nafuu

  1. M

    Tunatoa Huduma ya T-shirt printing kwa bei nafuu Dar

    Tunapokea oda za kuprint t-shirt za aina zote kwa bei nafuu..t-shirt high Quality. tunapokea oda kwa t-shirt za 1. Familia 2. Shule (wanafunzi na staff) 3. Birthday 4. Msiba 5. Kwaya 6. Vikundi Tunapatikana (Msongola- Ukonga Dar Es Salaam) Wasiliana kwa 0789214792 au 0620875713
  2. N

    Simu nzuri kwa gharama ya laki tatu (300k)

    Habari za weekend, Kwa budget ya Laki tatu (300k) naomba ushauri kwenu ni simu gani nichukue yenye uwezo mzuri wa battery, camera na internal memory kubwa ya kukidhi matumizi ya kawaida.
  3. Sky Eclat

    Serikali iwasaidie mama lishe kupata majiko na mitungi ya gesi kwa riba nafuu

    Nilimsikiliza Rais katika ufunguzi wa kitu cha mabasi Magufuli kule Mbezi akitambua mchango wa mama lishe katika jamii. Mama lishe wengi wanatengeneza chakula katika hali ngumu sana. Wengi wanatumia kuni kama nishati ya kupikia, sshemu wanazopikia ni duni na mvua ikinyesha wanapata adha...
  4. Chachu Ombara

    Habari njema kwa wafugaji wa Kagera na mikoa jirani; Jipatie mbegu za Azolla kwa bei nafuu

    Habari waJF, Kwa wale wafugaji wenzangu wa mkoa wa Kagera na mikoa jirani sasa unaweza kupata mbegu za Azolla zenye ubora unaohitajika kwa bei rafiki kabisa. Tuwasiliane kupitia namba 0625951181 Faida za Azolla kwa kifupi ni; 1. Ni nyongeza ya chakula cha kuku na mifugo mingine 2. Ina...
  5. Mwita Mtu Mrefu

    TV4Sale Goodman TV inch 32 bei nafuu, 225,000 tu: Tabata Segerea

    Habari jf. Nakusogezea bidhaa mbalimbali kwa bei nafuu sana. Jipatie Tv aina ya Goodman kwa bei tajwa hapo juu. Tv sio smart. Call 0744033555
  6. Dynno22

    Pump za solar kwa ajili ya Kilimo cha Umwagiliaji (Bei ni nafuu na kwa mikopo bila riba)

    Mara nyingi wakulima wamekuwa wakitamani kununua au kumiliki vifaa vya kilimo lakini kutokana na bei kubwa na pia kutokuwa na sifa za kukopesheka katika taasisi za fedha basi wanashindwa kutekeleza matakwa yao. Simusolar tumeliangalia hili swala kwa undani na sasa tumeamua kuwawezesha wakulima...
  7. Twenty Twenty One

    International schools za ada nafuu Dar

    Habari! Naomba kifahamishwa majina, sehemu na kiwango cha ada kwa shule za msingi zinazofuata mtaala wa kimataifa (international Schools) zenye ada ya kawaida. Sihitaji hizi IST n.k Shukran!
  8. Babu Kijiwe

    Wafanyabiashara wa mikoani mnaochukua vitu Kariakoo, njooni tujuzane machimbo ya bidhaa

    Baadhi ya mahitaji ya wadau: Naombeni kupewa orodha ya maduka ya suti za kiume (za kisasa) yaliyopo Kariakoo. Nahitaji kuyazungukia. Kwasababu ya muda siwezi ku-design kwa fundi ndo maana nataka kuitungua dukani. Shukrani. Kariakoo au Dar ni wapi tutapata pochi, vitenge na viatu vya kike bei za...
  9. falcon mombasa

    Masharti nafuu tunayopewa na China

    Wakuu habari: Mara kwa Mara viongozi wetu wamekuwa wakituambia tumepata mkopo kutoka China wenye masharti nafuu. Swali langu ambalo natamani kila Mtanzania ajiongeze na aweze kufikiria nje ya box je mkopo wa masharti nafuu ukoje je masharti nafuu ni yapi? Mara nyingi tumesikia kauli kuwa...
  10. Dr. Zaganza

    Plot4Sale Viwanja Vinauzwa Kibaha, kilomita moja toka Morogoro Road, Bei Nafuu

    Mji mpya umeanzishwa ,mkabala na halmashauri mpya ya Kibaha ( Mlandizi),Nyuma ya kiwanda cha Kiluwa Steel. viwanja vipo kilomita 1.9 toka Morogoro road. Kiwanja Cha sqm 1,200 (mita 40 kwa mita 30) kinauzwa milioni 3 tu. Piga 0713039875 kwa maelezo zaidi Vimebaki viwanja 6 kwa wiki hii. Ofa...
  11. T

