nafuu

  1. G

    SAFIRISHA NA MO CARGO KUTOKA CHINA,INDIA NA DUBAI KUJA TANZANIA KWA BEI NAFUU

    KARIBU Mo cargo Company Limited, has the right and affordable Logistic Solutions to your Cargo be, it small or big. With our in-depth domestic experience ( East and Central Africa ) in Clearing and Forwarding and considerable overseas experience on Imports/Exports , are able to tailor made our...
  2. Stephano Mgendanyi

    Tume ya Madini Yatakiwa Kuwasaidia Wajasiriamali Kupata Teknolojia Zenye Gharama Nafuu

    TUME YA MADINI YATAKIWA KUWASAIDIA WAJASIRIAMALI KUPAYA TEKNOLOJIA ZENYE GHARAMA NAFUU Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Exaud Kigahe amewaasa Watanzania kutumia fursa za kiuchumi zinazopatikana nchini zikiwemo za kilimo, mifugo, uvuvi na madini katika kujiongezea kipato pamoja na kukuza...
  3. music mimi

    Vyuo Ulaya au America vinavyotoa certificate kwa ada nafuu

    Ndugu zangu naomba mnisaidie majina ya vyuo ulaya au US vyenye ada nafuu kwa kozi za muda mfupi. Viwe kwenye European Union kwa ulaya kama Scandinavia etc. Nataka nipambane nikasome majuu.
  4. R-K-O

    Wanawake wanaocheza michezo na vicoba wananufaiaika zaidi kuliko wanaume wanaobeti, Je ni muda wa wanaume kujitafakari kuhamia Vicoba ?

    Kote kuna "risk" za uso zipo ila uhalisia haujifichi, Kwenye vicoba kuna "Uwezekano / probability" kubwa kuzidi betting Betting ni janga kubwa sana hapa nchini kwa wanaume, watu wanakula sana za uso hadi huruma, lakini ndio wanazama kabisa uraibu inakuwa ngumu kuacha kama ilivyo ulevi wa pombe...
  5. ESCORT 1

    Vunjabei alikuwa na nafuu ila huyu Sandaland ni hovyo

    Jezi zimekosa ubunifu, ningekuwa na mamlaka ningemuweka ndani huyu Sandaland. Bure kabisaaaa
  6. rutajwah

    INAUZWA Pata Logo na Social Media Posters kwa bei nafuu

    Habari wanajf, Kwa wanaohitaji huduma ya Logo/nembo kwa ajili ya Taasisi na Biashara Karibu nikuhudumie. Vile vile nadesign Social media Posters Kwa ajili Ya kupost kwenye page ya biashara/taasisi kwenye mitandao ya Facebook, Instagram, Linkedin etc. Bei za Logo ni 50, 000 TZSH Bei za...
  7. Meneja Wa Makampuni

    Tangazo la fursa ya mkopo nafuu - ujenzi na uendeshaji wa vituo vidogo vya mafuta maeneo ya vijijini

    Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imedhamiria kuanzisha mpango wa kuwezesha ujenzi wa vituo vipya vidogo vya mafuta (petroli na dizeli) vya gharama nafuu maeneo ya vijijini ili kuondoa madhara yatokanayo na njia zisizo salama. Wakala unakaribisha waomabaji wenye vigezo kuomba...
  8. M

    Plot4Sale Miliki kiwanja sasa💪

    Stuka ujanja ni ardhi new new site 2023[📍forodhani city. Viwanja vipya Kisemvule Forodhani Cit,y wahi sasa mapema ujipatie kiwanja kwenye round about ya Forodhani City kwa 1,500,000 tu. Karibuni sana katika Mradi wetu mpya 📍Forodhani City, ujipatie kiwanja kilichopimwa na chenye hati miliki...
  9. R

    Msaada shule nzuri ya High school iliyoko Dar au Pwani yenye karo nafuu comb ya GBG

    Wakuu hamjambo? Kijana wangu kamaliza kidato cha nne 2022, ufaulu wake ni C. C. C ktk comb ya CBG. Natafuta shule yenye unafuu wa karo iliyopo hapa Dar au Pwani. Ukinijuza shule na karo yake utakuwa imenisaidia sana. Shukran.
  10. Tarimofundiumeme

    Karibu Tukufanyie Wiring ya umeme kwema Jengo lako kwa gharama nafuu sana.Tuna leseni na tupo kwenye mfumo wa nikonekti TANESCO

    FUNDI UMEME.(Wiring za umeme) -Tunafanya Wiring za umeme kwa gharama nafuu sana. -Ikiwa umefikia stage ya kuweka miundombinu ya umeme kwenye Jengo lako wasiliana nasi, Kumbuka stage ya kwanza ni kabla ya kupiga plasta ambapo ni kuweka box za switches na kuchimbia conduit pipes ukutani. Tuna...
  11. tzhosts

