Habari wana Jamii forum
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 ninae patikana Chamwino dodoma, Nina uhitaji wa kazi yeyote au nafasi ya kazi kama legal officer
ELIMU
Nimehitimu shahada ya Sheria mwaka 2022
Nime maliza masomo ya shule ya sheria kwa vitendo Law school of Tanzania ambapo na...