nafasi za ajira

  1. L

    Natafuta kazi, nina Bachelor ya HR 2014 na Masters ya HR 2022

    Wakuu naombeni mwenye link yoyote ya kunisaidia kupata kazi anisaidie. Nina bachelor ya Hr 2014 na masters ya hr 2022, nimekomaa kusaka ajira mara kadhaa bila kufanikiwa, nilipomaliza chuo nilipiga JKT miaka 3 Magu akatumwaga mtaani bila ajira, nikakimbizana huku na huko nikaangukia kwenye...
  2. both teams to score-YES

    Msaada wa kupata kibarua cha halali

    Habari wakuu,natumai nyote wazima.Nisiwachoshe niende katika mada. Wakuu Mwenye connection zozote za kibarua au kazi ninaomba wakuu. Nina hali mbaya sana.ninaishi na mama wakuu kheri nipate chochote kupitia kibarua ili mama ale hata mie nikikosa haina Shida. Niko Mburahati, Dar es salaam...
  3. Jerry001

    Usaili kada ya Afya 2024: Matokeo ya usaili ya kuandika (written) Tabibu daraja la pili (Clinical officer II) yametoka

    Ingia kwenye tovuti ya ajira utumishi kuona matokeo yako: Public Service Recruitment Secretariat | PSRS . Pia unaweza kupakuwa pdf attachment no.1 hapo chini kuona matokeo. UPDATES: Matokeo ya AFISA MUUGUZI MSAIDIZI DARAJA LA II (ASSISTANT NURSING OFFICER II) yametoka, unaweza kupakua pdf no...
  4. Jamii Opportunities

    Secondary School Principal at International School of Tanganyika

    Job type: Full-time Job Title: Secondary School Principal Location: International School of Tanganyika, Dar es Salaam, Tanzania Effective Date: August 2025 School Overview: Student Enrollment: 446 students (Grades 6-12) Programs Offered: MYP, DP, HS Pathways & Life Centered Education...
  5. Jamii Opportunities

    Tender – Supply Of Construction Materials For Primary School Classrooms at Plan International

    Invitation to Tender (ITT) Tender Ref. No. PIT/RUK/01/FY25 Supply Of Construction Materials For Primary School Classrooms, Nkasi District Council, Rukwa Region. Plan International is an independent development and humanitarian organization that advances children’s rights and equality for...
  6. Jamii Opportunities

    Request for Proposals – Consultancy services at Plan International

    Request for Proposals Consultancy services: Gender equality and inclusion. Analysis of district plan and budget RFP No. PIT / VUM/02/FY25 Plan International Tanzania is an International humanitarian child-centered development organization without religious, political or government...
  7. Jamii Opportunities

    VAS Software Integration Engineer at Vodacom

    VAS Software Integration Engineer Posting Country: Tanzania, United Republic of Date Posted: 30 Aug 2024 Full Time / Part Time: Full Time Contract Type: Permanent At Vodacom, we’re working hard to build a better future. A more connected, inclusive and sustainable world. As a dynamic global...
  8. Jamii Opportunities

    System Admin: Contact & Digital Channels at Vodacom

    System Admin: Contact & Digital Channels Posting Country: Tanzania, United Republic of Date Posted: 30 Aug 2024 Full Time / Part Time: Full Time Contract Type: Permanent At Vodacom, we’re working hard to build a better future. A more connected, inclusive and sustainable world. As a dynamic...
  9. M

    Mtu mwaminifu, mbunifu, na mwenye bidii anatafuta nafasi ya kazi

    Habari za majukumu wakuu? Natumaini mko salama. Ningeomba msaada wenu wa hali na mali katika kunisaidia kupata nafasi yoyote ya kazi. Nina imani kuwa kwa msaada wako, nitapata nafasi itakayoniwezesha kutumia uwezo wangu na kuchangia kwa mafanikio ya mtu binafsi, shirika au kampuni yoyote. Mimi...
  10. E

    Matumizi ya Affidavit au Deed Poll katika kuomba Ajira Je, hii inaweza kuwa kama udhaifu wa kufanikiwa?

