nafasi za kazi

  1. Jamii Opportunities

    Direct Sales Agent – 85 Positions at Akiba Commercial Bank August, 2024

    Job Title: Direct Sales Executive Tenure: 6 months (Renewable subject to performance) Location: Dar es Salaam Mwanza Arusha Kilimanjaro Dodoma Mbeya Job Purpose: Drive retail sales objectives of the bank through day-to-day customer visits and selling bank products and services to new and...
  2. Jamii Opportunities

    Payable Accountant at UAP Insurance August, 2024

    Job Description To assist with undertakings of the accounting function of the company in a professional manner to ensure the company meets its financial obligations. Timely processing of invoices and payments as per agreed TATs and payment processing procedures. To ensure all applicable taxes...
  3. E

    Nimesoma utangazaji na Uandishi wa Habari, natafuta kazi

    Habari zenu watanzania wenzangu. Nimemaliza Chuo Kikuu katika kozi ya mawasiliano kwa umma hivyo natafuta kazi ya Uandishi na Utangazaji wa Habari, Afisa Uhusiano au call center Napatikana Dar es salaam, Wilaya ya Ubungo.Asanteni. Soma Pia: irect Sales Agent – 85 Positions at Akiba Commercial...
  4. Tommy 911

    Natafuta kazi taaluma yangu ni Bachelor of Science in Chemistry Nipo Tayari Kufanya Kazi Ndani au Nje ya Taaluma Yangu

    Habarini Wana JF nimehitimu mwaka huu Bachelor of Science in Chemistry lakini mpaka sas sijapata ata sehemu ya kujishikiza hata part time licha ya kuaapply internship sehemu mbalimbali. Natafuta kazi yoyote ata ya nje ya taaluma yangu. kingine nina mtaji wa laki tatu msaada kwa mwenye wazo...
  5. S

    Natafuta Kazi ambayo hahitaji Elimu

    Ni matumaini yangu mu bekheri wa afya wakuu kwa wanaoumwa poleni sana na mtakuwa sawa tena. Mimi ni kijana wa miaka 26 -28 nipo Jijini Mwanza ahangaika ila katika mihangaiko yangu mambo yamekuwa magumu deals zimekata kbs hadi nachanganyikiwa pesa sina kodi ndio imefika na kama mjuavyo Mwanza...
  6. Jamii Opportunities

    Global Technical Lead: Eye Health (ECSA) at Sightsavers August, 2024

    Sightsavers is looking for an expert in Eye Health to provide technical leadership across all eye health programmes and strengthen the global programme portfolio. Salary: Local terms and conditions apply Location: Malawi – Lilongwe, Tanzania – Dar es Salaam or Zambia – Lusaka Contract: Two...
  7. Jamii Opportunities

    Internal Auditor (Mkaguzi Wa Ndani) at TURSACCOS LTD August, 2024

    Job Vacancy: Internal Auditor (Repeated Announcement) TURSACCOS LTD is pleased to announce to the general public that there is an opening for the position of Internal Auditor. Maombi ya Nafasi ya Mkaguzi wa Ndani TURIANI SAVING AND CREDIT COOPERATIVE SOCIETY PRI-MRG-MVM-DC-2023-3822 P.O.BOX...
  8. Jamii Opportunities

    Underground Shift Supervisor at Geofields Tanzania Limited August, 2024

    Geofields Tanzania Limited (GTL), is a multidisciplinary strategic service provider company for the exploration and mining industry Founded in 2008. Geofields is Tanzania’s leading exploration and mining service company, with an integrated and comprehensive service portfolio of drilling...
  9. Jamii Opportunities

    Request For Tender – Supply of Vacuum pump at Barrick August, 2024

    REQUEST FOR TENDER North Mara Gold Mine, a fully owned subsidiary of Twiga Minerals Corporation, which is ultimately owned by Barrick Gold Corporation and the Government of the United Republic of Tanzania requests the submission of Tenders from reputable, experienced, certified, and qualified...
  10. K

    Nafasi za kazi kwa walimu wa Part time Arusha

    Habari, Tunatafuta waalimu wa chuo wa part time katika nafasi hizi:- 1. Mwalimu wa French & Spanish 2. Mwalimu wa Hotel Management 3.Mwalimu wa Tour guiding Ni chuo kinachotoa kozi za utalii hapa Arusha hivyo tunapendekeza wale waliopo Arusha hasa mazingira ya Sakina. Unaweza kutuma Cv zako...
  11. Jamii Opportunities

