nafasi za kazi

  1. Jerry001

    Usaili kada ya Afya 2024: Matokeo ya usaili ya kuandika (written) Tabibu daraja la pili (Clinical officer II) yametoka

    Ingia kwenye tovuti ya ajira utumishi kuona matokeo yako: Public Service Recruitment Secretariat | PSRS . Pia unaweza kupakuwa pdf attachment no.1 hapo chini kuona matokeo. UPDATES: Matokeo ya AFISA MUUGUZI MSAIDIZI DARAJA LA II (ASSISTANT NURSING OFFICER II) yametoka, unaweza kupakua pdf no...
  2. Jamii Opportunities

    Secondary School Principal at International School of Tanganyika

    Job type: Full-time Job Title: Secondary School Principal Location: International School of Tanganyika, Dar es Salaam, Tanzania Effective Date: August 2025 School Overview: Student Enrollment: 446 students (Grades 6-12) Programs Offered: MYP, DP, HS Pathways & Life Centered Education...
  3. Jamii Opportunities

    Tender – Supply Of Construction Materials For Primary School Classrooms at Plan International

    Invitation to Tender (ITT) Tender Ref. No. PIT/RUK/01/FY25 Supply Of Construction Materials For Primary School Classrooms, Nkasi District Council, Rukwa Region. Plan International is an independent development and humanitarian organization that advances children’s rights and equality for...
  4. Jamii Opportunities

    Request for Proposals – Consultancy services at Plan International

    Request for Proposals Consultancy services: Gender equality and inclusion. Analysis of district plan and budget RFP No. PIT / VUM/02/FY25 Plan International Tanzania is an International humanitarian child-centered development organization without religious, political or government...
  5. L

    Ufafanuzi kuhusu ajira UTUMISHI

    Habari za kazi kaka tunaomba utupazie sauti tuweze kufahamu sheria pamoja na utaratibu wa sekretarieti ya ajira utumishi katika mchakato wa usahili. Hivi karibuni 1/09/2024 zilitangazwa ajira za kada ya afya kupitia sekretarieti ya ajira Baada ya mchakato wa kupata wanaostahili kwa usahili...
  6. The Lonnie

    Ushauri: Anataka kuacha kazi Serikalini sababu ya maslahi madogo

    Niulize nini faida ya kufanya kazi serikalini, kama ualimu na daktari? Kuna mwana ni mwalimu ajira mpya mwaka jana anatamani kuacha kazi mazima ila pa kuanzia sasa ndo haelewi. Anaomba ushauri sababu haoni challenge yoyote ya maisha ikiwa hamna marupurupu na take home ni finyu kidogo...
  7. Jamii Opportunities

    VAS Software Integration Engineer at Vodacom

    VAS Software Integration Engineer Posting Country: Tanzania, United Republic of Date Posted: 30 Aug 2024 Full Time / Part Time: Full Time Contract Type: Permanent At Vodacom, we’re working hard to build a better future. A more connected, inclusive and sustainable world. As a dynamic global...
  8. Jamii Opportunities

    System Admin: Contact & Digital Channels at Vodacom

    System Admin: Contact & Digital Channels Posting Country: Tanzania, United Republic of Date Posted: 30 Aug 2024 Full Time / Part Time: Full Time Contract Type: Permanent At Vodacom, we’re working hard to build a better future. A more connected, inclusive and sustainable world. As a dynamic...
  9. Jamii Opportunities

    Senior Instructor/Assistant Professor, Urology at Aga Khan University

    Senior Instructor/Assistant Professor, Urology Entity - Aga Khan Health Services Location - Tanzania Introduction Aga Khan University, a private, self-governing international university chartered in Pakistan in 1983, is a role model for academic, research and service programmes in health and...
  10. E

    Matumizi ya Affidavit au Deed Poll katika kuomba Ajira Je, hii inaweza kuwa kama udhaifu wa kufanikiwa?

    Wadau hivi katika suala la kuomba ajira mpaka kwenye interview,je ukiwa unatumia AFFIDAVIT AU DEEDPOLL kutokana na changamoto ya majina. Je, hii inaweza kuwa kama udhaifu kwako wa uwezekano wa kufanikiwa?
  11. R

    Uhuni wanaofanyiwa vijana waliokuja kwenye usaili wa kada ya afya kituo cha shule ya Sekondari Galanos, Tanga

    Naandika kwa masikitiko makubwa nikiona wanachofanyiwa vijana waliokuja kwenye usahili (written inteview) hapa Galanos Tanga. 1. Identification requirements zimekuwa mentioned katika tangazo la kuitwa kwenye usaili. Walio wengi wamekidhi kuja na vigezo/vitambulisho hivyo. Ajabu wasimamizi...
  12. realMamy

    Nani alikusaidia kupata kazi unayoifanya?

