AMBWENE KONZO LIMITED WANAKUPA NAMNA , RAHISI, SALAMA NA NAFUU ZAIDI YA KUTOA RISITI ZA TRA KWA KUTUMIA SIMU,KOMPYUTA,POS AU MFUMO WAKO ULIONAO. HUNA HAJA YA KUNUNUA MACHINE.
ILIKUPATA HUDUMA UNATAKIWA KUWA NA:
NAKALA YA TIN CERTIFICATE
NAKALA YA KITAMBULISHO
BARUA YA MAOMBI KWA TRA KUTOKA...
Suti mseleleko ni wauzaji wa suti za kike, kiume na suti za watoto kwa wateja wa Dar-es - salaam na mikoani. Bei zetu ziko poa kabisa zinaendana na gharama ya fedha yako.
Kwa mawasiliano zaidi wasiliana Nasi kupitia namba;
WhatsApp number: 0712878245
Suti za kiume(mikoani)...
Sio siri kuwa miradi mingi ya nyumba za makazi na biashara hushindwa kuliteka soko kwa Watanzania wengi hasa wa kipato cha chini na badala yake nyumba nyingi zimebaki tupu bila wapangaji ama wamiliki ( wanunuzi) kwani miradi hio hukosa uhalisia wa maisha ya watu wa chini.
Makampuni hudhani kuwa...
Hello!
Umeme wa jua ni bora na ninatamani Watanzania wote wangekuwa nao.
Ukinunua system ya umeme wa jua kwa sh.laki nane unaweza kutumia kwa matumizi ya friji dogo la nyumbani, ukawasha TV, redio, ukanyoosha nguo and so.
Hakuna kulipa kila mwezi kama zamani au kukosa umeme kwakuwa luku...
Inakaribia mwaka mmoja sasa mshikaji wangu wa karibu kabisa alipofika home na kuniambia kuhusu JPM kutaka kujenga nyumba za bei za nafuu kwa ajili ya wavuvi huko wilayani Kigamboni!! Ndugu yangu huyu akanieleza kwamba, wavuvi hao walitakiwa kufungua akaunti benki na kuweka kiwango cha pesa...
Kufanya miamala kwa kutumia M-PESA , Tigopesa , Aitel Money, Halopesa nk ni gharama sana hasa kwa maisha ya Mtanzania.
Siku hizi karibu kila mtu ana akaunti number ya benk, na matawi ni mengi sana nchi nzima. Hata Wakala wa NMB, CRDB wametapakaa kote nchini.
Ni njia rahisi na bei yake ni ndogo...
Tunajihusisha na uuzaji na usambazaji wa tangawizi,
bei 1kg=800tsh
Gunia kubwa(debe 12)=lak 1.4
Ni fursa kubwa kwa wafanya biashara za viungo na viwanda vinavyojihusisha na bidhaa za tangawizi kujipatia mzigo kwabei nafuu sana.
Tunapatikana RUNGWE-Mbeya lakini mzigo usiozidi gunia 5...
N.B: NI KWAJILI YA MATUMIZI YA KUONGEZA ELIMU NA TAALUMA.
Si ajabu wengi wakiwemo hata viongozi wanadhani internet ni kwajili ya upuuzi tu maana wengi kwenye hutumia internet kufanya vitu visivyo na faida mfano kudiscuss umbea kwenye magrupu, kufanya umalaya, video za x, kuwa waraibu wa muvi...
wakuu babari, nikipita kwenye maduka ya bongo ya electronics naona zimejaa subwoofer za mchina tu na hometheter za mchina na sio malysia wala japan.
kwa sisi wanazi wa.mziki ningependa nipate walau mashine ya avr amplifier 7.2 channel yenye bluetooth,usb na walau inasukuma kuanzia 150watts...
A. Ya Kuoa / Kuolewa kwa Kuomba ( Kupitisha ) Michango kwa Watu na bado wakija Ukumbuni Bia za Kulazimisha kupewa, Soda za Kuvizia na Chakula cha Kukadiriwa na hapo hapo bado unatakiwa ukawawazawadie wana Ndoa Meza Kuu?
B. Ya Kuoa / Kuolewa kwa Wanandoa Kujichanga Wenyewe kwa kila Kitu huku...
Nauza CPU ya Computer kwa bei nafuu
Ni Dell Vostro
Ram 4 GB
Hard Disk 800 GB
Bei laki mbili (200,000/=)
Ukinunua nakupa Keyboard na mouth bure
Nipo DSM, Tabata Kinyerezi
Ndugu wanaJF, unahitaji kuhaririwa habari au ripoti yako kwa Kiingereza au habari, ripoti, dissertation (BA, MA, PhD), paper au translation kutoka Kiswahili kwenda Kiingereza au Kiingereza kwenda Kiswahili kazi nzuri kwa bei nafuu. Kama jibu ni ndiyo, basi tukutane inbox.
Habarini wote.
Mimi ni muhanga wa macho nimeyavumilia kwa muda mrefu lakini naona ni too much. Siwezi focus vitu vya mbalii hata karibu hasa maandishi ziwezi somaa.
Naitaji miwani ya bei nafuu nipo Morogoro
Asanteni
Habari wadau..
Nauza wheel chair za mtumba.. nzuri kabisa zipo mbili..
Yenye draft draft bei yake ni Tsh. 200,000. na nyingine nyeusi bei yake ni Tsh 150,000.
Namba ya simu ni 0692 275 229
Leo baadhi ya wabunge wamemshukia Profesa Muhongo na kudai ni heri darasa la saba Msukuma na Kibajaji kuliko PhD holder.
Naye Spika Ndugai akasema ni vema maprofesa wakawa wanajipanga vizuri kabla ya kuongea kuepukuka changamoto za akina Kibajaji kwani uprofesa ni muhimu kwenye kufundisha na...
Waziri nishati Dkt. Kalemani asema Bwawa la Nyerere kujazwa Maji Novemba 15 mwaka huu wa 2021 aeleza gharama za kuzalisha umeme kwa kila chanzo bunge lamshangilia sana.
Asema lengo la Serikali ni kutumia vyanzo vyote ili mradi vilete umeme wa uhakika na wa bei nafuu kwa mwananchi
Asema umeme...
Habari wadau
Nauza air condition mpya kabisa, sealed in box
Bei ya kuuza ni laki tano fixed ( haipungui kiasi chochote) mimi nilinunua laki 7, risiti ipo
Brand ni BRUHM
Nilinunua kwa ajili ya kuifunga kwenye barber shop .. kwa sasa wazo la barber shop limeniondoka, nimeona niiiuze tu maana...
Habari wakuu,
Tumeleta mzigo wa pochi za kina dada nzuri.
Tunauza kwa bei ya jumla na reja reja
Bei yetu ya jumla ni sh. 13,000/=✓ kuanzia PC tano tu na rejareja sh. 15,000/=
Tunapatikana Nyegezi Mwanza
Karibu WhatsApp 0763772636 popote zitakufikia kwa bei ya tabasamu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.