nani

  1. M

    Je ni Nani ni mtenda dhambi ? katika hawa vijana watatu

    -kijana wa kwanza Ameiba biblia kanisani kwa ajili ya kwenda kujisomea nyumbani -Kijana wa pili Ameiba pesa nyumbani na kwenda kuitoa yote kanisani kwa njia ya Sadaka -Kijana wa tatu Ameiba Sadaka kanisani na kwenda kuwapa maskini na yatima Je ni nani mtenda dhambi ?
  2. Minjingu Jingu

    Samia Suluhu anamwogopa nani kugombea nafasi ya Urais kupitia chama?

    Kitendo cha kujipendekezea jina lake lipite ni wazi samia kuna mtu au watu anawaogopa. Itakuwa makamba? Au akina nani wengine? Luhaga Mpina hapana huyu hakuwa na issues kwenye UraHis. Watu wanajiuliza woga wake umetokana na nini? Na wanaenda mbali zaidi kuona kuwa inaonekana hajiamini na kuna...
  3. OKW BOBAN SUNZU

    Nani anamlipa Eddo Kumwembe kubwabwaja dhidi ya Simba Sc?

    Vitu vya kuchambua vipo vingi, kama umeshindwa kuchambua soka nenda kachambue mchele
  4. Mwakawasila

    JE UNAJUA WA KUKUSAIDIA KWENYE UWEKEZAJI NA USHAURI WA KIFEDHA, Mfahamu MWAKAWASILA

    MWAKAWASILA CONSULTANT Ni mshauri wa kifedha ni mtaalamu anayetoa ushauri wa kitaalamu kuhusu usimamizi wa fedha, uwekezaji, na kufanikisha malengo ya kifedha. Huduma zake mara nyingi hujumuisha: 1. Mipango ya Uwekezaji Kushauri kuhusu hisa, mifuko ya uwekezaji wa pamoja (mutual funds)...
  5. M

    Nani kawaleta hawa Wavuta Bangi hapa Mlimani City kwenye Uchaguzi wa CHADEMA?

    Kuna Vijana Wahuni wamelewa hapa Mlimani City wanapiga Makelele hovyo ya Lissu na Heche kila mahali kuanzia asubuhi hadi muda huu kiasi cha kuwa Kero kwa kila mtu hapa Mlimani City hata ambaye hajaja kwa mambo ya Uchaguzi, Hizi Siasa za kipumbavu hazikuwepo CHADEMA ambayo huko nyuma ilizoeleka...
  6. OMOYOGWANE

    Chief of staff wa Makamu wa Rais Dkt. Mpango ni nani?

    Hellow wakuu, Kwa uelewa wangu kila mwanasiasa kuanzia mbunge hadi Rais huwa wana ofisi, na hizo ofisi zimesheheni watu wa kada mbalimbali, mkuu wa watumishi wote ktk ofisi anaitwa chief of staff. Chief of staff ndio mtu wa karibu zaidi na boss yeye ndiye huhusika na mipango yote ya Mheshimiwa...
  7. Li ngunda ngali

    Pre GE2025 Dkt . Mpango: Nataka kuishi zaidi. Je, katishwa na nani?!

    Kuna nini ndani ya kuhitaji kuishi ziada kwa Dk Mpango? Seems ameona akiwa ndani ya mfumo maisha yake yapo hatarini-kwanini yawe?! Na kwa nini Rais Samia alijihami na kusema hitaji la Dk Mpango kutaka apumzike halichangizwi na masuala ya kazi?! ????
  8. Ritz

    Ripota wa Israel anauliza kuhusu hii video ya Hamas, Israel ilishambulia kwa mabomu siku 450 huko Gaza walikuwa wanapigana na nani?

    Wanaukumbi. Ripota wa Israel anatoa maoni yake kuhusu video hii: "Nataka tu kuuliza kwa upole: Je, Israel imekuwa ikishambulia kwa mabomu kwa siku 450 huko Gaza? Hamas inaonekana kuwa katika nafasi nzuri kana kwamba haikupigana vita dhidi ya jeshi la Israel." Hii video ya Hamas leo Jumapili...
  9. Braza Kede

    Kwa wanandoa: nani ana jukumu la kufua nguo zenu za ndani?

    Huko kwenu mnafanyaje? na kwanini? (A) Kila mmoja anafua underwear yake (B) Hakuna formula maalum (C) Mume anafua ya kwake na ya mke (D) Mke anafua ya kwake na ya mume (E) Dada/kaka wa kazi
  10. kyagata

    Makomandoo wa Mbowe wanalipwa na nani?

