nahitaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. George Charles007

    Nilikuwa nahitaji kufahamu ofisi za bolt ziko wapi maana nimesikia wamerudi

    Wana JF anayejuwa ofisi bolt zilipo sasa amenipe location. Asanteni!
  2. B

    Nina Vifaa vya Kufanyia Biashara ya Chips. Nahitaji Connection ya Location ya Uhakika Hapo Dar

    Habari za Jioni wana Jamio Forums. Kama mnavyojua sisi ni Wana familia. Licha ya kuwa tunasaidiana sana ktk mawazo, stori na Habari mbali mbali na wiwa pia kuomba msaada niweze kupata sehemu nzuri iliyochangamka niweke jiko langu la Kuuza Chips, Kuku, Mishkaki n.k. Pia kwa kufanya hivyo...
  3. S

    Naomba muongozo, nahitaji kufungua kampuni ya general cleaning nahitajika kuwa na mtaji wa shingap

    Naomba msaada zaidi kuhusiana na ufunguzi wa kampuni ya usafi (general cleaning)
  4. A

    Nilianzisha na kukuza biashara from zero ila kwa hapa nilipofika naona kabisa nahitaji msaada

    Wakuu habari ya asubuhi. Hongereni na majukumu na pia Poleni na changamoto za hapa na pale katika uwajibikaji, ni sehemu ya maisha tu. Kwa nia njema tu naomba nitangulize angalizo kwamba hili sio tangazo la nafasi za/ya kazi. Nitajitahidi kuweka maelezo sawa ili ujumbe wangu uliokusudiwa...
  5. The River

    Nina mke mjeuri sana. Naombeni mnishauri

    wakuu nina mke kiburi sana, Kila ninapo muelekeza afanye kazi fulani basi hupuuza na kukaushia tu. Yaani hadi nimechoka nahisi ananidharau hivi sasa sijui cha kufanya sijui nimtimue au nifanyeje? Naomba ushauri wenu wakuu nimfanyeje mwanamke kama huyu?
  6. A

    Nahitaji ufumbuzi katika Hili

    Habari wakuu, Nahitaji kuanza ku-import mafuta ya kula kutoka nje, naomba kujua yafuatayo, 1. Document au vibali vinavyohitajika nikienda toa mzigo bandarini? 2. Bandari yenye unafuu wa kuingiza hi bidhaa? 3. Kibali Cha kusajili hii bidhaa ya mafuta TBS ni kiasi(fedha) gani na document zipi...
  7. Hismastersvoice

    Nahitaji kujua wanapouza miche ya MACADEMIA.

    Mimi ninaishi wilaya ya Temeke Dar es Salaam, ninahitaji kununua miche ya muda mfupi ya MACADEMIA, miche hiyo ipatikane Morogoro, Moshi na Dar es Salaam. Mnaomjua anayeiuza karibuni hapa uwanja ni wenu.
  8. K

    Zanzibar Business and Property Registration Agency( BPRA) nahitaji majibu kutoka kwenu

    Leo nimejaribu kufungua account ya kimtandao ya Online Registration System (ORS) katika taasisi ya Business and Property Registration Agency(BPRA).Taasisi hii iko Zanzibar na inafanya shughuli zinazofanana na zile za BRELA. Katika utambulisho wa mfunguaji akaunti kwa maana ya...
  9. Dr. Zaganza

    Nahitaji mafuta ya mnyonyo (castrol oil)

    Habari, Anayeuza mafuta halisi ya mnyonyo kuanzia lita 10, piga 0713 039 875
  10. M

    Nahitaji Mchumba/boyfriend

    Habari wana Jf
  11. L

    Nahitaji mwanamke mtu mzima tuanze mahusiano

    Mimi Nina miaka 38,nahitaji mama mtu mzima 43+,tuwe kwenye mahusiano,mke nilikuwa naye nimemwacha . Sihitaji mtu anayepungua umri huo ,nahitaji mama mtu mzima kabisa . Sifa: Awe tayari kupima na awe HIV negative Awe mkarimu Awe anajiheshimu na kuthamini utu wake Awe muunimi wa kikristo...
  12. chuma jr

