mmoja aitwae Michael...
ndugu zangu,
Kwanza nijitambulishe kwa kuthibitisha mimi ndiye mzungu wa asili ya Kimarekani. Jina langu ni Riley (kifupi 'Rai') au pia watu wa kabila Taita huniita Mwadime - uchague lile unalolipendelea kuniita.
Kabla ya janga la UVIKO 19 niliwahi kuishi Afrika Mashariki haswa Tz takriban...
Huu uzi nmebase kwenye gari zote ambazo ECU (Control box) ipo upande wa engine ambapo zaidi ya asilimia 90 ya gari za Ulaya na Marekani zinaingia hapo.
Ingawa zipo gari nyingi tu za Asia ambazo control box imefungwa upande wa engine mfano kuna nissan moja nimesahau tu model yake ila ina engine...
Hivi hawa watu walikuwa wana bandika mabango muda gani na matangazo yao?
Wataalam wa matangazo na masoko mnawazungumziaje hawa jamaa waliofanikisha kutandaza vipeperushi dar nzima?
Hawa watu wanafananaje? ni kampuni iliyopewa tenda
Kila unayemuuliza kuhusu haya mabango na watu walio bandika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.