    USAID Supervisory Development Assistance/Deputy Program Office Director at USAID August, 2024

    Solicitation No: 72062124R10009 Closing date and time for receipt of Offers: August 29, 2024 Point of Contact: Hussein Tuwa, e-mail at htuwa@usaid.gov Position Title: USAID Supervisory Development Assistance Specialist/Deputy Program Office Director Market Value: Tshs. 143,254,619 to Tshs...
  12. M

    Elimu yangu ni Bachelor Of Business AdminstrationNatafuta kazi

    Salama wana jukwaa, Mimi ni kijana wa Kitanzania mwenye mke na watoto wawili, nimekuja mbele yenu kuomba msaada wa kazi yoyote ile kujikimu mimi na familia yangu. Elimu yangu ni "Bachelor of Business Adminstration". Yoyote mwenye kazi au connection ya kazi yoyote halali na yenye kipato basi...
  13. wadzelino

    Anahitajika Mwalimu wa Kujitolea kufundisha Shule ya English Medium

    Anahitajika mwalimu wa kujitolea hasa wa kike, awe na uwezo wa kufundisha darasa I na II, hata chini ya hapo siyo mbaya. Awe mahiri wa lugha za Kiingereza na Kiswahili, hasa kuzungumza Kiingereza kwa ufasaha. Atajitolea miezi mitatu, then atapewa mkataba kamili, kipindi anajitolea atalipwa...
  14. B

    Natafuta kazi Wakuu

    Habari zenu Wakuu. Jamani kama amekosekana wa kunishika mkono kupata KAZI) Kibarua, Tafadhali nisaidieni majina na location ya viwanda ambavyo wanapokea vibarua. Nawaomba sana, Nikipata kazi ya kulipwa kiasi chochote kulingana na uwajibikaji wangu watakavyoona. Naishi Dar es salaam, Ni fresh...
  15. Mwl.RCT

    Serikali yatangaza nafasi za kazi 6,257 katika wizara, idara, wakala za Serikali, Mikoa na Serikali za Mitaa

    Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma imetangaza nafasi za kazi jumla ya elfu sita, mia mbili na hamsini na saba (6,257) katika Wizara, Idara, Wakala za Serikali, Mikoa na Serikali za Mitaa. Nafasi hizo zinahusisha maeneo mbalimbali ikiwemo kilimo, uvuvi, misitu...
  16. K

    Nahitaji Mtu wa marketing wa kufanya naye kazi

    Habari wakuu Mimi nina kampuni japokua bado ni changa ofisi ipo Africana, nahitaji watu wa marketing sio wa kuwaajiri ila tunawaeza kuarange terms tukalipana kwa kazi. Kampuni ina husika na uuzaji na ufungaji wa security systems and networking. Kwa anaeweza nicheck kwenye office number +255...
  17. D

    Nafasi za kazi za Massage

    Sifa za waombaji; 1. Awe msichana kuanzia miaka 18 hadi 30. 2. Awe ana ujuzi wa massage na urembo (beauty therapy) 3. Awe mkazi wa Dar es salaam, ikiwa anaishi ilala atapewa kipaumbele. 4. Awe tayari kufanya kazi bila msukumo. Mshahara kwa mwezi ni tsh 360,000/= Chakula cha asubuhi na...
  18. Ushimen

    Nafasi za kazi: Fitter Mechanics and Welder/Fabricator

    Mwenye uhitaji akuje PM, msharaha 700,000 per month. Ratiba ya kazi ni siku 14 on and 7 days off, after 2 months of probation period. Tayari tumewapata, Mudi naomba mfunge huu uzi tafadhali.
  19. MamaSamia2025

    Kama mshahara ni chini ya Tsh 150,000/= kwa mwezi bora useme unatangaza nafasi za utumwa kuliko useme ni nafasi za kazi

    Leo nimesikitika sana baada ya kusoma uzi wa jamaa anayetaka wahudumu wa mgahawani kwa mshahara wa Tsh 2000/= kwa siku kwa hoja kwamba watakula bure mgahawani. Watu wengi kwenye ule uzi wamempinga vikali mleta mada. Mimi pia niliandika comments za kupinga huo ujinga. Ninawasihi waajiri binafsi...
  20. CYTON TECH

    Nafasi za Kazi ya IT Technician na Marketing Staff

Back
Top Bottom