Job type: Full-time
ISTITUTO OIKOS
International cooperation NGO seeks
Project Manager
Istituto Oikos (www.istituto‐oikos.org) founded in Milan in 1996, operates in Europe and in developing countries to promote the responsible management of natural resources and to spread more sustainable...
Medical Teams International holds strict child and vulnerable adult safeguarding principles and a zero-tolerance policy for misconduct related to sexual harassment, exploitation and abuse in the workplace and other places where the organization’s activities are rendered. Parallel to technical...
The Catholic University of Health and Allied Sciences (CUHAS), owned by the Tanzania Episcopal Conference (TEC), provides training for over 3,500 students. CUHAS currently offers the following programs:
Doctor of Philosophy (PhD), Master of Medicine (MMed), Master of Public Health (MPH), Master...
The Catholic University of Health and Allied Sciences (CUHAS), owned by the Tanzania Episcopal Conference (TEC), provides training for over 3,500 students. CUHAS currently offers the following programs:
Doctor of Philosophy (PhD), Master of Medicine (MMed), Master of Public Health (MPH), Master...
Wakuu, ninakaribia kutimiza mwaka tangu nihamie sehemu hii ninayoishi sasa. Lakini hali niliyokutana nayo hapa inaniumiza sana, hasa kutokana na biashara ninayotaka kuanzisha. Biashara hii inahitaji niandae bidhaa, lakini sina ofisi na kwa mkoa huu ninapoishi, gharama za kuwa na ofisi ni kubwa...
Wale truck drivers wenye kauzoefu kiasi karibuni ofisini kwetu tuwaunganishe mkaendeshe trucks along europe, kampuni iko Lithuania mshahara ni kuanzia euro2300 plus bonus kutakuwa na training ya mwezi mmoja utalipwa kipindi chote cha training.
Vigezo
Leseni daraja CE
Police clearance
Mambo...
Habari wakuu naomba msaada kwa aliyewahi kuitwa Interview ya written au oral katika nafasi hizi:
1. Admission Officer II (NACTVET)
2. Editor II (TIE)
3. Quality Assurance Officer II (NACTVET)
Naomba msaada wa TIPS za interview kuhusu hizo nafasi.
Kwa hali ilivyo hasa katika sekta ya elimu, afya, ulinzi na TEHAMA kuna uhaba mkubwa sana wa mtumishi.
Kwa nchi za Afrika hauwezi kusema kuna ukosefu wa ajira, hapana, changamoto iliyopo ni serikali hazina pesa ya kutosha kuajiri, baadhi ya sekta hasa nilizoorodhesa hapo juu kuna uhitaji mkubwa...
Nimefanya kazi sehemu tofauti tofauti kwenye sekta binafsi (Kampuni).
Nimekutana na mengi kwenye makampuni. Kwa wanaitafuta ajira/ mliopo kazini kuwa makini na yafuatayo;
Kampuni nyingi zisizotoa mikataba ya kazi nyingi ni wadhurumaji.
Kuwa makini na kampuni changa hasa za waswahili. Utaishia...
Habari wakuu,
Nimesomea Science and Laboratory Technology(FTC) kutoka DIT na Nina uzoefu wa zaidi ya miaka kumi nikifanya kwenye kampuni na viwanda tofauti.
Mwenye connection tupeane wakuu.
Jamani ndugu zangu, wenye makampuni, viwanda au wenye ndugu, marafiki na wadau.
Naomba kazi hata ya kujitolea nipate angalau experience ya kazi.. Nipo tayari kujitolea jamani, maana nikienda directly kuomba kazi na kupereka Cv narudishwa punde tu nikifika mapokezi, naambiwa nafasi hazipo hapa...
Leo vijana wa medical laboratory walikuwa na written interview lakini maswali yao yote yalibase kwenye maabara za viwandani na mashuleni
Maana mtihani ulibase zaidi kwenye topic za density ile ya form two, volumetric analysis ya form three, wakatolewa vernial calliper ya form one, mambo za...
Ebwanaa eeh..Leo kwenye interview (DUCE) picha linaanza Hilo hall tuloingia limeshona balaah!
Yani hamna upenyo watu Kama wote almost kama 600..na hapo Kuna wengine wamezuliwa kuingia kwa kukosa vigezo..
Picha lenyewe Sasa....👇
Kwa upande WA lab technician Mtihani waliyotuletea ni WA maabara za...
Habari wakuu,natumai nyote wazima.Nisiwachoshe niende katika mada.
Wakuu Mwenye connection zozote za kibarua au kazi ninaomba wakuu.
Nina hali mbaya sana.ninaishi na mama wakuu kheri nipate chochote kupitia kibarua ili mama ale hata mie nikikosa haina Shida.
Niko Mburahati, Dar es salaam...
Habari zenu watanzania wenzangu. Nimemaliza Chuo Kikuu katika kozi ya mawasiliano kwa umma hivyo natafuta kazi ya Uandishi na Utangazaji wa Habari.
Pia Hata kwa kazi ya kujishikiza huku nasubiri cheti, nipo Dar es salaam wilaya ya Ilala, ukonga. Kazi ya dukani hata mashuleni nafanya.
Asanteni 🙏
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.