    Pata Websites pamoja na Email 5 kwa gharama 199,000/= kwa miaka 2

    Je, biashara yako IPO Mtandaoni? Tunatengeneza SIMPLE websites maalum kwa ajili ya Biashara ndogo ndogo. Kwa mwezi huu wa wafanyakazi unapata website pamoja na EMAIL 5 kwa gharama ya shilingi 199,000.Tovuti yako itakuwa hewani kwa muda wa miaka 2 na baada ya hapo utakuwa na unafanya malipo ya...
  12. African Geek

    INAUZWA Nauza Camera Lumix S5 kwa bei nafuu

    Nauza Camera yangu aina ya lumix s5. Niliinunua ikiwa mpya na nimeitumia kwa muda wa mwaka mmoja. Haina tatizo lolote na iko kwenye hali safi sana. Ni nzuri sana kwa ajili ya kufanyia video production. Specs: Brand: Panasonic Lumix Model: Lumix S5 Sensor: 24MP Full Frame 6K CMOS sensor Video...
  13. sky soldier

    Napendekeza Bagamoyo iwe sehemu ya Zanzibar ili na sisi tuzamie tupate uraia wa Zanzibar tupate nafuu ya ajira, vyeo, teuzi, n.k

    Niendelee kung'ang'ania ubara kwanini wakati uraia wa Zanzibar unarahisisha maisha? Wazanzibar wamebahatika zaidi kupata uwanja mpana tena wa kipendeleo kabisa katika nafasi za uongozi, ajira, vyeo, teuzi, n.k. JKT wengi kama sio wote huwa wanabakizwa kujiunga na Jwtz, Polisi, Usalama, n.k na...
  14. J

    Notes za secondary (pdf) bei nafuu sana

    Tunakupa Notes za secondary zilizo katika format ya PDF kwa bei nafuu sana. 1. Notes tumeziandaa wenyewe. 2. Tumezingatia syllabus katika kuziandaa kwa hiyo Topic zote zipo. 3. Kwa upande wa Geography na Biology michoro, diagram na picha zote zipo kukufanya uelewe kirahisi sana masomo hayo. 4...
  15. L

    Car4Sale Landcruiser Prado (manual inauzwa) kwa bei nafuu- 0747379399

    Contact: 0747379399 Price: 60,000,000 (negotiable) Make: Toyota Model: Landcruiser Prado Model number: JTEBD9 Body type: Station wagon Colour: White Year of manufacturing: 2016 Engine capacity:2986 Fuel used: Diesel Transmission: MANUAL, MANUAL, MANUAL MANUAL, MANUAL Engine number: 5L6278
  16. JituMirabaMinne

    Engine service ya gari yako kwa gharama nafuu

    Tunaifanyia gari yako Engine Service ya kisasa na kwa gharama nafuu sana. Service hiyo ya engine inajumuisha mambo yafuatayo. 1. Tunakuwekea Oils na filters ambazo ni Genuine. Tunatambua Oil zisizo na viwango zinachangia sana huharibu engine za magari. 2. Kupima na Kusafisha Nozzle na Spark...
  17. Mparee2

    Rais Ruto na ujenzi wa nyumba za bei nafuu

    Namsikiliza Rais Ruto hapa Citizen TV tangu 19h00 (anahojiwa live na Radio/Tv). Wenzetu wako vizuri kwenye Interview, Waandishi na wenye vyombo vya habari wanacha kujifunza hapa. Pamoja na mambo mengi aliyo ongelea, mimi nimevutiwa na ujenzi wa nyumba za bei nafuu. Kwa kuanzia wafanyakazi...
  18. L

    Nahitaji vyuo vinavyotoa courses za certificates Kwa ada nafuu

    Wakuu nisaidieni hili
  19. JituMirabaMinne

    Unahitaji Spare part gani tukuagizie kwa bei nafuu?

    Ukiachana na kukupa huduma za Engine Services, Diagnostics na Repairs za matatizo mbalimbali ya magari hasa yanayowasha warning lights. Tunayo pia huduma ya kukuagizia spare parts kwa bei ambayo ni nafuu sana. Ni nafuu sana hasa ukilinganisha na bei ya spareparts ambayo utaambiwa ukiingia...
  20. S

    Agent from Turkey To Tanzania

    Wakuu..naomba kujua freight forwarder wa kulete mizigo kutoka Uturuki mpaka Tanzania. Wawe waaminifu na gharama nafuu.
Back
Top Bottom