Naitwa Mwl. Samwel Raymond Mfaume, Nilihitimu katika chuo kikuu kishiriki cha elimu Mkwawa na kutunukiwa Shahada ya kwanza ya ualimu ya Chuo kikuu cha Dar es Salaam mwaka 2019 kwa masomo ya Jografia na Kiswahili.
Kwasasa naishi Dar es Salaam, natafuta shule iliyopo mkoa wowote yenye uhitaji wa...
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI.
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Busega amepokea kibali cha ajira mbadala cha tarehe 01 Februari, 2021 chenye Kumb. Na. FA.l701533/01,,B"l 34 kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.
Kutokana na hali...
Wepostnow tuunatafuta waandishi wa kujitegemea kujiunga na timu yateu.Utaweza kupata hadi kiasi cha shilingi 460,000 kila mwezi (200$).
Wepostnow inakupa nafasi ya kuandika kwa lugha ya Kiswahili au kiingereza.
Pia mfumo wetu unakupa nafasi ya kufanya kazi muda wowote ule kupitia simu yako ya...
Habari?
Nahitaji vijana wawili (wakike na kiume) kwa ajili ya kunifanyia kazi ya kutuma email kwa baadhi ya wateja wangu (email marketing) kulingana na orodha ntakayowapa.
- Kwa siku wanatakiwa kutuma email 100
- Kazi ni ya siku 30 na malipo yake ni TSH 200,000
- Watahitajika...
INTERNSHIP OPPORTUNITY
Position: Assistant Marketing Officer
ECOACT Tanzania, is a social enterprise based in Tegeta DSM, Our core business is transforming plastic garbage to manufacture plastic timbers used for building, construction as well as furniture making.
Requirements:
a) Diploma/...
Wanahitajika wadada wawili wenye ujuzi wa kusuka mitindo yote ukiwemo mtindo wa "YEBO" saloon ipo Mwanza -Nyamanoro, mshahara ni mzuri, unapewa, nauli, na pesa ya chakula tofauti na mshahara.
Kwa wahitaji ni-PM.
Karibuni Sana.
Hello,
Anahitajika binti, mdada au mwanamke wa kufanya kazi kama mhudumu na msaidizi wa mama ntilie
Ajue kupika vyakula mbalimbali
Ajue kuhudumia wateja na awe na lugha nzuri kwa wateja.
Eneo la kazi ni Tabata reli Karibu na Chuo cha ualimu Saint mary.
karibu pm
Naitwa Mwl. Paulo Yamola Masanja
Ni mhitimu wa shahada ya Ualimu wa sayansi katika masomo ya Physics na Chemistry.
Lengo kuu ni kuomba nafasi ya kazi ya kufundisha kama Mwalimu katika sekondari yenye uhitaji.
Kwa maswali na ufafanuzi zaidi, napatikana kupitia 0767582599
Email...
Salaam Wakuu,
Nahitaji Welder mwenye ujuzi wa kutumia Mig na Tig Welding Machines.
Mig Welding Machine
Tig Welding Machine
- Malipo ya kazi hii yanategemea makubaliano kati yako (fundi) na Muajiri (Mmiliki wa mashine tajwa hapo juu). Kigezo cha msingi ni uzoefu na uwezo wa kufanya kazi...
POSTCIVIL ARTISAN II - 33 POST
POST CATEGORY(S)HR & ADMINISTRATION
EMPLOYERTANZANIA RAILWAYS CORPORATION (TRC)
APPLICATION TIMELINE:2020-09-02 2020-09-16
JOB SUMMARYN/A
DUTIES AND RESPONSIBILITIESi.Packing of the railway track as directed by the supervisor;
ii.To clear grass and bushes...
POSTARTISAN - MECHANICS - 7 POST
POST CATEGORY(S)ENGINEERING AND CONSTRUCTION
EMPLOYERTANZANIA ELECTRIC SUPPLY COMPANY LIMITED (TANESCO)
APPLICATION TIMELINE:2020-09-01 2020-09-14
JOB SUMMARYNA
DUTIES AND RESPONSIBILITIES
i.Servicing and repairing power generation machines under the...
Required Qualifications, Skills and Experience
Qualifications and skills
High Diploma or Equivalent in Drilling or related technical field (like Geology).
Demonstrated practical experience in Direct and Reverse Drilling technologies
Hands-on contract and day-to-day management of drilling...
Job Position : Declaration Clark in a Clearing and Forwarding Company
Location : City Center, Daresaalaam
Qualification : Form IV Certificate and Clearing and Forwarding Certificate
Gender : Female
send CV to email : careers@dnh.co.tz
Natafuta walimu kwa ajili ya kuwafundisha wanafunzi masomo ya ziada katika kituo (Kinondoni Manyanya) au kwa kuwafuata nyumbani (maeneo mbalimbali Dar es salaam).
Vigezo kwa muombaji:
- Awe amesomea diploma, cheti, au degree ya ualimu kwa masomo yoyote. (Mwalimu Amudu vizuri lugha ya...
Affluence Training Ltd inatangaza nafasi 1 ya kazi ya Office Messenger- Dar Es Salaam kwa mkataba wa muda maalum. SIFA: Awe kijana wa Kiume, anayefahamu baadhi ya Mitaa ya Jiji la Dar Es Salaam, Awe anajua Kusoma na Kuandika tu, awe ana uwezo wa kujieleza kwa ufasaha, awe tayari kufanya kazi za...
JOB TITLE: MARKETING OFFICER II - 1 POST
JOB CATEGORY(S): MARKETING,MEDIA AND BRAND
EMPLOYER: Open University of Tanzania - OUT
APPLICATION DEADLINE: February 24, 2020
VIEW & APPLY
UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
PRESIDENT’S OFFICE
PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT
Ref.No.EA.7/96/01/K/154
11th February 2020
VACANCIES ANNOUNCEMENT
On behalf of The Open University of Tanzania (OUT), The Eastern Africa Statistical Training Centre (EASTC) and The Office of the Solicitor...
TPB Bank PLC is a Bank that provides competitive financial services to our customers and creates value for our stakeholders through innovative products.
TPB Bank PLC is a Bank, whose vision is “to be the leading bank in Tanzania in the provision of affordable, accessible and convenient...
Job no: 492662
Work type: Regular Full-Time
Location: Tanzania - Dar es Salam
Categories: Technical/Clinical/Quality Improvement/Training
ICAP at Columbia University, a global health leader situated within the Columbia University Mailman School of Public Health in New York City, seeks highly...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.