Log in > Nenda my Application > Employer.
Kuna watu washaanza kupangiwa sehemu za interview....
Interview ya kwanza(kuandika) utafanyia ulipoombea...
Interview ya pili(Oral)utafanyia mkoa watakayokupangia wao..
Kama uliomba masomo mawili,
Utashangaa Written ya hesabu na phy utafanyia hapa Dar...
acheni
chadema
halimashauri
halmashauri
halmashauri ya mkuranga
hii
huwa
kazi
kuzika
maiti zisizotambulika
miili
mkoloni
mkuranga
nafasinafasiyakazi
taharuki
tangazo la ajira
wasiojulikana
watu wasiojulikana
Founded in 2006, One Acre Fund supplies 1 million smallholder farmers with the agricultural services they need to make their farms vastly more productive. Our 8,000+ team is drawn from diverse backgrounds and professions.
With operations across six core countries in Africa, we make farmers...
Habari wadau. Anatakiwa doctor wa mifugo mwenye uzoefu na mifugo. Vigezo ... Awe amesomea hiyo na ana documents zinazomuonyesha hivyo, awe Ni mkazi wa dar es salaam, na awe tayari kukaa site kwa muda wote wa kazi zake, Awe Ni msichana umri 19 mpaka 22, Kwa aliye tayari tuwasiliane chap.0712378559.
Habari za wakati huu wanajamii forum? Mi niko vyema kabisa!
Kwa mara nyingine tena, nakuja kwenu, lengo ni kutafuta fursa ya kazi yoyote halali.
Nina experience ya marketing and promo strategies kwa miezi kadhaa. Kuuza kwenye store za nguo, vyombo na vifaa vya electronic. Lakini pia ni...
Habari zenu,
Mimi ni kijana mwenye elimu ya Stashahada ya Uhasibu.
Ninatafuta nafasi ya kazi ya kujitolea au kuajiriwa ofisi yoyote ndani ya Tanzania.
Namba yangu: 0759285908
Wakuu, natumai wazima. Nimekuja kwenu kwa niaba ya mjomba wangu.
Mjomba wangu anahitaji kazi, nafasi ya welding.
Ana uzoefu wa kufanya kazi kawaida na viwandani zaidi ya miaka minne.
Ni kijana wa miaka 30 na ana uzoefu wa kufanya kazi Tanzania na Afrika Kusini katika kazi za kawaida na...
Urgent call: Wanahitajika walimu wawili mmoja wa somo la KEMIA NA BAIOLOJIA na mwingine HISTORIA NA JOGRAFIA.
NGAZI YA ELIMU: Awe na shahada ya Ualimu.
VIGEZO: Mwalimu mahili na mbobevu kwenye SoMo lake na mwenye uzoefu WA kutosha kufundisha KIDATO CHA KWANZA HADI CHA SITA.
MAHALI: MBEYA...
Nafasi ya Kazi: Muundaji wa Maudhui ya Video (Video content creator)
Tunatafuta mbunifu mwenye kipaji na ari ya kazi kujiunga na timu yetu.
Majukumu:
1. Kuunda na kuhariri video za masoko na mitandao ya kijamii.
2. Kubuni michoro ya matangazo na machapisho.
3. Kushirikiana na timu ya masoko...
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyoelezea hapo kama unahitaji, una ndugu, jamaa au rafiki anayehitaji kaz ya Kuuza Bar anicheki.
Majukumu yake ni Kuuza na kuhudumia wateja.
Umri 20"s
Uzuri ni sifa ya ziada. HAIZINGATIWI. ENEO LA KAZI NI MBEZI KWA Msuguri
Mhudumu atakuwa analala kwenye eno...
Kundi la Kijeshi la Wagner Group limetangaza nafai ya kazi huku likitoa maslahi makubwa kwa waajiriwa ikiwa ni mshahara mnono, nyumba, bonus kubwa ya uhakika, silaha ya kisasa ya kupigania, bima ya afya, malipo ya ulemavu kifo au majeruhi..
Ni maamdalizi ya kazi kubwa
‼️Join Orchestra‼️...
Position: Graphics Designer (2)
Location: Dar es Salaam, Tanzania
Organization: JamiiForums
About Us:
JamiiForums is a Non-Governmental Organization in Dar es Salaam, Tanzania, dedicated to promoting civil and digital rights, social justice, accountability, democracy, and good governance. One...
Position: Content Manager/Moderator (7)
Location: Dar es Salaam, Tanzania
Organization: JamiiForums
About Us:
JamiiForums is a Non-Governmental Organization in Dar es Salaam, Tanzania, dedicated to promoting civil and digital rights, social justice, accountability, democracy, and good...
Angalau awe amemaliza SEAP Programme in Road Construction.
Experience: At least 3 Years in Road Construction
Age: 18-30 yrs
Tuma CV na Barua ya Maombi kupitia email: pinnan32@gmail.com
Mwisho wa Maombi : 10 June 2024
Shortlist will be contacted ASAP
Position: Chief Finance Officer
Location: Head Office
JOB OBJECTIVE(S)
To oversee all activities relating to financial management and financial
reporting in the subsidiary.
ROLE AND RESPONSIBILITIES
• Implement financial policies, processes and internal control to increase organizational...
Wakuu nataka kuomba kazi ya drive Halmashauri ya Wilaya ya Mbozi Ila nashangaa mfumo unagoma.
Naomba tips namna ya kujaza kwenye kipengele cha "program name" na "Program category"
Bila shaka hivi vipengele ndivyo vinavyonikwamisha.
Aliyefanikiwa kuomba hii post naomba anichungulie hizo sehemu...
Habari za leo.
Natafuta binti smart, mchangamfu, asizidi 27 kwa ajili ya kuuza liquor store mitaa ya mbezi beach. Awe na nida pamoja na wadhamin wawili.
Nichek PM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.