nafasi ya kazi

  1. E

    Tangazo la nafasi ya kazi maabara

    Habari! Habari za mchana ndugu zangu, anahitajika mtaalamu was maabara ngazi ya Cheti jinsi Ke, Mshahara maelewano. Call: 0768396747 Ahsanteni.
  2. K

    Natafuta nafasi ya kazi Community Development

    Habari, Mimi ni msichana wa miaka 26, natafuta nafasi ya kazi ya maendeleo ya Jamii name elimu ngazi ya dilpoma au shirika lolote linalohusiana na maendeleo ya jamii. Ninauzoefu niliwahi kujitolea katika shirika la FARAJA TRUST FUND liliopo morogoro linahusika na maswala ya USAID BORESHA...
  3. Bonsipele69

    Natafuta nafasi ya kazi au kibarua

    Habari zenu Wanajukwaa Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza apo juu, Naitwa Eric natafuta kazi yeyote halali ya kuniingizia kipato. Elimu yangu ni Chuo kikuu bachelor degree in logistics and transport management. Ninafahamu humu jamii forum Kuna watu wengi na tofauti tofauti ambao wanaweza...
  4. R

    Nafasi ya kazi ya uokaji

    Nafasi ya kazi ya Baker mwenye uwezo wa kufundisha baking kwa wengine waweze kufanya baking.
  5. E

    Tangazo la nafasi ya kazi Mhasibu Msaidizi (1)

    SIFA 1. Awe mkazi wa Dar es Salaam, 2. Awe na stashahada ya fani ya uhasibu, 3. Awe na uzoefu wa kufanya kazi katika kampuni binafsi kwa angalau miaka 2, 4. Awe kijana wa kiume (Nafahii hii ni kwa kijana wa kiume pekee) Naomba tutumie CV yako kwa baruapepe; eitcbengineering@gmail.com kabla...
  6. Tembele

    JOB Vacancy Zanzibar / Nafasi ya Kazi Zanzibar

    MARKETING OFFICER JOB VACANCY – ZANZIBAR OFFICE ECOACT Tanzania Limited is an Award winning social enterprise established to address the challenges of post-consumer plastic waste, ocean plastic pollution, waste management, deforestation, and climate change, we recycle and transform ocean...
  7. Jamii Opportunities

    Nafasi ya kazi (Regional General Manager) TAZARA

    The Tanzania Zambia Railway Authority (TAZARA) is a bi-national railway company owned jointly by the Governments of the United Republic of Tanzania and the Republic of Zambia. The railway stretches from the port of Dar es Salaam in Tanzania to New Kapiri-Mposhi in Zambia, covering a distance of...
  8. neggirl

    Nafasi ya Kazi -Kuuza Duka (Location: Madale)

    Anatafutwa Binti wa kuuza duka (tarehe ya Mwisho 12/04/2024) 🔹 Awe amemaliza kidato cha 4 au zaidi. 🔸ANAEJUA HESABU. 🔹Umri miaka 25 au zaidi. 🔸AWE ANAISHI MADALE, WAZO, KULANGWA, TEGETA au maeneo mengine jirani. Njoo DM kwa maelezo zaidi na mawasiliano. MWENYE UZOEFU ATAPEWA KIPAUMBELE
  9. W

    Nafasi ya kazi ya fumigation personnel

    EFT CLEANING AGENCY LIMITED inatangaza nafasi ya kazi ya Fumigation Personnel Sofa . 1. awe na Umri usiopingua miaka 21 2. Awe na utayari kufanya kazi pale atakapopangwa 3. Awe amesomea fani husika na aw na vyeti vyote muhimu vya usajili 4.Awe tayari kufanya kazi ndani ya wiki mbili toka angazo...
  10. FirstbornTz

    Naomba mnisaidie kupata Nafasi ya Kazi kwenye Ofisi yoyote, NGO au Microfinance

    Asante sana. Nilishafanikiwa kupitia jamii forum kupata nafasi
  11. Jamii Opportunities

