Tunapokea oda za kuprint t-shirt za aina zote kwa bei nafuu..t-shirt high Quality.
tunapokea oda kwa t-shirt za
1. Familia
2. Shule (wanafunzi na staff)
3. Birthday
4. Msiba
5. Kwaya
6. Vikundi
Tunapatikana (Msongola- Ukonga Dar Es Salaam)
Wasiliana kwa 0789214792 au 0620875713
Habari za weekend,
Kwa budget ya Laki tatu (300k) naomba ushauri kwenu ni simu gani nichukue yenye uwezo mzuri wa battery, camera na internal memory kubwa ya kukidhi matumizi ya kawaida.
Nilimsikiliza Rais katika ufunguzi wa kitu cha mabasi Magufuli kule Mbezi akitambua mchango wa mama lishe katika jamii.
Mama lishe wengi wanatengeneza chakula katika hali ngumu sana. Wengi wanatumia kuni kama nishati ya kupikia, sshemu wanazopikia ni duni na mvua ikinyesha wanapata adha...
Habari waJF,
Kwa wale wafugaji wenzangu wa mkoa wa Kagera na mikoa jirani sasa unaweza kupata mbegu za Azolla zenye ubora unaohitajika kwa bei rafiki kabisa.
Tuwasiliane kupitia namba 0625951181
Faida za Azolla kwa kifupi ni;
1. Ni nyongeza ya chakula cha kuku na mifugo mingine
2. Ina...
Mara nyingi wakulima wamekuwa wakitamani kununua au kumiliki vifaa vya kilimo lakini kutokana na bei kubwa na pia kutokuwa na sifa za kukopesheka katika taasisi za fedha basi wanashindwa kutekeleza matakwa yao.
Simusolar tumeliangalia hili swala kwa undani na sasa tumeamua kuwawezesha wakulima...
Habari!
Naomba kifahamishwa majina, sehemu na kiwango cha ada kwa shule za msingi zinazofuata mtaala wa kimataifa (international Schools) zenye ada ya kawaida. Sihitaji hizi IST n.k
Shukran!
Baadhi ya mahitaji ya wadau:
Naombeni kupewa orodha ya maduka ya suti za kiume (za kisasa) yaliyopo Kariakoo. Nahitaji kuyazungukia. Kwasababu ya muda siwezi ku-design kwa fundi ndo maana nataka kuitungua dukani. Shukrani.
Kariakoo au Dar ni wapi tutapata pochi, vitenge na viatu vya kike bei za...
Wakuu habari:
Mara kwa Mara viongozi wetu wamekuwa wakituambia tumepata mkopo kutoka China wenye masharti nafuu.
Swali langu ambalo natamani kila Mtanzania ajiongeze na aweze kufikiria nje ya box je mkopo wa masharti nafuu ukoje je masharti nafuu ni yapi?
Mara nyingi tumesikia kauli kuwa...
Mji mpya umeanzishwa ,mkabala na halmashauri mpya ya Kibaha ( Mlandizi),Nyuma ya kiwanda cha Kiluwa Steel.
viwanja vipo kilomita 1.9 toka Morogoro road.
Kiwanja Cha sqm 1,200 (mita 40 kwa mita 30) kinauzwa milioni 3 tu. Piga 0713039875 kwa maelezo zaidi
Vimebaki viwanja 6 kwa wiki hii. Ofa...
Habar, tunauza vitanda na bedside zake kwa kila kitanda ......ni vitanda vilivyotumia mbao ngumu.
Bei: 380000 - 350000 kwa kila kimmoja
wapi : kawe ukwamani.
Simu : 0757994417 au 0625 959542.
Usafiri: utajitegemea
Je naweza kuwekeza? Ndio unaweza kuwekeza kidogo kidogo mpaka unamaliza deni.
Je...
Wapendwa Wana jamvi,
Nimeamka na dharura ya kumsafrisha mgonjwa na Mambo yangu siyo mazuri.
Nalazimika kuuza laptop yangu( Kama unaweza nisaidia kupata mtu wa haraka wa kuniokoa)
Walau kufikia jioni niwe nimepata mteja.
Specifications za laptop"
👉HP probook
👉Hard disck 400GB
👉Processor...
Shirika la UNICEF limetangaza kuhusu mkakati wake wa kusambaza chanjo ya Covid-19 kwa Kenya na nchi nyingine zinazoendelea, limeripoti gazeti la daily Nation nchini Kenya.
Chanjo zote zitakazonunuliwa kupitia Covax zitauzwa kwa shilingi 300 za Kenya (takriban dola 3) kwa nchi zinazoendelea...
Hii sio hypothesis, imeshakuwa proven kwa tafiti zilizofanywa na wengine wanaotafiti kuhusu poor economics.
Iko hivi ni rahisi kujua kuwa gharama za kutuma na kutoa fedha kwa kutumia simu, iwe M-pesa, Tigo pesa nk ni gharama zaidi kuliko kutumia benki i.e ATM ambazo zimetapakaa nchini.
Kwa...
Umechoshwa na Tv box za kichina ambazo zipo slow, ngumu kutumia na hazina features nyingi? Karibu kwenye ulimwengu mpya wa Android kwenye Tv yako kwa kutumia Fire stick.
Fire stick ni tv Box ambayo inaweza kubadili tv yoyote ambayo sio smart kuwa smart, pia wale wenye smart tv wanaweza kuitumia...
Habari jf
Suzuki swift bx iko sokoni, magomeni Dar
Transmission: Automatic
Engine; Petrol, cc 1300
Milleage: 110,000kms
Year made: 2000
Bei 4 million
Piga simu 0744033555
nauza SSD mpya zenye ukubwa wa GB 240 kwa ajili ya laptop na desktop, SSD hizi ni brand ya kingston (A400) unafungua mwenyewe zipo sealed na hazijawahi kutumika. hii model imetoka amazon na sasa hivi ndio ssd inayouzika kwa sana Duniani, kwa wale wanaotaka kuhama toka HDD. unaweza kuiangalia...
Ewe mkazi wa Dar es salaam karbu tukuhudumie Mchele safi toka kyela.
Tutakuletea mchele popote ndani ya Dar es salaam kwa bei 1400/Kg hapo ni pamoja na gharama za usafiri.
Kwa mawasiliano zaidi tutumie ujumbe kwa wasap au kutupgia kupitia 0757160773
Ah karbu kituo chetu cha mauzo kilichopo...
Call/WhatsApp 0788622610 Brand new heavyduty commercial blender.
Zinaweza kusaga matunda, juice,pilipili nk
Zinatengeneza smoothie Zinauwezo wa kufanya kazi mda mrefu
Ina jagi lita 2 Ina power watts 2200 Zina warranty miezi 12 Unaipata kwa bei ya 135,000 tu
Tupo kkoo
Kwa Dar free delivery
Vyama vya Siasa ndiyo wawakilishi wa wananchi, ndiyo sauti ya wengi. Katika sera zenu wengi wameongelea Afya ya Jamii, maji, umeme, elimu, kilimo, biashara, nk.
Wananchi ambao ni wapiga kura wenu, hasa wanaokaa mijini wengi ni wenye kipato chini ya Tsh 500,000 kwa mwezi. Wengi wako kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.