Source: Gobal Firepower
Link; 2024 Military Strength Ranking
Top 20 countries;
1. United States of Ameirca
2. Russia
3. China
4. India
5. South Korea
6. United Kingdom
7. Japan
8. Turkey
9. Pakistan
10. Italy
11. France
12. Brazil
13. Indonesia
14. Iran
15. Egypt
16. Australia
17. Israel
18...
Nafasi
Tutors (Diogonostic radiography na Nursing), Receptionist na Networking
Sifa za Mwombaji
Elimu ngazi ya diploma na kuendelea
Maombi yote yatumwe kupitia
Email: info@nyaishozicollege.ac.tz
au
Whatsapp: 0745009792
I salute you kinsmen.
Huyu jamaa kwa sasa amezidi kututibua nyongo watanzania kwa kiasi kikubwa sana
Inasemekana kuwa Tanzania wanaweza kupokonywa nafasi yao kushiriki Afcon na akapewa Guinea sababu hasa ni kuwa jamaa wameandika barua CAF kuwa.
Haya yote ni nonsense kabisa Guinea wanatapa...
Mwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Mwanza, Cde. Seth Bernard Masalu, anawaomba wakazi wa Mwanza wote na watanzanania kujitokeza kwa wingi kushiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Vijiji na Vitongoji utakaofanyika Novemba 27, 2024 kwa Kuwachaguwa Wagombea wote wa Chama cha Mapinduzi katika nafasi zote...
Mara mbona uniweki status, mara meseji za uko wapi sasa hivi, mara mbona haunipigii mara kwa mara, mara mtoto wangu anaumwa, mara kodi ya nyumba inakata kesho (kwani ulikuwa unaishije kabla yangu👽).
Tulishazoea miaka ya nyuma, nafasi zinatangazwa kwa ajili ya wanaotaka kusimamia Uchaguzi.
Leo ni takribani wiki moja kabla ya uchaguzi, hakuna tangazo lolote la Tume Huru ya Uchaguzi kuhusu nafasi za kusimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
Je safari hii Tume ina watu wake tayari?
Acha majivuno ndugu, acha umwamba, acha "usimba", sio wewe, ni hio bahati pekee ya mafanikio, kuwa grateful sio kwa aliekupa mchongo tu hata kwa sisi tunaojipitisha tu maana njaa zetu zikikupata hata ghafla utageuka chizi.
Mfundishe mkeo asiwadharau wake za wengine kisa wamesuka njia moja ya...
MTANZANIA, THOMAS NKOLA maarufu Mkulima amehoji sababu za Chama cha Mapinduzi kumruhusu Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (MNEC) anayetuhumiwa kwenye kashfa mbalimbali za ufisadi kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa kampeni za uchaguzi wa Serikali za Mitaa mkoani Shinyanga.
Mjumbe huyo wa...
Habari wana JF katika jukwaa letu hili pendwa,
Nina shahada ya sayansi katika kemia UDOM.
Sijabahatika kupata kazi serikalini kama mnavojua ugumu ulivo lakini nimefanya kazi katika kitengo cha ubora ( Asst lab tech na Quality supervisor) katika kiwanda cha kuchakata samaki ambapo kimsingi...
Malkia wa urembo wa Miss Universe Nigeria, Chidimma Adetshina, ameibuka mshindi wa pili katika shindano la Miss Universe 2024 lililokamilika Mexico City Jumamosi usiku.
Miss Denmark, Victoria Kjaer Theilvig ndiye aliyeibuka Miss Universe mwaka huu 2024.
Chidimma Adetshina ambaye awali...
Eeh Mungu nisamehe kama ninakufuru!!
Like nini haswa kilikuwq nyuma ya shetani kuasi.
Alipata hamasa binafsi au kulikuwapo na mamlaka nyingine iliompa hamasa ili washirikiane kumpindua Mungu pamoja kwa ahadi ya vikubwa zaidi ya vile mwenyezi Mungu alivyokuwa amempa.
Is lucifer, satan? Au...
Ukiondoa mpira mguu, mchezo wa draft ndio mchezo ambazo unachezwa katika wilaya zote nchini, hakuna wilaya hapa nchini utaenda utakosa wachezaji wa mchezo huu, nenda wilaya yoyote draft lipo na wachezaji wapo, Dar es salaam ndio balaa, kule manzese, mbagala, kinondoni ndio kuna mafundi wakubwa...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa amesema Chama cha Mapinduzi (CCM), kimefanikiwa kuweka wagombea katika nafasi zote za vijiji, vitongoji na mitaa huku upinzani ukiweka wagombea 30,977 sawa na asilimia 38 ya nafasi zote 80,430...
Sead Ramovic ni kocha wa Kijerumani ambaye anatajwa kwa nafasi kubwa kama mrithi wa Miguel Gamondi aliyefurushwa mapema leo.
Ramovic alikuwa anakinoa kikosi cha TS Galaxy kinachoshiriki Ligi Kuu ya Betway pale Afrika Kusini kuanzia mwaka 2021 -2024.
TS Galaxy inashika mkia katika msimamo wa...
YAH: KUJIUZULU RASMI KWA RAIS WA UTPC
Husika na kichwa cha habari hapo juu
12 Novemba 2024
Napenda kuwafahamisha kuwa tumepokea rasmi barua ya kujiuzulu kwa Rais wa UTPC Bw. Deogratius Nsokolo tarehe 10 Novemba, 2024. Baada ya kupata uteuzi na kupata wadhifa ambao kuendelea na kazi yake ya urais...
TRADESAFE LIMITED
LOCATION: DAR ES SALAAM, TANZANIA
POSITION: LOGISTICS PROJECT DEVELOPMENT MANAGER
CONTRACT TYPE: 1-3 YEARS CONTRACT
---
ROLE OVERVIEW
TradeSafe Limited is seeking a Logistics Project Development Manager to lead the development, creation, and introduction of innovative...
TRADESAFE LIMITED
LOCATION: DAR ES SALAAM, TANZANIA
POSITION: SENIOR BUSINESS AND MARKET INTELLIGENCE OFFICER
CONTRACT TYPE: FULL-TIME / PROJECT BASED
---
ROLE OVERVIEW
TradeSafe Limited is seeking an experienced Senior Business and Market Intelligence or Analyst Officer who will also serve...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.