    Kuna kazi nyingi za kufanya ndani ya Nchi na nje ya Nchi huku ikitegemea na taaluma yako uliyosomea. Kuna watu wamepata kazi hizo kwa kupambana wenyewe huku wengine wakisubiri kusaidiwa kwa namna moja ama nyingine. Wengine pamoja na taaluma walizonazo lakini wameamua Kusaka maarifa mengine...
  13. G

    Je, kuna umuhimu kama taifa kufanya usaili kwa kada ya Afya na Ualimu ndo Uajiri?

    Leta hoja yako, ijikite kwenye 1. Kwanini miaka mingi kada hizi hazikuwa na usaili isipokuwa sasa. 2. changamoto kiujumla za Mchakato wa usaili kwa kada hizi 3. Faida ya kufanya na kutofanya usaili 4. Bajeti za wizara kutekeleza usaili. 5. Hitimisho. Soma Pia: Kada ya Ualimu na Afya wafanyiwe...
  14. mkataumem

    Natafuta ajira ya Transporter /clearing and forwarding

    Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29,napatikana boda ya Tunduma, Elimu yangu kidato cha sita, natafuta ajira ya kuwa transporter au Agent ku clear mizigo boda ya Tunduma, nina uzoefu wa Exportation, importation na Transit Kwa miaka minne sasa.. Kazi itafanyika Kwa uaminifu. Naombeni ajira...
  15. M

    Hili suala la interview ya sekretarieti inanichanganya

    Interview ya mahojiano wamesema mhusika ataenda mkoa alioomba kazi kufanya interview, je kwa wale walioomba masomo mawili na kuwekwa mikoa tofauti anatakiwa kwenda pande zote mbili au atachagua mmoja, anayeelewa anisaidie tafadhali!
  16. aise

    Nafanya kazi ya kujenga "ngazi za kuelea elea" floating stairs

    Habari zenu wakuu, kama unahitaji kujenga ngazi za kisasa "ngazi za kuelea elea" nicheki nikufanyie kazi yako. Hapo nimekabidhi kazi tayari, kilichobaki ni kutoa mbao za hapo chini tu. Karibuni wakuu. Simu namba 0624254690
  17. M

    Wanahitajika vijana wa Kike kwa ajili ya mauzo ya mradi Real Estate

    Wanahitajika vijana wa Kike kwa ajili ya mauzo ya mradi wa nyumba uliopo(REAL ESTATE) wilaya ya Kigamboni Dar es salaam. TUMA C.V YAKO:sophiahamidu59@gmail.com
  18. U

    Msaada maswali ya interview ya nafasi ya Field Attendant ambayo sifa yake ni Form Four

    Poleni na majukumu ndagu zangu. Nime-aplly kazi katika taasisi ya taliri ambayo inajihusisha na utafiti wa rasilimali za mifugo na mamlaka ya viwanja vya ndege TAA kupitia sekretarieti ya ajira sasa ninaomba kupta tips ya maswali yake ya interview hasa kwenye usaili wa kuandika. Nini natakiwa...
  19. Lukonge

    Nafasi ya kazi ya Saluni

    Wanaitaji: • Kinyozi 1 • Msusi 1 • Msafishaji na kuremba kucha 1 Aina ya kazi, kuwezesha: • Urembo(wanawake) • Utanashati(wanaume) Sehemu ya kazi: • Kivule - Ilala(DSM) Mwajiri: • Mtu binafsi Ujuzi: • Mwenye ujuzi wa kutosha kulingana na kazi husika, mfano: kunyoa(kinyozi) mitindo...
  20. Jamii Opportunities

    Mechanical Draughtsman at Twiga Cement Limited August, 2024

    Position: MECHANICAL DRAUGHTSMAN Areas of Responsibility: As assigned by the supervisor. Reports To: MCC MANAGER Specific Knowledge Minimum of (5) five years of hands-on experience in the cement industry, particularly in developing and preparing comprehensive mechanical drawings...
Back
Top Bottom