Habari za wakati huu
Kutokana mimi ni mwananchi mwenye kipato cha kawaida
Naombeni ushauri wenu kuhusu hili,kwa sasa nataka nianze kuweka saving ,Sasa wakuu naombeni kuuliza
Hivi unafuu upo wapi kati ya kutunza fedha Benki au Kwenye Mitandao ya Simu kama Mpesa/Tigopesa
Uzi tayari
Habari wakuu,
Tunabadili matumizi ya ofisi na kuuza vifaa vya ofisi vifuatavyo
1. Meza mbili za plastic - zote 140,000 (@ 70,000)
2.Viti 3 vya plastic -vyote -30,000
3.laptop ya hp - 300,000
4. Min laptop bytespeed (haikai na chaji,utabadili battery) - 120,000
5.Printer - 60,000
6...
Apple wameamua kula sahani moja na makampuni yanayotengeneza budget phone.
Apple wamezindua simu ya iphone inayoitwa iphone SE.
Kitu kinachovutia kwa toleo jipya la simu hii ni bei nafuu kulinganisha na matoleo mengine ya hivi karibuni. Bei yake ni $399.
Hii bei ni kubwa kwa sisi watumiaji wa...
Nashauri nchi wahisani na taasisi za fedha za kimataifa kuja na mpango maalumu wa kuhakikisha unafuu wa kulipa madeni ulitolewa unakuwa na mashariti maalumu kwa nchi zote zilizopata unafuu huo.
Nasema hivi kwasababu inawezekana kabisa kwa baadhi ya nchi zetu za kiafrika kutumia unafuu huo...
Habari wadau,,,,ninauza canter ya tani nne kwa bei nafuu, imetembea km 48500 tu, na bodi lake Lina urefu wa mita 4,,,,,,kwa maelezo zaidi piga namba 0783696253,,,ninapatikana dar es salaam
habari za muda wadau wa jukwaa hili,naomba kufahamishwa benki au taasisi yenye mkopo nafuu kuliko nyingine ili,niweze kwenda kujipatia chochote katika kulisongesha mbele gurudumu la maendeleo ya tanzania.nilipita nmb na mwalimu commercial bank,riba zao ni asilimia 17,na kuna baadhi ya mambo...
Habari zenu wadau.
Naombeni mwenye uzoefu anisaidie kujua ni wapi naweza kupata vitu vya Stationery kwa bei nafuu sana, mfano pen, karatasi, mafaili n.k
Natanguliza shukrani
Ni siku kama ya tatu mwanagu wa mwaka mmoja anakohoa kikohozi kikavu na usiku anapata taabu ya kupumua.
Mimi ni mfauatiliaji wa thread ya Coronavirus humu, nimekosa raha kabisa na isitoshe niko mbali nao.
Yaani kila nikifuatilia habari ya wataliii Arusha natamani kulia kwa jinsi serikali...
Gari ipo Japan na inachukua siku 30 kufika pindi unapo agizia na hiyo gharma ni GHARAMA KAMILI PAKA GARI LINAKUFIKIA MKONONI IKIWA NA KILA KITU KASORO BIMA na pia hamna gharama zozote zitakazo ongezeka zaidi ya hapo.
MALIPO HUFANYWA KWA AWAMU TATU (3)
1) Unalipia CIF yani bei ya kutoka japan...
OFFER kabambe kutoka D-TECS Group! Chagua huduma unayohitaji kati ya zifuatazo tukufanyie kazi nzuri na TUKUPE ZAWADI kutoka restaurant ya kisasa ya mihogo inayobamba hapa town ya NEYSCASSAVA!
Huduma zinazoambatana na OFFER hii;
Label designing/ Lebo ya bidhaa zako
Logo designing/ Nembo ya...
Kwa utafiti usio rasmi kwa mtazamo wangu baada ya kupita pita kwenye magroup ya Whatsapp na Kurasa za facebook za wauza magari yaliyotumika hapa Tanzania ni kama yafuatayo:
Toyota Vitz, IST, Raum, Passo, Run X Mark II, Grande,Altezza Cresta, Brevis, Nissan X - Trail haya bei zake huanzia...
Heri ya mwaka mpya wakuu,
Taa za LED zimepata umaarufu miaka ya hivi karibuni kutokana na kuwa na mwanga mkubwa huku ulaji wake wa umeme ukiwa ni kidogo.
Licha ya faida hiyo kutokana na tafiti mbalimbali taa za LED,zimeonekana kuwa na madhara kiafya,licha ya wataalamu wanao unda taa hizi...
MALALAMIKO MBALIMBALI YALIYOTOLEWA NA WADAU:
Habari za mida hii wakuu, hivi haya mabadiliko ya bando za Tigo ni kwangu tu au kwa watu wote? Maana daah bando zimekuwa ghali sana kwa sisi Wananchi wanyonge.
=====
---
---
---
---
---
---
=====
WADAU WENYE MTAZAMO TOFAUTI:
---
---...
Je, wewe ni mmiliki wa shule, Kampuni binafsi au NGO,
Je, unahitaji kujipatia huduma mojawapo kati ya hizi au zote kwa pamoja?
Websites,
Android Apps,
Domain Names,
ERP system
Accounting system
CRM system
SEO services
Online Promotion
Je, budget yako ni kati ya TZS 49900 na kuendelea?
Kama...
Dodoma 20, 2019
WAZIRI MPANGO: Baada ya Uchumi wa Tanzania 'kufanya vizuri' kumepelekea Kupungua kwa misaada na kumeathiri baadhi ya miradi ya maendeleo nchini
Serikali imesema kupungua kwa misaada ya maendeleo kumeathiri baadhi ya vyanzo vya ugharamiaji wa miradi ya maendeleo nchini na hivyo...
Shikamooni wakubwa zangu wote wa humu jamiiforums. Mimi mdogo wenu Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.
PLEASE ANZA KWA KUSOMA HII THREAD YANGU...
Simu za infinix zilizopo zote ni mpya:
Hot 8 lite bei 250,000
Smart 3+ bei 290,000
Hot 7 bei 240,000
S4 bei 350,000
Simu za Tecno zilizopo zote ni mpya
Spark 2 bei 230,000
Spark 3 na pro yake bei 250,000
Spark 4 bei 300,000
Camon 12 bei 350,000
Kwa mawasiliano piga simu 0652 565 597 au 0743 448...
tunatoa offer (ofa) kwa wanaohitaji business cards, logo na lebo za bidhaa zao kwa gharama zifuatazo;
Company logo designing = Tsh.30,000/=
Business card designing = Tsh.25,000/=
Product label designing = Tsh.25,000/=
Business card printing = Tsh.20,000 /100pcs
Label printing = Tsh.1000 /A4...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.