nafasi za ajira

  1. Jamii Opportunities

    Underground Shift Supervisor at Geofields Tanzania Limited August, 2024

    Geofields Tanzania Limited (GTL), is a multidisciplinary strategic service provider company for the exploration and mining industry Founded in 2008. Geofields is Tanzania’s leading exploration and mining service company, with an integrated and comprehensive service portfolio of drilling...
  2. Jamii Opportunities

    Sales and Marketing Officer at Active Mama Products August, 2024

    We are seeking for a highly motivated and results-driven Sales and Marketing Officer to join our sales team. POSITION OVERVIEW As a Sales Representative, you will be responsible for identifying and pursuing new business opportunities, building and maintaining relationships with clients, and...
  3. Jamii Opportunities

    Senior Associates at Grant Thornton August, 2024

    Grant Thornton is one of the world’s leading organizations of independent assurance, tax and advisory firm. We are made up of over 56,000 people in over 140 countries. We are looking for a dynamic, enthusiastic and qualified Senior Associates for our Tanzanian office to be part of a team in our...
  4. wadzelino

    Anahitajika Mwalimu wa Kujitolea kufundisha Shule ya English Medium

    Anahitajika mwalimu wa kujitolea hasa wa kike, awe na uwezo wa kufundisha darasa I na II, hata chini ya hapo siyo mbaya. Awe mahiri wa lugha za Kiingereza na Kiswahili, hasa kuzungumza Kiingereza kwa ufasaha. Atajitolea miezi mitatu, then atapewa mkataba kamili, kipindi anajitolea atalipwa...
  5. C

    SoC04 Kujitegemea kwa nafasi za ajira zinazopatikana kutokea kwa watumishi waliostaafu na waliofariki

    KUJITEGEMEA KWA NAFASI ZA AJIRA ZINAZOPATIKANA KUTOKEA KWA WATUMISHI WALIOSTAAFUU NA WALIOFARIKI. Kupata kazi au ajira baada ya kumaliza masomo imekuwa ni ndoto ya kila msomi, lakini katika karne hii hasa miaka ya hivi karibuni ndoto hii imekuwa ikitimia kwa wachache miongoni mwa wengi. Hali...
  6. Chongeni

    Hivi ajira mpya za TRA mwaka huu zitatoka kweli?

    Hivi ajira mpya za TRA mwaka huu zitatoka kweli …!! maana mpaka sasa kuna baadhi ya waliopata fursa za kuajiriwa na TRA mwaka wa Jana (2023) bado hawajui ni ofisi ya wapi atapangiwa. Wenye siri nzito za ajira mpya ni lini zitatangazwa tudokezeni. Thank you
  7. Jamii Opportunities

    Tangazo la ajira kutoka Jeshi la Polisi Tanzania Aprili, 2024

    Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania anatangaza nafasi za ajira kwa vijana wenye elimu ya Shahada, Stashahada, Astashahada, Kidato cha sita na Kidato cha nne. 1. Sifa za Muombaji a) Awe raia wa Tanzania kwa kuzaliwa. b) Awe amehitimu kidato cha nne au sita kuanzia mwaka 2018 hadi 2023. c) Kwa...
  8. Jamii Opportunities

    Specialist: Server & Database Administrator at CRDB Bank February, 2024

    Position: Specialist; Server & Database Administrator Job reporting to: Senior Manager ICT Location: CRDB BANK Burundi S.A. No of positions: 1 Principal Responsibilities Perform daily database administration activities including configuration & monitoring, space management, capacity planning...
  9. Jamii Opportunities

    Finance and Administration Manager at HISP Tanzania February, 2024

    Job Title: Finance and Administration Manager Reporting Line: Managing Director Location: Dar es Salaam, Tanzania, Job Responsibilities/Specific Duties Accounting/Finance Providing leadership, direction and management of the finance and accounting team. Providing strategic recommendations to...
  10. Jamii Opportunities

    Individual Contractor – Messenger at IRMCT January, 2024

    Call for Interest: Individual Contractor – Messenger Office: General Services Section (GSS) Location: Arusha Job Opening Number: 2024/IRMCT/REG/GSS-A/002-IC This position is subject to local recruitment. Applicants for positions of individual Contractor must be authorized to work in the duty...
  11. minh