    Wadau hivi katika suala la kuomba ajira mpaka kwenye interview,je ukiwa unatumia AFFIDAVIT AU DEEDPOLL kutokana na changamoto ya majina. Je, hii inaweza kuwa kama udhaifu kwako wa uwezekano wa kufanikiwa?
  11. Pantomath

    Mlioomba Ajira Ualimu utumishi Angalieni status zenu

    Log in > Nenda my Application > Employer. Kuna watu washaanza kupangiwa sehemu za interview.... Interview ya kwanza(kuandika) utafanyia ulipoombea... Interview ya pili(Oral)utafanyia mkoa watakayokupangia wao.. Kama uliomba masomo mawili, Utashangaa Written ya hesabu na phy utafanyia hapa Dar...
  12. mkataumem

    Natafuta ajira ya Transporter /clearing and forwarding

    Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29,napatikana boda ya Tunduma, Elimu yangu kidato cha sita, natafuta ajira ya kuwa transporter au Agent ku clear mizigo boda ya Tunduma, nina uzoefu wa Exportation, importation na Transit Kwa miaka minne sasa.. Kazi itafanyika Kwa uaminifu. Naombeni ajira...
  13. M

    Hili suala la interview ya sekretarieti inanichanganya

    Interview ya mahojiano wamesema mhusika ataenda mkoa alioomba kazi kufanya interview, je kwa wale walioomba masomo mawili na kuwekwa mikoa tofauti anatakiwa kwenda pande zote mbili au atachagua mmoja, anayeelewa anisaidie tafadhali!
  14. H

    Natafuta kazi ninaweza kufanya kazi ya aina yoyote Ile iliyo ya halali

    Kwa majina naitwa Hamis Mahujaji Hamis, mwenye umri wa miaka 24, mwenye makazi ya mkoa wa Dar Es Salaam katika wilaya ya Kigamboni. Elimu yangu ni Ngazi ya cheti pia ni muhitimu muhitimu katika chuo kikuu Cha Dar Es Salaam Maritime Institute mwaka huu wa masomo wa mwaka 2024 katika level ya...
  15. G

    Kinyozi, mchomeleaji, bodaboda, mama ntilie,n.k. hulaza wastan elfu 10 kwa siku, mhitimu unaeogopa kuchekwa endelea kukaa nyumbani

    30 paaap !! "Nina vyeti nitapata ajira", "siwezi fanya kazi nje ya taaluma niliyosomea", n.k. ni jinamizi litalokulalia uchelewe kuanza life lako. Ajira hizo unazoziota zipo chache sana na connection zimerudi kwa kasi, awamu iliyopita ajira zilisimamiwa na idara ya utumishi angalau kulikuwa na...
  16. Jamii Opportunities

    MEL Specialist at Impact and Innovations Development Centre (IIDC) August 2024

    JOB DESCRIPTION MEL TECHNICAL SPECIALIST/ADVISOR Accountable to: IIDC Executive Director Directly Reporting to; Head of Programs Based in: TANZANIA Deadline: 16th September, 2024 About Impact and Innovations Development Centre Impact and Innovations Development Centre (IIDC) is a...
  17. Jamii Opportunities

    Direct Sales Agent – 85 Positions at Akiba Commercial Bank August, 2024

    Job Title: Direct Sales Executive Tenure: 6 months (Renewable subject to performance) Location: Dar es Salaam Mwanza Arusha Kilimanjaro Dodoma Mbeya Job Purpose: Drive retail sales objectives of the bank through day-to-day customer visits and selling bank products and services to new and...
  18. Jamii Opportunities

    Payable Accountant at UAP Insurance August, 2024

    Job Description To assist with undertakings of the accounting function of the company in a professional manner to ensure the company meets its financial obligations. Timely processing of invoices and payments as per agreed TATs and payment processing procedures. To ensure all applicable taxes...
  19. E

    Nimesoma utangazaji na Uandishi wa Habari, natafuta kazi

    Habari zenu watanzania wenzangu. Nimemaliza Chuo Kikuu katika kozi ya mawasiliano kwa umma hivyo natafuta kazi ya Uandishi na Utangazaji wa Habari, Afisa Uhusiano au call center Napatikana Dar es salaam, Wilaya ya Ubungo.Asanteni. Soma Pia: irect Sales Agent – 85 Positions at Akiba Commercial...
  20. Tommy 911

    Natafuta kazi taaluma yangu ni Bachelor of Science in Chemistry Nipo Tayari Kufanya Kazi Ndani au Nje ya Taaluma Yangu

    Habarini Wana JF nimehitimu mwaka huu Bachelor of Science in Chemistry lakini mpaka sas sijapata ata sehemu ya kujishikiza hata part time licha ya kuaapply internship sehemu mbalimbali. Natafuta kazi yoyote ata ya nje ya taaluma yangu. kingine nina mtaji wa laki tatu msaada kwa mwenye wazo...
Back
Top Bottom