Abraar Bricks Nyumba kwa wote.
Katika kiwanda chetu cha uzalishaji vifaa vya ujenzi wa kisasa kwa kutumia saruji (precast) tunatafuta msimamizi "manager" wa kiwanda.
Kiwanda kina uwezo wa kuwa na wafanyakazi wa uzalishaji 21 na wasio wazalishaji 3 kwa shift moja. Tunataraji kifikie uwezo wa...
Natafuta kijana aliye tayari kufanya kazi ya ufundi , Elimu kuanzia kidato cha nne, tutamfundisha namna ya kufanya kazi vizuri, awe mkazi wa Dar maeneo ya karibu na Kinondoni Studio, umri kuanzia miaka 18-24.
Awe mchapakazi , anayejituma, anayependa kujifunza, uelewa wa haraka , mwaminifu na...
Tunahitaji walimu wa hesabu kuanzia form 1 hadi 6.
Kazi inafanyika online na utapewa test kabla ya kuanza.
Kwa mwenye uhitaji tuma email: rubysinc2012@gmail.com
We are looking for a competitive and trustworthy Sales personals to help us build up our business activities.
Sales responsibilities include discovering and pursuing new sales prospects, negotiating deals and maintaining customer satisfaction.
Responsibility Include;
Conducting market...
Habari zenu wakuu,
Natafta kijana ambaye anauwezo wa kufanya kazi ya barbershop aliyepo Mbeya mjini kwajili ya kazi ya kunyoa.
Natanguliza shukrani
Mawasiliano 0655087675
Assalam aleyqum Ndugu mwana jamvi!
ningependa moja moja niende kwenye mada tajwa hapo juu, anatakiwa mtu wa phamarcy kwa ngazi ya certificate eneo la kazi dar es salam..kwa maelezo zaidi na majadiliano karibu PM
Mimi ni mdada nina umri wa miaka 21
Nmemaliza chuo Cha Excellence college of health and allied sciences mwaka huu
Diploma in pharmaceutical
Nlkuwa natafuta kazi ya pharmaceuticals dispenser Dar es salaam
Mwenye connection naomba ani pm
CONTACT
+255 713 438 532
Kama umesomea fani ya maabara, una vyeti stahiki, umesajiliwa na baraza na una cheti cha usajili, ni muaminifu na mchapa kazi, unahitaji kazi na uko dar nicheki PM haraka nikupe connection.
Asante.
Company Driver - Dar Es Salaam, Tanzania
MUST BE ABLE TO START THIS WEEK. MUST HAVE EXPERIENCE AT A REPUTABLE COMPANY
Purpose of the position: To ensure all company vehicles are taken good care, cleaned and driven according to company policy. We be supposed to deliver all company mails to...
Jamii Forums is a Tanzanian Non-Governmental Organization that advocates for and promotes Civil and Digital Rights, Social Justice, Accountability, Democracy and Good Governance.
Jamii Forums operates JamiiForums.com, Tanzania’s famous digital content platform with its Social Media pages, well...
NAFASI YA KAZI YA HOUSEGIRL
Anahitajika mfanyakazi wa ndani (mwanamke) House Girl mwenye vigezo vifuatavyo:
1) Mtu mzima wa umri miaka kuanzia 30 mpaka 36
2) Awe na ujuzi wa kazi zote za ndani ikiwa ni pamoja na usafi na kupika
3) Ajue kuongea English na uzoefu wa kufanya kazi na wageni (...
Wahi chap nikuunganishe upate hii kazi.
night shift kwenye lodge
Taarifa muhimu nimeweka juu
ukiona mshahara sio size yako acha povu.
Mlinzi mlinzi mlinzi
VACANCY ANNOUNCEMENT:
BACKGROUND INFORMATION:
KOMU College of Technology and Management (KCTM) is one of the ICT reputable College in Tanzania offering ICT professional and academic programs. The college is located in Mbeya city. The Principal is pleased to announce two vacancies for ICT...
Habari wapendwa, poleni kwa majukumu mbalimbali ya kujenga Taifa.
Mwenzenu ninatafuta nafasi ya kazi katika taasisi mbalimbali kama za afya, mifugo, kilimo au tafiti.
Nina shahada ya Biotechnology and laboratory science.
Ninauzoefu wa miaka minne katika molecular biology and microbiology...
Natafuta mwanamke anaeweza kutumia kompyuta kwa ajili ya kufanya kazi ya kuingiza nyimbo kwa wateja,Mwanamke wa umri wowote anaeweza kutumia kompyuta.
najua si rahisi au yawezekana haujawahi kabisa kufanya hiyo kazi ila usijali utafundishwa na mwanamke mwenzako anaefanya kazi hiyo hiyo,kama...
Sales and Marketing (3 positions)
Dar Es Salaam
Morogoro
Mbeya
Three People with At least Diploma who can do Sales and Marketing.
The Candidate should be fluent in English and Swahili.
Should have high convincing skills.
Should be Innovative and creative in Sales, Marketing and Self-Management...
Kuna ofisi inahitaji Secretary
Elimu kuanzia diploma.
Miaka kati ya 22 - 34
Awe na uelewa mzuri wa lugha ya Kiswahili na Kingereza ( kusoma, kuandika na kuongea )
uwezo mzuri wa kutumia computer (microsoft office )
Eneo la kazi ni Dar es Salaam.
Tuma maombi ambatanisha na CV tu.
Mwisho wa...
Position: Business Development Manager
Reporting to: General Manager dotted line to Chief Commercial Officer
Responsibilities:
Oversee entire sales of GSM Home Products countrywide channeled to Key Accounts
Understand requirements and champion bidding process to win tenders from...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.