Nimeshangaa mtu anajaza taarifa zote ili kupata AVN lakini anambiwa itachukua masaa mengi hadi zaidi ya 130 ili kupata majibu, hata control number ya kulipia nayo inachukua masaa yote hayo.
Kama vitu hivi ni system zinafanya kazi, nani ali-set masaa yote hayo?
Kindly be informed that your...