    Nahitaji kijana wa kusimamia biashara ya Tigopesa

    Habar zenu waungwana nimekuja kutangaza fursa ya kazi kijana mwenye uzoefu wa biashara ya tigopesa wa kike au wa kiume awe anaishi Tabata anicheki, ofisi ipo Segerea. Kama una ndugu yako kikubwa awe muaminifu mwambie anichek malipo ni 50/50 commision kikubwa ajitume. Call 0627218573
  13. Kassym

    Nina milioni 6: Nahitaji partner wa biashara

    Ninayo milioni 6 kwa ajili ya biashara. Nahitaji partner wa kufanya nae biashara. Partner ni lazima awe tayari kuwekeza kiasi hicho hicho cha pesa kwenye biashara. Yaani jumla tuwe na milioni 12. AINA YA BIASHARA Nipo tayari kufanya biashara yoyote kati ya hizi; 1) Alluminium 2) Kuuza spare za...
  14. Yofav

    Msaada: Nahitaji kujifunza udereva na kupata cheti pamoja na leseni kwa ujumla

    Habari wakuu, Kama heading inavyoeleza hapo juu, Naomba kwa mwenye experience na masuala haya ya mafuzo ya udereva yanavyokwenda anishauri ni Driving school gani niende ili kupata elimu ya mafunzo ya kuendesha Magari japo haya mdogo kwanza lakini muhimu nijipatie cheti... Ningeomba kujua pia...
  15. dist111

    Msaada Tutani: Nahitaji Paving grid

    Habari Wataalamu, Naomba contacts za kiwanda cha kutengeneza paving grids, Hizi ni badala ya pavements na zinafaa Sana sehemu yenye majimaji au udongo unaokaa na maji, Zitasaidia kuondoa usumbufu kwa sehemu ninapokaa, mwenye contacts anisaidie, Nikiziangalia ni rahisi kutengenezeka, lakini...
  16. Madame B

    Dodoma niko mpweke sana, nahitaji company (sio mpenzi) kwa ajili ya kufurahiana

    Yaani tangu nihamie Dodoma 2019 nimekuwa mpweke sana, kama sio Madame B yule niliyejizoea wakati niko Dar 😔 Nikiamka asubuhi na kwenda kazini. Nikisharudi, kampani yangu ni Tv na games au simu yangu tu, nitajipikilisha pale au nitaoka kuku/beef na k vant kubwa pembeni pamoja na tonicwater...
  17. Ivan Stepanov

    Nahitaji kijana mwenye taaluma ya uhasibu

    Habar ya jioni wadau. Kindly fall through 👇👇👇👇 Anahitajika: Kijana mwenye taaluma ya uhasibu kwa ajili ya kufanya kazi. Sifa: Kijana wa kiume, kulingana na mazingira ya kazi na uwajibikaji husika. Elimu kuanzia ngazi ya Diploma Uzoefu - Atleast awe na background ya kufanya kazi za kihasibu...
  18. Bexb

    Nahitaji mbuzi wa maziwa wa kununua

    Habari ya majukumu wakuu. Ninahitaji mbuzi wawili (jike) wa maziwa. Sina uzoefu hasa wa majina ya breed zake lakini itoshe kusema kuwa wawe ni wale wa kisasa ambao wanatoa maziwa kwa wingi. Kama unafahamu mahali wanapopatikana tafadhali naomba usisite kunijulisha. Shukrani. 0755964775
  19. Clark boots

    Nahitaji Mtambo wa Solar Power used

    Kwa wale walio karibu na Mikoa ya Mbeya au Songwe na una miliki Mtambo wa Solar power basi nahitaji tafadhari. Kama ni unahama kwenda Mkoa mwingine au una shida tu kidogo. Basi mteja nipo hapa naomba tuwasiliane. Ukubwa wa Mtambo wa Sola nahitaji ni kuanzia:- Battery N70 & Solar Panel Watt100...
  20. masai dada

    Nahitaji sukari nyeupe na sio k.k

    Nahitaji anaeuza sukari nyeupe ila sio k.k Mwenye anaweza pata namjomba pm
Back
Top Bottom