    Wakuu Mbowe ndio kiongozi pekee wa chama cha siasa hapa nchini anaelindwa na makomandoo. Je hao makomandoo wa mbowe wanalipwa na nani na wanalipwa kutoka chanzo gani cha mapato?
  11. Msanii

    Nani aliwaleta polisi katika uchaguzi wa BAWACHA

    Miaka yote tumwona na kusikia CHADEMA ikipiga kelele dhidi ya serikali kutumia polisi kwenye chaguzi mbalimbali za Taifa letu. Fafanuzi mbalimbali kutoka kwa viongozi waandamizi wa CHADEMA namna chaguzi za kitaifa zinavyovurugwa na jeshi hili lililojaa makamanda wasio na utu yaani wajaa laana...
  12. R

    Nani Mwandishi jasiri wa kurusha tena kipindi Cha Mchakato Majimboni?

    Hellow Tanganyika!! Miaka Ile palifana sana kuangalia kipindi Cha Mchakato Majimboni, Jambo hili lilifanya wagombea wa chama tawala kuhudhuria kipindi sababu usingetokea ungepoteza point Kwa wananchi. Sasa tunataka tena kipindi hiki kurudi, swali ni nani jasiri wa kukirudisha? Cc:Pascal...
  13. R

    Je, mikakati ya CHADEMA inaratibiwa na wakina nani? Kwanini chama hiki kinaimarika na kupanuka huku CCM ikiondoka miyoyoni mwa watu?

    Naamini Mbowe na Kisu kuna mchezo wanacheza baada yakuona CCM imepania kuondoa siasa za ushindani nchni Ni miezi miwili sasa vyombo vya habari na wananchi wamejikita kufuatilia siasa za CHADEMA. Ni chama ambacho kimefanya mfumo wa uchaguzi uwe huru kuanzia kutangaza nia, kugombea na kushika...
  14. O

    Je mitungu ya gesi Ina expire? Na kama ni hivyo ni kwa muda gana na wapi huandikwa tarehe husika na nani anawajibika kutujuza juu Hilo?

    Tangu nitumie mitungi ya gesi sijawahi ona expire date kwenye mitungi hiyo je nani anawajibika ? Nimeona mtu kaandika huko Instagram hivi Hapa alimaanisha mitungi sio majiko na kama ni hivyo haya majiko yana exipiredate wapi. Sababu kinacho lipuka ni mitungi wenye gas, nadhani labda mipira...
  15. Stuxnet

    Kwani kazi ya Maria Sarungi Nairobi Ilikuwa ni nini? Na nani alikuwa anamlipa

    Tunamuombea apatikane akiwa salama. Lakini naomba nijibiwe maswali haya:- 1. Kwa zaidi ya miaka 2 sasa amekuwa anaishi Nairobi huku akaunti zake za mitandao ya Kijamii zikishambulia mambo ya Serikali. Je ni nani anamlipa kwa kazi hiyo? 2. Ameweza kuwachukua na kuwatafutia makazi vijana maarufu...
  16. S

    Mbowe siku zote alijua watekaji na wauaji ni nani na kituo chao kipo wapi, hakutaka kusema hadi alipoona itamnufaisha binafsi kisiasa?

    Nimekuwa shocked na maelezo ya Mbowe yakionyesha kumbe kwa muda mrefu amejua watekaji na wauaji ni nani, kwamba kilikuwa kikosi maalumu kilichoundwa na serikali kwa madhumuni ya "amani na usalama", kikijumuisha Polisi, TISS na JWTZ. Na hata ameeleza kwamba baadae JWTZ walichukua uamuzi wa...
  17. P J O

    'Tanzania Military' ni nani?

    Kwa wenyeji wa Dar Es Salaam Kwa miezi kadhaa sasa tumeshuhudia mabasi mapya kabisa ya Kijeshi jijini, na yana nembo kubwa imeandikwa "Tanzania Military". Jeshi la Tanzania linafahamika kama JWTZ au TPDF (Jeshi la Wananchi wa Tanzania). Je, ni kosa la kiufundi au?
  18. E

    Hivi Hilda Newton ni nani pale CHADEMA?

    Ni swali la ufahamu, nimehisi ana siri nyingi sana pale CHADEMA na aliwahi kutupa taarifa za Ben kuwa anaendelea na kazi
  19. Braza Kede

    Kati ya mume na mke nani anauma zaidi akiibwa?

    Mi naona kama mke ndo anauma zaidi. Au wakuu nyie mnasemaje?
  20. mtwa mkulu

    Huko kwenye chama chenu nani sio msaliti? Nani ni muaminifu?

    Nauliza Kwa Nia nzuri tuu Inamaana chama chenu ni ngome ya wasaliti? Nauliza huku kwetu msaliti nani mbona simkumbuki hata mmoja? Je nani kwenu ni muaminifu katika mliopo? Alikuwapo shujaa Chacha wangwe kamanda kweli kweli! Mwamba asiyeogopa kitu. Bila shaka mnamkumbuka lakini huyu nae mkaja...
Back
Top Bottom