Ingia kwenye tovuti ya ajira utumishi kuona matokeo yako: Public Service Recruitment Secretariat | PSRS . Pia unaweza kupakuwa pdf attachment no.1 hapo chini kuona matokeo.
UPDATES: Matokeo ya AFISA MUUGUZI MSAIDIZI DARAJA LA II (ASSISTANT NURSING OFFICER II) yametoka, unaweza kupakua pdf no...
Job type: Full-time
Job Title: Secondary School Principal
Location: International School of Tanganyika, Dar es Salaam, Tanzania
Effective Date: August 2025
School Overview:
Student Enrollment: 446 students (Grades 6-12)
Programs Offered: MYP, DP, HS Pathways & Life Centered Education...
Invitation to Tender (ITT)
Tender Ref. No. PIT/RUK/01/FY25
Supply Of Construction Materials For Primary School
Classrooms, Nkasi District Council, Rukwa Region.
Plan International is an independent development and humanitarian organization that advances children’s rights and equality for...
Request for Proposals
Consultancy services: Gender equality and inclusion. Analysis
of district plan and budget
RFP No. PIT / VUM/02/FY25
Plan International Tanzania is an International humanitarian child-centered development organization without religious, political or government...
Habari za kazi kaka tunaomba utupazie sauti tuweze kufahamu sheria pamoja na utaratibu wa sekretarieti ya ajira utumishi katika mchakato wa usahili.
Hivi karibuni 1/09/2024 zilitangazwa ajira za kada ya afya kupitia sekretarieti ya ajira Baada ya mchakato wa kupata wanaostahili kwa usahili...
Niulize nini faida ya kufanya kazi serikalini, kama ualimu na daktari?
Kuna mwana ni mwalimu ajira mpya mwaka jana anatamani kuacha kazi mazima ila pa kuanzia sasa ndo haelewi. Anaomba ushauri sababu haoni challenge yoyote ya maisha ikiwa hamna marupurupu na take home ni finyu kidogo...
VAS Software Integration Engineer
Posting Country: Tanzania, United Republic of
Date Posted: 30 Aug 2024
Full Time / Part Time: Full Time
Contract Type: Permanent
At Vodacom, we’re working hard to build a better future. A more connected, inclusive and sustainable world. As a dynamic global...
System Admin: Contact & Digital Channels
Posting Country: Tanzania, United Republic of
Date Posted: 30 Aug 2024
Full Time / Part Time: Full Time
Contract Type: Permanent
At Vodacom, we’re working hard to build a better future. A more connected, inclusive and sustainable world. As a dynamic...
Senior Instructor/Assistant Professor, Urology
Entity - Aga Khan Health Services
Location - Tanzania
Introduction
Aga Khan University, a private, self-governing international university chartered in Pakistan in 1983, is a role model for academic, research and service programmes in health and...
Wadau hivi katika suala la kuomba ajira mpaka kwenye interview,je ukiwa unatumia AFFIDAVIT AU DEEDPOLL kutokana na changamoto ya majina.
Je, hii inaweza kuwa kama udhaifu kwako wa uwezekano wa kufanikiwa?
Naandika kwa masikitiko makubwa nikiona wanachofanyiwa vijana waliokuja kwenye usahili (written inteview) hapa Galanos Tanga.
1. Identification requirements zimekuwa mentioned katika tangazo la kuitwa kwenye usaili. Walio wengi wamekidhi kuja na vigezo/vitambulisho hivyo. Ajabu wasimamizi...
Kuna kazi nyingi za kufanya ndani ya Nchi na nje ya Nchi huku ikitegemea na taaluma yako uliyosomea.
Kuna watu wamepata kazi hizo kwa kupambana wenyewe huku wengine wakisubiri kusaidiwa kwa namna moja ama nyingine.
Wengine pamoja na taaluma walizonazo lakini wameamua Kusaka maarifa mengine...
Leta hoja yako, ijikite kwenye
1. Kwanini miaka mingi kada hizi hazikuwa na usaili isipokuwa sasa.
2. changamoto kiujumla za Mchakato wa usaili kwa kada hizi
3. Faida ya kufanya na kutofanya usaili
4. Bajeti za wizara kutekeleza usaili.
5. Hitimisho.
Soma Pia: Kada ya Ualimu na Afya wafanyiwe...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29,napatikana boda ya Tunduma, Elimu yangu kidato cha sita, natafuta ajira ya kuwa transporter au Agent ku clear mizigo boda ya Tunduma, nina uzoefu wa Exportation, importation na Transit Kwa miaka minne sasa.. Kazi itafanyika Kwa uaminifu.
Naombeni ajira...
Interview ya mahojiano wamesema mhusika ataenda mkoa alioomba kazi kufanya interview, je kwa wale walioomba masomo mawili na kuwekwa mikoa tofauti anatakiwa kwenda pande zote mbili au atachagua mmoja, anayeelewa anisaidie tafadhali!
Habari zenu wakuu, kama unahitaji kujenga ngazi za kisasa
"ngazi za kuelea elea"
nicheki nikufanyie kazi yako.
Hapo nimekabidhi kazi tayari, kilichobaki ni kutoa mbao za hapo chini tu.
Karibuni wakuu. Simu namba 0624254690
Wanahitajika vijana wa Kike kwa ajili ya mauzo ya mradi wa nyumba uliopo(REAL ESTATE) wilaya ya Kigamboni Dar es salaam.
TUMA C.V YAKO:sophiahamidu59@gmail.com
Poleni na majukumu ndagu zangu. Nime-aplly kazi katika taasisi ya taliri ambayo inajihusisha na utafiti wa rasilimali za mifugo na mamlaka ya viwanja vya ndege TAA kupitia sekretarieti ya ajira sasa ninaomba kupta tips ya maswali yake ya interview hasa kwenye usaili wa kuandika.
Nini natakiwa...
Wanaitaji:
• Kinyozi 1
• Msusi 1
• Msafishaji na kuremba kucha 1
Aina ya kazi, kuwezesha:
• Urembo(wanawake)
• Utanashati(wanaume)
Sehemu ya kazi:
• Kivule - Ilala(DSM)
Mwajiri:
• Mtu binafsi
Ujuzi:
• Mwenye ujuzi wa kutosha kulingana na kazi husika, mfano: kunyoa(kinyozi) mitindo...
Position: MECHANICAL DRAUGHTSMAN
Areas of Responsibility: As assigned by the supervisor.
Reports To: MCC MANAGER
Specific Knowledge
Minimum of (5) five years of hands-on experience in the cement industry, particularly in developing and preparing comprehensive mechanical drawings...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.