    Project Officer Intern at Tanzania Startup Association (TSA) October, 2023

    Position: Project Officer Intern Location: Dar es Salaam, Tanzania Duration: November 2023 to April 2024 Stipend: 500,000.00 TZS per month Reporting to: Senior Manager for Programs and Operations About the Organization: The Tanzania Startup Association (TSA) is a non-profit, membership-based...
  12. Nelson Matty

    Nafasi ya kazi Tanga-Pasadit OVC-kizazi hodari -hho position

    EMPLOYMENT OPPORTUNITY – PASADIT TANGA PASADIT is a non-governmental organization operating under the Catholic Diocese of Tanga. PASADIT strives to ensure that the Most Vulnerable and Marginalized groups have dignity and secure life through social accountability, capacity building, service...
  13. P

    Natafuta Afisa Mauzo

    MAPADA SOAP is an industry that deals with the production of soap. The industry is located in Ilala District, Dar es Salaam, Tanzania. The industry is situated at the foot of Banana Bus Stop, 6.8 km from Kitunda. Plot.Mzg 19. Phone: +255765180704, +255627753135, Email: mazingirapacha@gmail.com...
  14. D

    Natafuta kijana wa kuuza duka la dawa za binadamu

    Hello guys. Natafuta kijana wa kuuza duka la dawa za binadamu awe na zifa hizi: 1. Mwenye cheti cha Ado na umiliki wa duka la dawa. 2. Awe tayari kufanya kazi kwa bidii. Eneo ni Dar es salaam- Kigamboni- Kisarawe 2. NB: Kuhusu mshahara tutaelewana akijitokeza. Asanteni.
  15. A

    Nafasi ya kazi: Natafuta mtu mwenye maarifa ya uokaji (Bakery)

    Hello. Natafuta mtu mwenye maarifa ya uokaji (Bakery). Mjuzi katika utengenezaji wa mikate,cakes na maandazi. Mwenye kujua kutumia vifaa vya uokaji eg. Mixer, ovens etc. Yoyote mwenye interest na baking anaweza ku apply. Ofisi zipo mwanza mjini. Karibuni.
  16. Mwamuzi wa Tanzania

    Usimuunganishie ndugu, rafiki au mtu wa karibu nafasi ya kazi ofisini kwako

    Hii ni nature na hakika, Usijaribu kujionyesha kuwa u mwema au u mtoto wa mjini kwa kumuunganishia mtu wa karibu nafasi ya kazi kazini kwako. Mtavurugana mpaka mchanganyikiwe. Hii nimeiona kazini kwa watu kadhaa nami yalitaka yanitokee sema nikapanchi. Mtafutie kazi ndugu au rafiki katika...
  17. R

    Nafasi ya kazi medical laboratory assistant

    Anahitajika mtaalamu aliyesomea medical laboratory assistant/technician. Kwa mawasiliano zaidi piga 0745225561
  18. Mjomba Nchumari

    Nafasi ya kazi: Nurse/Medical Assistant

    Hello kwema? Natafuta Nurse/Medical Assistant awe amekamilika vyeti vya taaluma husika. Eneo la kazi ni Mbezi mwisho barabara ya kuelekea Kinyerezi Dar es Salaam. Awe tayari kufanya kazi shift za usiku, akiwa maeneo karibu na hayo itapendeza. Akiwa tayari hata leo aje aanze kazi, mshahara...
  19. D

    Natafuta kijana wa kufanya kazi za welding

    Habari, Natafuta kijana wa kufanya kazi za welding. Kituo kipo tayari kuanza kazi.. Kijana mwenye ujuzi huo au alietoka veta anifuate dm kwa mazungumzo zaidi. Kituo kipo Dar es salaam. Karibuni kwa yeyote mwenye uhitaji wa kazi. Asanteni.
  20. M

    Nina uhitaji sana wa nafasi ya kazi, nina uzoefu wa kazi katika Microfinances na NGO's

    Habari za leo wakuu. Lengo la kuandika uzi huu ni kuomba nafasi ya kazi. Nina uzoefu wa kazi katika Microfinances kama loan officer, Data clerk, pia katika NGO's kama social worker. Pia nina uwezo wa kufanya kazi hata kwenye field nyingine. Naomba mnisaidie connection katika kampuni au NGO's...
Back
Top Bottom