    Natafuta ajira ya uingizaji wa taarifa (data clerk) na ukusanyaji wa taarifa (data collection)

    Habari wanajamii, naombeni connection za upatikanaji wa ajira za data clerk, data collection na zingine zinaxohusiana na maswala ya data. Ninauzoefu wa matumizi ya komputer na elimu ya diploma ya project management. Asanteni
  12. Orketeemi

    Nafasi za ajira za mkataba kada ya afya mkoa wa Geita

    Tangazo linajieleza , mkataba wa mwaka mmoja. Changamkieni.
  13. S

    kuna nafasi za AJIRA hazipaswi kuteuliwa kabisa

    Mi nazidi kuishangaa nchi yetu hii aisee Yani mteue wakuu wa mikoa, wilaya, D.E.D na wengineo huko waliokaa kisiasa siasa mfike hadi kwa nafasi zilizosomewa kabisa ? Mwambieni Mheshimiwa Rais, hakukuwa na Haja ya kuteua kwa nafasi ya Mkurugenzi wa TASAC. Hii nafasi ilipaswq iachwe vijana...
  14. Z

    Kutangaza nafasi za ajira kwa watu "Wa ndani ya NSSF" ni Ubaguzi, Rais Samia ingilia kati, unachonganishwa na wananchi!

    Haiingii akilini NSSF wamepata wapi huu ujeuri wa kuamua kuwatenga na kuwabagua watanzania wengine wote ili kuajiri wateule wao tu waliopewa nafasi kinyemela ya mikataba na kwa gia ya "kujitolea". Lazima nyuma yake kuna vigogo vinasukuma hii agenda nyuma ya pazia! Haishangazi yalishaanza...
  15. Jamii Opportunities

    Supervisor Exploration at AngloGold Ashanti

    Position: Supervisor Exploration Contract type & Duration: Unspecified Time Contract Reporting to: Exploration Operations Coordinator Number of Positions: One (01) Location: Dodoma PURPOSE OF THE ROLE: Support the Exploration Manager Tanzania by providing a comprehensive support service for...
  16. Jamii Opportunities

    Assistant Finance Manager at BRAC

    Position: Assistant Finance Manager Location: Country Office Dar es Salaam Job Responsibilities 1. To supervise all Divisional Accounts Managers/Regional Accounts Manager Activities and ensure strong controls on cash, inventory, and other assets. 2. To provide necessary assistance and direction...
  17. benzemah

    TANAPA yatangaza nafasi za ajira

    Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) limetangaza nafasi za ajira 166 kwa nafasi mbalimbali. Kiambatanisho kipo chini kwa taarifa zaidi ==== THE UNITED REPUBLIC OFTANZANIA PRESIDENT’S OFFICE PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT Ref.No.JA.9/259/01/A/306...
  18. comte

    Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) yatangaza nafasi za ajira 524

    MAMLAKA ya Mapato nchini (TRA) imetangaza nafasi za ajira 524 ili kujaza nafasi mbalimbali ikiwa ni pamoja na nafasi 206 za maofisa wasimamizi wa kodi. Tangazo la TRA limeorodhesha idadi ya nafasi hizo na vigezo kwa waombaji na kwa ujumla waombaji wanapashwa kuwa tayari kufanya kazi popote pale...
  19. C

    Watu 8,476 kusaka nafasi 42 za ajira zilizotangazwa na Bunge

    Hii habari iko kwenye gazati la Nipashe, kama ni kweli hiyo hali anatupa taswira gani katika soko la ajira? Hi ni timing bomb, kuna haja ya vyuo kubadili mitaala ya kozi zisizokuwa na soko kwenye market yetu. ====== Tume ya Utumishi ya Bunge imetangaza ajira za kada mbalimbali ambapo walioitwa...
  20. benzemah

    NIDA yakanusha kutangaza nafasi za ajira, tuepuke matapeli

    Kufuatia uwepo wa taarifa za baadhi ya wananchi hususani kutoka Zanzibar kupigiwa simu na watu wasiowajua wakiwafahamisha kuwa wanatafutwa na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) ili waajiriwe na kuwataka wananchi wanaowapigia simu wawatumie tarifa zao na pesa ili kuwasaidia kupata ajira...
Back
Top Bottom