    Nauza vitanda na bed side zake....Bei nafuu

    Habar, tunauza vitanda na bedside zake kwa kila kitanda ......ni vitanda vilivyotumia mbao ngumu. Bei: 380000 - 350000 kwa kila kimmoja wapi : kawe ukwamani. Simu : 0757994417 au 0625 959542. Usafiri: utajitegemea Je naweza kuwekeza? Ndio unaweza kuwekeza kidogo kidogo mpaka unamaliza deni. Je...
  12. J Mbungi

    Laptop inauzwa bei nafuu HP probook 350,000/

    Wapendwa Wana jamvi, Nimeamka na dharura ya kumsafrisha mgonjwa na Mambo yangu siyo mazuri. Nalazimika kuuza laptop yangu( Kama unaweza nisaidia kupata mtu wa haraka wa kuniokoa) Walau kufikia jioni niwe nimepata mteja. Specifications za laptop" 👉HP probook 👉Hard disck 400GB 👉Processor...
  13. Analogia Malenga

    Chanjo ya Virusi vya Corona kuuzwa kwa bei nafuu kwa nchi masikini

    Shirika la UNICEF limetangaza kuhusu mkakati wake wa kusambaza chanjo ya Covid-19 kwa Kenya na nchi nyingine zinazoendelea, limeripoti gazeti la daily Nation nchini Kenya. Chanjo zote zitakazonunuliwa kupitia Covax zitauzwa kwa shilingi 300 za Kenya (takriban dola 3) kwa nchi zinazoendelea...
  14. OLS

    Kwanini tunapenda kutuma pesa (kwa njia ya simu) kuliko benki ambazo huwa na gharama nafuu?

    Hii sio hypothesis, imeshakuwa proven kwa tafiti zilizofanywa na wengine wanaotafiti kuhusu poor economics. Iko hivi ni rahisi kujua kuwa gharama za kutuma na kutoa fedha kwa kutumia simu, iwe M-pesa, Tigo pesa nk ni gharama zaidi kuliko kutumia benki i.e ATM ambazo zimetapakaa nchini. Kwa...
  15. H

    Amazon Firestick lite, tv box original kwa bei nafuu

    Umechoshwa na Tv box za kichina ambazo zipo slow, ngumu kutumia na hazina features nyingi? Karibu kwenye ulimwengu mpya wa Android kwenye Tv yako kwa kutumia Fire stick. Fire stick ni tv Box ambayo inaweza kubadili tv yoyote ambayo sio smart kuwa smart, pia wale wenye smart tv wanaweza kuitumia...
  16. Down To Earth

    Car4Sale Suzuki Swift Bx inauzwa bei nafuu

    Habari jf Suzuki swift bx iko sokoni, magomeni Dar Transmission: Automatic Engine; Petrol, cc 1300 Milleage: 110,000kms Year made: 2000 Bei 4 million Piga simu 0744033555
  17. H

    Jipatie SSD kwa ajili ya laptop na desktop yao kwa bei nafuu

    nauza SSD mpya zenye ukubwa wa GB 240 kwa ajili ya laptop na desktop, SSD hizi ni brand ya kingston (A400) unafungua mwenyewe zipo sealed na hazijawahi kutumika. hii model imetoka amazon na sasa hivi ndio ssd inayouzika kwa sana Duniani, kwa wale wanaotaka kuhama toka HDD. unaweza kuiangalia...
  18. D

    Mchele safi toka kyela unapatikana kwa bei nafuu

    Ewe mkazi wa Dar es salaam karbu tukuhudumie Mchele safi toka kyela. Tutakuletea mchele popote ndani ya Dar es salaam kwa bei 1400/Kg hapo ni pamoja na gharama za usafiri. Kwa mawasiliano zaidi tutumie ujumbe kwa wasap au kutupgia kupitia 0757160773 Ah karbu kituo chetu cha mauzo kilichopo...
  19. ubuntuX

    Heavy duty blenders kwa bei nafuu

    Call/WhatsApp 0788622610 Brand new heavyduty commercial blender. Zinaweza kusaga matunda, juice,pilipili nk Zinatengeneza smoothie Zinauwezo wa kufanya kazi mda mrefu Ina jagi lita 2 Ina power watts 2200 Zina warranty miezi 12 Unaipata kwa bei ya 135,000 tu Tupo kkoo Kwa Dar free delivery
  20. Sky Eclat

    Vyama vya Siasa ndio wawakilishi na watetezi wa wanyonge. Fikirieni suala la makazi nafuu mijini

    Vyama vya Siasa ndiyo wawakilishi wa wananchi, ndiyo sauti ya wengi. Katika sera zenu wengi wameongelea Afya ya Jamii, maji, umeme, elimu, kilimo, biashara, nk. Wananchi ambao ni wapiga kura wenu, hasa wanaokaa mijini wengi ni wenye kipato chini ya Tsh 500,000 kwa mwezi. Wengi wako kwenye...
Back
Top Bottom