Habari wadau wa Elimu, Samahani naomba kuuliza maswali mawili.
Kwa matokeo haya;
PHYSICS -D
CHEMISTRY -C
BIOLOGY -B
MATHS -D
ENGLISH -C
(i) Je, niombe chuo gani cha afya cha serikali ili niweze kukubaliwa kwa urahisi?
(ii) Ni, kozi ipi ya afya niombe zaidi?, asanteni.